The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Hawa watu sasa nimeamini kuwa ni wahuni wa benghazi!Wamemchomoa kwenye gari baada ya mabomu ya NATO,na alikuwa na camouflage,lakini wakataka kusema ni kwenye hole.Na kuna picha hayuko na hiyo camouflage.Ni wazi walimvuawa ili kupiga picha za kipropaganda!
Amekufa kishujaa frontline!Akipambana!
 
Alipanda ngazi hadi kuwa kiongozi mkuu wa taifa la Libya ,ambapo alitwa madaraka kwa mapinduzi ,wahenga wanasema akimbizae upanga akiwa uameuning'iniza hewani huanguka na kumchoma mwenyewe .Gaddafi amedhalilika heshima imepotea amefanananishwa na kifo cha mzoga wa mbweha ,haya yanakuja Tanzania tena sio muda mrefu siku ya kuandamananchi nzima kupinga tuzo ya dowans ndiyo mwanzo wa kumburuza kikwete kama mbweha sawa na yaliyompata Gaddafi
 
Heri kuwa mtumwa wa mzungu kuliko kuwa mtumwa wa ndugu yako mweusi.
Duuh!! mkuu unamaneno wewe! sijui unayatoaga wapi....yaani ni mara chache sana nisome post yako nisicheke!
Na mara nyingi huwa nafurahi sana kwa jinsi unavyowajibu wapambe wa magamba
 
SIRTE, Libya (Reuters) - Former Libyan leader Muammar Gaddafi died of wounds suffered on Thursday as fighters battling to complete an eight-month-old uprising against his rule overran his hometown Sirte, Libya's interim rulers said. His killing, which came swiftly after his capture near Sirte, is the most dramatic single development in the Arab Spring revolts that have unseated rulers in Egypt and Tunisia and threatened the grip on power of the leaders of Syria and Yemen. "He (Gaddafi) was also hit in his head," National Transitional Council official Abdel Majid Mlegta told Reuters. "There was a lot of firing against his group and he died." Mlegta told Reuters earlier that Gaddafi, who was in his late 60s, was captured and wounded in both legs at dawn on Thursday as he tried to flee in a convoy which NATO warplanes attacked. He said he had been taken away by an ambulance. There was no independent confirmation of his remarks. An anti-Gaddafi fighter said Gaddafi had been found hiding in a hole in the ground and had said "Don't shoot, don't shoot" to the men who grabbed him. His capture followed within minutes of the fall of Sirte, a development that extinguished the last significant resistance by forces loyal to the deposed leader. The capture of Sirte and the death of Gaddafi means Libya's ruling NTC should now begin the task of forging a new democratic system which it had said it would get under way after the city, built as a showpiece for Gaddafi's rule, had fallen. Gaddafi, wanted by the International Criminal Court on charges of ordering the killing of civilians, was toppled by rebel forces on August 23 after 42 years of one-man rule over the oil-producing North African state. NTC fighters hoisted the red, black and green national flag above a large utilities building in the center of a newly-captured Sirte neighborhood and celebratory gunfire broke out among their ecstatic and relieved comrades. Hundreds of NTC troops had surrounded the Mediterranean coastal town for weeks in a chaotic struggle that killed and wounded scores of the besieging forces and an unknown number of defenders. NTC fighters said there were a large number of corpses inside the last redoubts of the Gaddafi troops. It was not immediately possible to verify that information. (Writing by Jon Hemming and William Maclean; Editing by Mark Heinrich)
Ghadafi hajauwawa na nguvu ya umma,bali na nguvu ya Mabepari wa kizungu,be a thinker and a critical analist on serious issues
 
It is so sad for the whole episode to end in that fashion...Gaddafi should have caught alive and tried before the court of law.
 
Gaddafi alifanya mengi mazuri ndani ya Libya na Afrika kwa ujumla. Hao waliomuua wanataka rasilimali za walibya na sio demokrasia kama wanavyosema.

Watu waliofaidika na utawala wa Gaddafi ni the West. Ndani ya Libya ni kikundi kidogo sana kilichonufaika na utawala wake. Chini ya utawala wake watu wa Sirte walikuwa wanapewa preferential treatment over other Libyans. Pia kuna kundi ndani ya Tripoli who benefited a lot from Gaddafi rule. Pia kuna taarifa wakati wa utawala Gaddafi Waafrika walikuwa wanabenefit zaidi ya Walibya wenyewe.

Hata hivyo hata kama Gaddafi alifanya mengi mazuri ndani ya Libya, Walibya wengi were not fighting against him because he made them poor. Sio umasikini unaowafanya hao rebels wapigane. It is a completely different thing which unfortunately, kwa uroho wa madaraka, Gaddafi ignored it wakati akijua wazi kuwa the West would pick on it and use it to oust him.

Personally, I wish Gaddafi angesoma alama za nyakati. He could have have been one of the most respected leaders in Africa. Ni sawa na mwanamke anayejijua ni mzuri halafu anatembea barabarani nusu uchi huku akiwakejeli wanaume. Lazima watambaka tuu. Mtoto wake alisoma alama za nyakati akaja na a very good proposal baba yake akaitosa.

Kwa nini asingefanya Putin kwa ku-rule by remote control?
 
