Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyombo vya habari vikiwemo Skynewas wanaripoti kuwa waasi wamebakiza kilomita 30 tu kuingia Tripoli.9)TRIPOLI IS STILL STRONG, THE PEOPLE ARE WITH THE LEADER, REBELS WAPO KILA MJI LAKINI NI SKIRMISHES WANAZOLETA ZA HAPA NA PALE NA JESHI LA LIBYA LIPO UNDER CONTROL, KUNA WAAFRIKA WAPO NDANI YA LIBYA WANAMPIGA TAFU MZALENDO GHADAFI. SO STAY TUNED!!!!!!!!
vyombo vya habari vikiwemo skynewas wanaripoti kuwa waasi wamebakiza kilomita 30 tu kuingia tripoli.
Waafrika ndivyo tulivyo,hatufikiri nje ya mtandao wa kikoloni.
Eti Kikwete akisema hatoki baada ya 2015!.Kwani tatizo liko wapi hata akitawala mpaka afe.Kwani lazima tuwe na maraisi wangapi siku dunia itakapofikia kiama.Muhimu ni uadilifu wa kiongozi na si lazima atawale kwa formula ya kizungu,miaka mitano mitano.
Wazungu ni washenzi hata kuliko mababu zetu kabla hawajafika wao.Tangu waanze vurugu zao miaka ya karibuni huko Afghanistan na Iraq sina hamu nao kabisa na sioni cha maana kuwaiga.
Natoa tahadhari ifuatayo wana jf:
Kwa mujibu wa alternative news nilizokuwa nazo ni hivi
1) nato wamefeli ndani ya libya na hivyo wamechanganyikiwa kiasi kwamba wako tayari kufanya lolote bila kujali kwamba wanalipua nini, iwe ni military asset au civilian assets, so long as those assets zinaifanya serikali ya ghadafi ifunction wao wako tayari kulipua tu.
2) support katika western part of libya ni ya hali ya juu kiasi kwamba ni vigumu rebels kukamata miji, kisha wakaweka askari wa kutosha wa kukamata hiyo miji isirudi tena mikononi mwa majeshi ya serikali na volunteers. Kiufupi rebels hawana infrastructure za kulinda gains zozote wanazozipata kwa muda mrefu.
3)kuna systematic misinformation ya hali ya juu ili kuuandaa ulimwengu uamini kwamba ghadafi ataanguka karibuni, na muda fulani muafaka ukifika watakaouchagua wao watatangaza kwamba Kaanguka, wakati infact bado hajaanguka na anacontrol eneo kubwa la nchi kuliko lile la waasi, hii inafanyika kwa coordination ya vyombo vya habari kama vile cnn ya america, bbc ya uingereza, aljazeera ya qatar,deutchwelle ya ujerumani, gazeti la newyork times la marekani, nchi za hivi vyombo vyote ziko vitani dhidi ya libya kwa hiyo usitegemee kupata habari za ukweli kuhusu mafanikio ya jeshi la libya na volunteers. Kutokana na nato na waasi kushindwa kumuondoa ghadafi, kitakachofanyika ni international isolation technique, watautangazia ulimwengu kwa kurudia tena na tena, mara nyingi nyingi kwamba tripoli imeanguka, huku viongozi wa nchi hasimu za libya wakienda kwenye tv kutoa pongezi kwa waasi, na kuitaka dunia iwatambue n.k-- wakati huo huo behind the scenes wakiwapiga pressure viongozi wa nchi masikini wawatambue waasi ili nchi zao ziendelee kupata misaada, au kwa kuahidiwa misaada. Na kwa kuwa watu wengi watakuwa wameshaamini kwamba kweli tripoli imeanguka, basi viongozi wa nchi hizi masikini watakubali matakwa ya western countires kiulaini.
4) jiulize kila siku ukisoma habari utasikia, "revolutionaries capture zlitan", baada ya siku kadhaa kupita ukicheki nyuzi tena utaona habari kama hiyo hiyo tena "revolutionaries capture zlitan". Sasa jiulize hiyo zlitan au zawahiya e.t.c itakuwa captured mara ngapi?. Lengo la habari kama hizi ni kuonyesha kwamba kuna progress fulani in favour of rebels, wanafanya hivi ili kutuliza mzuka wa wananchi wa nchi zao ambao wameanza kuquestion hii vita kwa kuwaaminisha kwamba soon mambo yatakuwa bomba na ghadafi ataangushwa, lakini wao ukweli wanaujua vizuri kwamba waasi hawana progress za aina hiyo.
