The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The only feasible way to remove Ghaddafi from power is to send in ground troops something America doesn't have the stomach for.

Another way is to get someone in his inner circle to do the dirt, i.e. kill him. This is not that easy coz those surrounding him are loyal to a fault.

With that said I don't see him out of power anytime soon and if America and it's allies don't commit ground troops then his chances of weathering this storm are greater than average!!!!
 
Baada ya kila asiyependwa na Western kuondolewa watakuja na sera ya kuweka watu wao (sio vibaraka tena km walivyofanya mwanzo) ....hili likishakamilika ndipo ukoloni utakua dhahiri kwa maana sasa wamefanikiwa kuteka watu kifikra! Haiwezekani mtu mwenye akili timamu (hata mwendawazimu) ku recommend adui aunguze nyumba yako kuonesha majirani umeichoka! Kila mtenda baya hulipwa baya as well...Marekani wanazidi kujiongezea maadui!
 
We Kichuguu acha kutoa taarifa zisizothibitika kwa ma confidence kumbe uongo. Weka source yako kwamba mtoto wa Gaddafi kafa.
 
Hivi sasa marekani wanatafuta exit strategy ,jinsi ya kuondoka kabla hata ya wiki na walisema wao hawako hapo libya.kila mtu hataki kuachiwa jukumu HAWANA MAWE.Italy imetishia kufunga airbase wanayotumia kama nato haiongozi shughuli hiyo lakini nato haiwezi maana uturuki wameweka veto.sasa ni kizungumkuti.
Gadaf could go but ataacha kasheshe ya kufa mtu WAIT AND SEE
 
Marubani wote wawili wameokolewa

Both of two pilots whose F-15 jet crashed in Libya due to a technical fault had been rescued on Tuesday


DUBAI (Al Arabiya, Agencies) An American fighter jet crashed in Libya overnight near the rebel held city Benghazi, but its crew was safe, a spokesman for the U.S. military Africa Command said on Tuesday.

Both of two U.S. pilots whose F-15 jet crashed in Libya due to a technical fault late Monday while enforcing a no-fly zone, had been rescued on Tuesday, a U.S. military official said.

"One crew member was recovered by coalition forces. The other crew member was recovered by Libyan people. He was treated with dignity and respect, (and) is now in the care of the United States," Admiral Samuel Locklear, commander aboard the USS Mount Whitney, told reporters.

U.S. spokesman Vince Crawley declined to give the location of the crash and also would not say how the rescued crewman was picked up or where he was taken.

The aircraft, based out of England, was flying out of Aviano Air Base in Italy when it experienced an equipment malfunction over northeast Libya, a military statement said.

Al Arabiya
 
Video of F-15 ruins in Libya after US fighter jet crashes near Benghazi

 
Last edited by a moderator:
Footage of Libya Navy base wiped out by coalition bombing

 
Last edited by a moderator:
Mkuu.
Una mfano mwengine wowote ambapo waasi wa serikali wameomba msaada kwa mataifa haya na haya mataifa ya West na US kufanya haraka kupeleka azimio UN na msaada ukatolewa kwa waasi ili waiondoe serikali iliyopo madarakani?

Mkuu, kuna watu waliomba msaada wa kusaidiwa kama wapalestina duniani? response ya hawa West na US ikoje kwa waombaji hao msaada ambao wanapata kibano cha nguvu...hata leo hii wamechezea kipigo, watoto na wanawake ni katika waathirika.
 
Sababu ya wao kupata kipondo leo ni nini?

Ebu mkuu tuwe wakweli, mataifa ya kiarabu yenyewe hayataki kuisaidia Palestina, the only time they mentioned them ni pale wanapoona kuna manufaa kwa other than that ata kuwakaribisha hawataki. Uko Lebanon hawataki ata kuwasikia hao wapalestina (kwa mujibu wa rafiki yangu wa kilebanon).

Ebu niambie Camp David Accord, Oslo Accord, Camp David 2000 nani alizisimamia? Tuweke ushabiki pembeni.

Haya mambo ya Israel yana thread zake, hii ni thread ya Libya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…