Nilikua namsupport sana Obama,bila sababu ya msingi (huenda ni ngozi yake) lakini nagundua huyu bwana ni mwepesi as well...tokea awali niko tofauti sana na western kwa namna wanavyoichukulia Afrika,tena kwenye maeneo yenye manufaa kwao..ni wafitini,wazandiki na wanaopandikisha chuki kwa watu dhidi ya viongozi wao ili kuwajengea picha mbaya na mwishowe kuanzisha vurugu ambazo nao huingia lakini lengo lao ni kuhujumu tu....
Nasupport viongozi imara.......western nia yao ni kuweka watu dhaifu kwenye uongozi ktk nchi wenye maslah ili kuendelea kuvuna rasilimali ilihali wenye nchi wakiomba misaada kila kukicha! Ipo siku Mungu atawaadhibu as well! Mungu ibariki Afrika, ashame upon u American na vibaraka wengine!