5) katika miji ambayo waasi huingia na kutangaza kwamba wameikamata, hali huwa ni kwamba jeshi la libya huwa linafanya tactical retreat kuwepa bombardments za nato ambazo huwa zinaprovide air cover ya waasi, then nato wakiondoka jeshi hurudi na kuwakimbiza waasi kutoka katika hiyo miji, lakini habari ya jeshi la libya kuwaondoa waasi huipati katika western media ambazo jana yake zishatangaza kwamba mji huo umekuwa captured na waasi.
6) ukitaka kujua uwongo wa waasi, majuzi walitangaza khamis ghadafi mtoto wa ghadafi kauawa, lakini siku kadhaa akaonekana kwenye tv ya libya, vyombo vya magharibi vilitangaza kwamba ghadafi kakimbilia venezuela ule ukawa ni uwongo, then majuzi wakasema ghadafi anaumwa hoi, mara eti kuna ndege mbili tripoli moja ikiwa empty kumsubiri ghadafi pindi akiamua kukimbia nchi, wakatangaza eti waziri wa mambo ya ndani amekimbilia misri yeye na familia yake, ukweli ni kwamba yule bwana alikwenda kimatibabu na kesharejea libya.
7) ukweli ni kwamba kuna waafrika kimyakimya wapo libya wanampiga tafu gadafi. Kwa hiyo wapenda haki na wenye uchungu na yanayotokea libya, msiwe na wasiwasi, msiziamini moja kwa moja breaking news za vyombo vya habari vya maadui wa libya, kila mkisikia kwamba mji fulani umeanguka kwa waasi, ziaminini asilimia 20 na 80 msiziamini kwanza, hebu jiulize brega ambayo ipo karibu na benghazi haijaangukia kwa waasi, tena brega ndo muhimu kweli kweli stratergically kuliko zlitan, iweje zlitan iliyo karibu na tripoli ianguke halafu brega isianguke?, tena ifahamike mapambano makali kweli kweli yametokea brega, lakini operesheni inashindwa?.
8)THE BOTTOM LINE NI KWAMBA KUNA INFORMATION WARFARE KUBWA VIBAYA SANA DHIDI YA LIBYA, LENGO NI KUKUANDAA WEWE NA MIMI TUAMINI KATIKA LINE YA STORI WANAYOITAKA WAO, SI AJABU THE FALL OF TRIPOLI IPO INAANDALIWA NDANI YA HOLLYWOOD, NA MAADAM THE WHOLE WESTERN MEDIA MACHINE IKO AGAINST LIBYA BASI INABIDI UFANYE KAZI YA ZIADA KUPATA THE ALTERNATIVE NEWS.
9)TRIPOLI IS STILL STRONG, THE PEOPLE ARE WITH THE LEADER, REBELS WAPO KILA MJI LAKINI NI SKIRMISHES WANAZOLETA ZA HAPA NA PALE NA JESHI LA LIBYA LIPO UNDER CONTROL, KUNA WAAFRIKA WAPO NDANI YA LIBYA WANAMPIGA TAFU MZALENDO GHADAFI. SO STAY TUNED!!!!!!!!
Waafrika ndivyo tulivyo,hatufikiri nje ya mtandao wa kikoloni.
Eti Kikwete akisema hatoki baada ya 2015!.Kwani tatizo liko wapi hata akitawala mpaka afe.Kwani lazima tuwe na maraisi wangapi siku dunia itakapofikia kiama.Muhimu ni uadilifu wa kiongozi na si lazima atawale kwa formula ya kizungu,miaka mitano mitano.
Wazungu ni washenzi hata kuliko mababu zetu kabla hawajafika wao.Tangu waanze vurugu zao miaka ya karibuni huko Afghanistan na Iraq sina hamu nao kabisa na sioni cha maana kuwaiga.
Natoa tahadhari ifuatayo wana jf:
Kwa mujibu wa alternative news nilizokuwa nazo ni hivi
1) nato wamefeli ndani ya libya na hivyo wamechanganyikiwa kiasi kwamba wako tayari kufanya lolote bila kujali kwamba wanalipua nini, iwe ni military asset au civilian assets, so long as those assets zinaifanya serikali ya ghadafi ifunction wao wako tayari kulipua tu.
2) support katika western part of libya ni ya hali ya juu kiasi kwamba ni vigumu rebels kukamata miji, kisha wakaweka askari wa kutosha wa kukamata hiyo miji isirudi tena mikononi mwa majeshi ya serikali na volunteers. Kiufupi rebels hawana infrastructure za kulinda gains zozote wanazozipata kwa muda mrefu.
