Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...........................................Gaddaffi umetafuna vya kutosha, jivue gamba!
Mkuu wangu manufaa ya slavery kuwa abolished yako wazi hayana haja ya ku disscuss.Ni manufaa yenye haki za kimsingi za kibinadamu.Hilo ni awali.Everything has somemwhere to start.Si kila erruption inapelekea matokeo mabaya.Refer to geology.What happened after slavery is freedom.Kinachotakiwa ni mapambano yaendelee na si kuwa crabs in a bucket pulling each other down.Ndiyo maana unaweza kuona wenzetu wanavyofanya.Hawana marafiki wa kweli.Angalia hao wote walisahwahi kuwa very close na mataifa hayo.Nilipokutolea mfano wa wazungu wengine kutoa mchango kwenye abolition of slavery,na pia kwa kuongezea hata kwenye harakati za weusi hapa US,kuna ambao walichangia.Sababu ulizozitoa kuwa uadui wetu na Libya uwe wenye vigezo vya vita ya Kagera si madhubuti.
Nchi yenye mafuta kuiongoza si kazi ndogo ndugu yangu.Tena hayo yamechangiwa zaidi na ukweli kwamba mapinduzi yalishafanywa kumwondoa puppet miaka ya nyuma.Ama ni kwasababu sisi tunawaachia wanafanya watakavyo na wananchi wanabaki masikini huku wachache tu wakinufaika?Kama ni kweli Gaddafi alikuwa akiisadia Afrika,na huku pia wananchi wake wakiwa hawana shida.Basi hakunkuwepo na haja ya kuifanyia hiki inachofanyiwa nchi ya Libya.
Unaweza kunipa a 3D analysis on the puppets vs dictators?Unaweza kunipa tofauti/ama jinsi walivyo sawa?Wapi wanafaa kati ya puppets vs dictators,and the reasons behind either reason? Swali hili ni muhimu na nitalirudia kama hujanipata.Ni vizuri tukaziangalia hizo "two wrongs" kwa mapana. Shukran.
Wahenga walisema, "sikio la kufa halisikii dawa"!how stupid of them..
zimbabwe could have accepted them....
Wahenga walisema, "sikio la kufa halisikii dawa"!
CNN wanadai it could be just a few hours before Gaddafi is done.Wanasema wanashikilia neighborhood nyingi tu pia hata green square.Pia kwamba kuna wanao surrender.Unaweza kutuwekea hiyo link ya russian tv kuwa Gaddafi is detained?90% of Tripoli under rebel control and Gadafi detained. Source Russia television beamed by TBC1. Jamani Gadafi mwanamapinduzi!!