Eti imagine alikuwa anaenda kukagua gwaride la jeshi akiwa amevaa kandambili. Yaani mtu analewa madaraka mpaka anajisahau. Watu wabishi tuu hapa. Nyerere angekuwa madarakani mpaka leo, na sisi lazima tungekuwa on the streets. Tatizo ni kwamba wabongo hatujawahi kuwa chini ya udikteta. Ndio maana unaona watu hapa wanamfagilia tuu gaddafi. Imagine mume wa mtu alikamatwa miaka 20 iliyopita kwa kupingana na rais. mpaka leo mke hajui kama aliuawa au yuko hai. Akiulizwa hapati majibu. watoto wamekua na hajui kama baba yao yupo hai. They cannot ask b'se they are afraid, nao watafanyiwa kitu mbaya. Imagine ndugu zako wamekamatwa na kuwawa simply because they wrote an article on a newspaper about their politcal view. Just political political opnion nothing more. Imagine you are living in a country, where Jamii Forum is illegal and banned. Watu wanaongea tuu b'se they have never experience living in a dictatorial regime.
Juzi watu wamepigwa risasi na polisi hapo arusha, saw what happened. Imagine ingekuwa nchi nzima tena na wanajeshi. Msingeomba msaada?? Some people here are speaking whatever they want, simply because they have got that freedom to do so. Then, wakati wengine wanajaribu kipigania the same freedom to express themselves, mnawakandia na kumkumbatia dikteta. Watu wanahoji mbona hawavamii Somalia na Ivory Coast. The moment they do so, you will still be saying the same. Lakini siku haya yakitoa bongo, mtakuwa mstari wa mbele kuomba msaada tena kwenye hayo hayo mataifa ya magharibi and sio African Union, b'se you know under gaddafi, AU wont help you.