3)kuna systematic misinformation ya hali ya juu ili kuuandaa ulimwengu uamini kwamba ghadafi ataanguka karibuni, na muda fulani muafaka ukifika watakaouchagua wao watatangaza kwamba Kaanguka, wakati infact bado hajaanguka na anacontrol eneo kubwa la nchi kuliko lile la waasi, hii inafanyika kwa coordination ya vyombo vya habari kama vile cnn ya america, bbc ya uingereza, aljazeera ya qatar,deutchwelle ya ujerumani, gazeti la newyork times la marekani, nchi za hivi vyombo vyote ziko vitani dhidi ya libya kwa hiyo usitegemee kupata habari za ukweli kuhusu mafanikio ya jeshi la libya na volunteers. Kutokana na nato na waasi kushindwa kumuondoa ghadafi, kitakachofanyika ni international isolation technique, watautangazia ulimwengu kwa kurudia tena na tena, mara nyingi nyingi kwamba tripoli imeanguka, huku viongozi wa nchi hasimu za libya wakienda kwenye tv kutoa pongezi kwa waasi, na kuitaka dunia iwatambue n.k-- wakati huo huo behind the scenes wakiwapiga pressure viongozi wa nchi masikini wawatambue waasi ili nchi zao ziendelee kupata misaada, au kwa kuahidiwa misaada. Na kwa kuwa watu wengi watakuwa wameshaamini kwamba kweli tripoli imeanguka, basi viongozi wa nchi hizi masikini watakubali matakwa ya western countires kiulaini.
4) jiulize kila siku ukisoma habari utasikia, "revolutionaries capture zlitan", baada ya siku kadhaa kupita ukicheki nyuzi tena utaona habari kama hiyo hiyo tena "revolutionaries capture zlitan". Sasa jiulize hiyo zlitan au zawahiya e.t.c itakuwa captured mara ngapi?. Lengo la habari kama hizi ni kuonyesha kwamba kuna progress fulani in favour of rebels, wanafanya hivi ili kutuliza mzuka wa wananchi wa nchi zao ambao wameanza kuquestion hii vita kwa kuwaaminisha kwamba soon mambo yatakuwa bomba na ghadafi ataangushwa, lakini wao ukweli wanaujua vizuri kwamba waasi hawana progress za aina hiyo.
5) katika miji ambayo waasi huingia na kutangaza kwamba wameikamata, hali huwa ni kwamba jeshi la libya huwa linafanya tactical retreat kuwepa bombardments za nato ambazo huwa zinaprovide air cover ya waasi, then nato wakiondoka jeshi hurudi na kuwakimbiza waasi kutoka katika hiyo miji, lakini habari ya jeshi la libya kuwaondoa waasi huipati katika western media ambazo jana yake zishatangaza kwamba mji huo umekuwa captured na waasi.
6) ukitaka kujua uwongo wa waasi, majuzi walitangaza khamis ghadafi mtoto wa ghadafi kauawa, lakini siku kadhaa akaonekana kwenye tv ya libya, vyombo vya magharibi vilitangaza kwamba ghadafi kakimbilia venezuela ule ukawa ni uwongo, then majuzi wakasema ghadafi anaumwa hoi, mara eti kuna ndege mbili tripoli moja ikiwa empty kumsubiri ghadafi pindi akiamua kukimbia nchi, wakatangaza eti waziri wa mambo ya ndani amekimbilia misri yeye na familia yake, ukweli ni kwamba yule bwana alikwenda kimatibabu na kesharejea libya.
7) ukweli ni kwamba kuna waafrika kimyakimya wapo libya wanampiga tafu gadafi. Kwa hiyo wapenda haki na wenye uchungu na yanayotokea libya, msiwe na wasiwasi, msiziamini moja kwa moja breaking news za vyombo vya habari vya maadui wa libya, kila mkisikia kwamba mji fulani umeanguka kwa waasi, ziaminini asilimia 20 na 80 msiziamini kwanza, hebu jiulize brega ambayo ipo karibu na benghazi haijaangukia kwa waasi, tena brega ndo muhimu kweli kweli stratergically kuliko zlitan, iweje zlitan iliyo karibu na tripoli ianguke halafu brega isianguke?, tena ifahamike mapambano makali kweli kweli yametokea brega, lakini operesheni inashindwa?.