Habiri kutoka Aljazira zimeripotikuwa gaddafi alikamatwa akiwa hai halafu akauliwa mwili wake wapelekwa mutual
 
Rumours are circulating with once again European and American leaders misinforming the public, and the usual media culprits Al-Jazeera and Al-Arabia broadcasting the occupation NTC (National Terrorist Council) claim of the capture or death of Muammar Qaddafi.

Green Committees have confirmed that the leader is alive, and that the enemy is seeking to take advantage of his being currently out of communications. The aim is to please Hillary Clinton who barked at her Arab slaves that she wants Muammar Qaddafi "dead or alive."

The analysts who are close to the Libyan leader have told Mathaba that the aim of the rumours is several fold. On the one hand, they wish to demoralize the Libyan resistance which has held out for over 7 months against the strongest terrorists and invading armies in the world. On the other hand, they wish to thus lure the Leader out to make a call in order to attempt to get a fix on his location.

The Secretary-General of the International People's Conference Organization told Mathaba that there is also another aim in this strategy of Clinton and her minions, which is to attempt to perpetuate the myth that the NTC controls all of Libya and that the Jamahiriya is no more, because the NTC has made it clear they cannot declare a government unless they control the entire country.

NATO, the American-European armed forces, primarily cowardly Air Forces which have been bombing Libya non-stop since March this year, and special ground forces and foreign terrorists, have killed an estimated 60,000 Libyans thus far, but the Libyan Jamahiriya remains the only legitimate government because it rests squarely upon the Libyan people.

The IPCO Secretary-General said "Clinton wishes to lay her hands on the over 100 billion dollars of Libyan Jamahiriya assets which have been frozen. She cannot do so legally nor hand over any of those funds on any legal footing so long as the Jamahiriya continues to exist. And it does continue to exist, because it consists of over 6,000 basic people's conferences.

"The fact that the basic people's conferences could not convene at least twice a year as usual this year, has been because of the heavy NATO bombing and lack of security for the public to gather in their conference halls. However, in other countries around the world, elections take place only every 4, 5 or even 7 years, not several times a year as in the Jamahiriya, so the existing policies and legislation remain in force, as well as the existing authorities, until such time as the masses can convene again", the Secretary-General said.

Mathaba Libya news editor said that NATO and Clinton are desperate to show a "victory" in Libya, by way of a compliant media, and the NTC is anxious to provide that "victory" for their masters, in order to secure further support. The NTC leaders and their factions are all fighting amongst each other, and are dissatisfied with the spoils, which so far have not been forthcoming due to the armed population putting up a fierce resistance, and the globalist bankers being unable to keep their promises to the Libyan traitors.

Libyans should continue their mass green demonstrations and resistance, and ignore all rumours, as it has been confirmed that Mu'ammar Qaddafi is alive and well and will not be in communications currently for security reasons. One of the main aims of Clinton has been to kill or capture Qaddafi, or otherwise force him to leave Libya, and none of those aims will be granted her.

Readers can follow Libyan news at www.mathaba.net/news/libya and sign up for the free daily briefing at www.mathaba.net/go/daily.
 
this is another painful lesson that goes into the long list of fun events in the history of this continent.Jamani hakuna mtu mbabe na kiongozi salama ni yule anayewaheshimu, kuwatumikia n kuwajari watu wake. Siyo bunduki, wala maofisa wa usalama wenye mafunzo ya kiasi chochote kile katika dunia hii, wanaompa usalama kiongozi. Nikiangalia hapa kwetu, hili ni funzo lingine tena darasa la bure kabisa. Kama tulitegemea angetujengea zile nyumba za kilosa baada ya yale mafuriko, ukweli ni kuwa haitawezekana tena.
 
Watu waliofaidika na utawala wa Gaddafi ni the West. Ndani ya Libya ni kikundi kidogo sana kilichonufaika na utawala wake. Chini ya utawala wake watu wa Sirte walikuwa wanapewa preferential treatment over other Libyans. Pia kuna kundi ndani ya Tripoli who benefited a lot from Gaddafi rule. Pia kuna taarifa wakati wa utawala Gaddafi Waafrika walikuwa wanabenefit zaidi ya Walibya wenyewe.

Hata hivyo hata kama Gaddafi alifanya mengi mazuri ndani ya Libya, Walibya wengi were not fighting against him because he made them poor. Sio umasikini unaowafanya hao rebels wapigane. It is a completely different thing which unfortunately, kwa uroho wa madaraka, Gaddafi ignored it wakati akijua wazi kuwa the West would used it to oust him.

Personally, I wish Gaddafi angesoma alama za nyakati. He could have have been one of the most respected leaders in Africa. Ni sawa na mwanamke anayejijua ni mzuri halafu anatembea barabarani nusu uchi huku akiwakejeli wanaume. Lazima watambaka tuu. Mtoto wake alisoma alama za nyakati akaja na a very good proposal baba yake akaitosa.

Kwa nini asingefanya Putin kwa ku-rule by remote control?
Una maana gani kusema kuwa Waafrika walibenefit zaidi ya Walibya? Walibya sii Waafrika? Poor him he died following the invasion of NATO and US to Libya.
 
Back
Top Bottom