The story of my life: Ukweli mchungu baada ya kugundua mtoto tulie naye hakuwa mtoto wangu

Hata sijasoma, lirefu sana
 
Hapo kwenye kuachia vyote ni busara na huruma ya jamaa tu haswa kwa mtoto asiye na hatia...

Jamaa angeweza pia kutumia "ukurya mwingi" kwa kumtimua mama na mtoto na akabaki na mali zake (na wengi ndio hufanya hivi)...
Ni busara na huruma inayoumiza, ila kwavile alifanya kwa moyo mmoja, pongezi kwake.

Katika maisha kuna viporo sio vya kupasha, vitakuumiza tumbo. Huyu Binti kiporo alichopasha na sponsor wake, kimempa majuto ambayo hatoyasahau
 
Mtoa mada, Kuna watu hapa Duniani Kwa sababu ya Ubaya wao Huwa ama hawatakiwi uwape huruma au hawastahili kabisa kuishi... Hi ndio kanuni ya Asili ikiwa Unahitaji Furaha na Mafanikio.

Kwann nimesema haya.....


Kakusaliti, Kabeba mimba, mbaya zaidi kuendelea kudanganya mpaka hatua ya mwisho ya kuomba Msamaha.


Alafu Et bado, Ukamwachia Kila kitu, Ukamwachia na Gari 🤣🤣🤣.

Kwamba ndo Ugud Guy??? ... Wee ni mpuuzi tu.


Kwahiyo ukayaacha hayo yote ukaenda kulala chini ? ???. Wee ni mjinga.



What if , Taasisi uliyopo katika kupunguza wafanyakazi ,nawee ungepunguzwa?.

Hya Bidada , anaolewa na Mwanaume mwingine, au Huyo Mzeee alozaa naye , Gari linakua la Mzee 🤣🤣, Kitandan ulichoanzia Maisha , anatombewa hapohapo.



Vipi Mama yako ana gari?? Vipi thamn za kwenu za ndan Kwa Mama yako? Mama yako anakitanda kizuri??

Hayo maswali yatoshe kukupimisha kama wee ni mpuuzi au Lah !!.



Itoshe tu kusema haya, Inawezekana ni tukio la kweli ila umeongezea chumvi Kwa sehem baadhi au Stori kama zingine !!.



Kwa namna nilivyo mbinafsi , Mwanamke anifanyie ivooo🤣🤣🤣🤣 labda kama Mimi sio wa Kanda ya ziwa !!.
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwamba alitoa 8% only apite hivi
 
Halafu watu hapa mmepata somo lakini utashangaa bado wanaenda kubambikiwa. DNA liwe takwa la lazima kisheria Tanzania hii
 
kutaniana kwa sana kukutana mara chache chache mida ya lunch maeneo ya ofisini kwao kwenda kupata lunch kwa hiyo that was our life.
Lunch alikuwa analipa nani😀 swali la kizushi tu
mara Nyingi nilikuwa nawith draw siku za hatar na hii hadi aliniuliza nawezaje kwasababu ex wake alikuwa hawez (hii nilikuja kuconnect dot badae)
This should have been the first clue. Sijafika mbali bado niko ya kwanza but I am wondering whatever went wrong it started here😀
 
Umesema kisa chako ni miaka 9 mpaka 10 iliyopita alafu tena huo mwaka baada ya manzi yako kupata mimba ukanunua gari ukaanza kupiga na mishe za uber na uber imekuwa established bongo 2016??

CHAI
Hivi unajua toka 2016 mpk sasa 2023 ni miaka saba imepita
Na katika MAHUSIANO mpk kuja kuishi pamoja kwa mujibu wa story ukiifatikia kwa umakiniwalidate kwa zaidi ya miaka 2 au 3 mpk mdada aliposhika ujauzito
Soma story kwa umakini utaelewa
 
🤣🤣🤣 I knew it
 
Mkiambiwa muwe ma play boy kama mimi hamtaki mnataka kujitwisha mizigo ya shida,haya niko paaaaaale nawacheki.
 
Kila mtu ana maono yake kwenye kichwa chake usitake unavyofikilia ww n mwenzio naye afanye hivyo itoshe kusema kuanza upya sio ujinga jamaa hakutaka kelele za kugawana vitu ndio maana akaamua kusepa na nguo

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…