8)THE BOTTOM LINE NI KWAMBA KUNA INFORMATION WARFARE KUBWA VIBAYA SANA DHIDI YA LIBYA, LENGO NI KUKUANDAA WEWE NA MIMI TUAMINI KATIKA LINE YA STORI WANAYOITAKA WAO, SI AJABU THE FALL OF TRIPOLI IPO INAANDALIWA NDANI YA HOLLYWOOD, NA MAADAM THE WHOLE WESTERN MEDIA MACHINE IKO AGAINST LIBYA BASI INABIDI UFANYE KAZI YA ZIADA KUPATA THE ALTERNATIVE NEWS.
9)TRIPOLI IS STILL STRONG, THE PEOPLE ARE WITH THE LEADER, REBELS WAPO KILA MJI LAKINI NI SKIRMISHES WANAZOLETA ZA HAPA NA PALE NA JESHI LA LIBYA LIPO UNDER CONTROL, KUNA WAAFRIKA WAPO NDANI YA LIBYA WANAMPIGA TAFU MZALENDO GHADAFI. SO STAY TUNED!!!!!!!!
Hii mada ya propaganda haina tofauti na hayo yanayoendelea Libya.Pamoja na hivyo haiondoshi ukweli kuwa biashara ya utumwa ni ya wazungu.Ushahidi kwanza ni kubaki kwa kizazi cha watumwa nchini kwao.Ubaya zaidi ni kuwa biashara hii ilifanywa kwa jina la Ukristo hata meli iliyopeleka watumwa wengi ikaitwa JESUS.Ukitembelea kanisa la Mkunazini kule Zanzibar kuna vigingi vilivyotumika kuwafungia mababu zetu kabla kupelekwa Ulaya.Tatizo lako huwezi kufikiri nje ya mtandao wa falsafa za kinafiki za waarabu, waarabu walitawala hapa nchini miaka lundo kabla ya kudhibitiwa na wazungu, hebu fikiri waarabu walifanya nini cha maana hapa nchini zaidi ya biashara ya utumwa na kupandikiza uswahili na unafiki, walinganishe na wakoloni wa kizungu waliojenga mashule, Reli na mambo mengi ya kimaendeleo, Kama ingekuwa lazima kuchagua ni BORA MARA MIA KUFIKIRI NDANI YA MTANDAO WA WAZUNGU kuliko kufikiri kwa kuongozwa na falsafa za kinafiki za waarabu, Hata hivyo there is a better way and that's the fact that God graciously created ALL human beings (african's included) equal , and endowed each individual with sufficient mental power to think on his/her own, kwa sababu hiyo hata sasa waweza kuanza kufikiri kwa akili zako na kuchagua lililo jema, na kabla sijaondoka rejea hayo maandishi yako niliyowekea rangi nyekundu, na ujisahihishe maana hata teknolojia ya hii forum unayotumia kutoa maoni yako wameigundua hao wazungu, come on, be realistic and use some common sense, unayo mengi ya kuwaiga wazungu !!!!!!!!!
Natoa tahadhari ifuatayo wana jf:
Kwa mujibu wa alternative news nilizokuwa nazo ni hivi
1) nato wamefeli ndani ya libya na hivyo wamechanganyikiwa kiasi kwamba wako tayari kufanya lolote bila kujali kwamba wanalipua nini, iwe ni military asset au civilian assets, so long as those assets zinaifanya serikali ya ghadafi ifunction wao wako tayari kulipua tu.
2) support katika western part of libya ni ya hali ya juu kiasi kwamba ni vigumu rebels kukamata miji, kisha wakaweka askari wa kutosha wa kukamata hiyo miji isirudi tena mikononi mwa majeshi ya serikali na volunteers. Kiufupi rebels hawana infrastructure za kulinda gains zozote wanazozipata kwa muda mrefu.
3)kuna systematic misinformation ya hali ya juu ili kuuandaa ulimwengu uamini kwamba ghadafi ataanguka karibuni, na muda fulani muafaka ukifika watakaouchagua wao watatangaza kwamba Kaanguka, wakati infact bado hajaanguka na anacontrol eneo kubwa la nchi kuliko lile la waasi, hii inafanyika kwa coordination ya vyombo vya habari kama vile cnn ya america, bbc ya uingereza, aljazeera ya qatar,deutchwelle ya ujerumani, gazeti la newyork times la marekani, ...........................................!
Yea, especially when the video was posted on YouTube by the Libyan Army. Kama the Libyan Army imekuwa the source of information about the war, then inaonyesha ni jinsi gani tumekuwa propaganda tools.