The story of my life: Ukweli mchungu baada ya kugundua mtoto tulie naye hakuwa mtoto wangu

The story of my life: Ukweli mchungu baada ya kugundua mtoto tulie naye hakuwa mtoto wangu

MWANZO WA MAISHA MENGINE





Baada ya kuja na dada yake pale kukawa na kikao mwenyewe akaniomba aniambie kila kitu,me nikamwambia aniambie tu ukweli

Akaniambia ni kweli alikuwa anadate na yule mzee na walianza nae kitambo alikuwa kama sugar dady wake na alikuwa anasafiri nae sana kwasbabu huyo mzee nature ya kazi yake ni kusafiri sana alikuwa anampa hela na nini vitu vingi hapo kati kati alikuwa anamsaidia sana.

Hapo tulikuwa wawili dada mtu alitupisha nikamuuliza swali nikamwambia niambie ukweli kuhusu mtoto na naomba usinidanganye ili nirudishe imani kwako na kwa ufupi tu nimeshachukua sample ya nywele nataka kupeleka kupima DNA(hii nilimdanganya),so naomba ukweli niupate kwako nisiende kuupata sehem nyingine

Nikaona mtu akapiga magoti huku analia akanii jina langu kiukweli huyu mtoto ni wa flani akamtaja yule mzee

Nikamuuliza what happened ilikuaje hadi ukapata mimba ya yule mzee

Akaniambia yule mzee ni mtu mwenye mke na watoto wakubwa tu na mimi niliona kwenye picha ya yule mkwe wa yule mzee facebook

Akasema baada ya kudate nae akiwa side chick akaja kukutana na mimi badae yule mzee aligundua kuwa anadate na mimi kwa sababu alikuwa ratiba zake zikawa hazieleweki kama zamani kumbe kipindi hicho yupo na mimi

Yule mzee anasema akamuuliza kuhusu kupata mtu mwingine akasema ndio anaye mtu mwingine akulizwa kama ananipenda akasema ni kweli ananipenda

Yule mzee akampa option kuwa kama akiniona nafaa basi aendelee na mimi,basi kumbe kipindi hicho huku mapenzi yamenoga kwangu story niyingi company nzur na akasema kwangu akaona kuna feature kule ye alikuwa kama side chick tu

so akamwambia mzee , mzee akawa mbishi kumwachia aende mara amtishie kuwa atanifata aniambie kuhusu uhusiano wao sasa sijui alikuwa anaona angeharibiwa kotekote sasa dada akawa anatumanage wote kwa pamoja.

Akaniambia kipindi flani nilisafiri kama miezi 2 hv hatukuonana nikiwa narud dar yeye anakuwa amesafiri kumbe dada alikuwa ameshakata shauri la kuachana na mzee ili aje kwangu kwa hiyo alikuwa kama amempa mzee mara ya mwisho kama ndio ya kuagana na mzee alikuwa hawez kuwithdraw since wako pamoja ndio mana kama unakumbuka kule mwanzon aliniuliza ninawezaje kumbe mzee ilikuwa hivyo na anhisi hicho kipindi ndio alipata ujauzito coz alichanganya siku zake na mzee kama alimfanyia kusudi kwasababu alivyomwambia mzee akamwambia atalea.

Me baada ya kurudi tulionana almost after miezi miwili kwa hiyo huyo mtoto sio wa kwangu ila naomba sana nimsamhehe yeye alishaachana nae.

Nikamuuliza mbona anakupigia kila siku kama umeachana nae?akasema anamsumbua kujuli hali mtoto

Nikamuuliza mbona kuna transactions anakutumia naona unazipokea akawa hana jibu ansisitiza nimsamehe.

tukarud nyumbani nikamwambia naomba nitafakari na naomba usije ukawapigia simu nyumbani kwetu kuwalilia kwa sasa kwani wamesikitishwa sana ka hili (nilimwambia hivyo ili asipige simu home kwani alikuwa amekubaliuka sana asilete complications zingine ila kiukweli hapo home sikusema chochote)

Basi nikaondoka nikaenda nikaenda kwa mshkaji wangu mmoja usiku ule nikamzuga gheto kuna wageni kesho nikaamkia job nikarud tena kwa mshakji,yeye alikuwa anapiga simu sipokei namtumia tu sms niko salama.

Baada ya kutafakari sana nikaona siwez kuishi kwenye uhusiano ni bora nikae pembeni basi siku ya tatu nikarudi nyumbani nikamsalimia nikambeba mtoto nikamwangia sana kwa huruma malaika yule hana hata hatia na alikuwa maeshanizoe kama baba yake coz kila jion nikirud lazima nicheze sana ndio alale, nikasema wacha niwapishe wawe na maisha yenye amani nikalala nyumbani,

Kipindi hicho pale tulipokuwa tunakaa ilikuwa kama miez miwili hv kodi kuisha kulivyokucha nikaenda bank tulikuwa na saving zetu kidogo nikampigia mwenye nyumba nikamwomba nimwekee kodi mana miez michache iajyo naweza nisiwe vzur alikubali nikmwekea kodi ya miezi 6 na kiasi kilichobaki kidogo nilichukua.

nilivyotoka bank nikarud mtaa flani nikamwomba dalali anitafutie chumba kimoja,kufika jion akawa amekipata nikaenda nikalipia mwenye nyumba akaniambia hata kesho niende kuhamia.

Nikatoka hapo jioni nikaarud nyumbani mud huo mi nalala sebuleni

Kesho yake nikaenda mwenge nikanunua godoro na ndoo moja na kopo la kujimwagilia,nikanunua na pasi ya philips nakumbuka,nikaenda kwenye chumba kipya nikanunua taa nikanunua na net na kamba nikfunga tok =a kwenye dari

Jioni nikarud home pale nikamwita nikamwambia mimi nimekusamehe ila siwezi kuendelea na wewe tena na pia hili pia sijawaambia watu maana ni aibu yetu sote naomba iwe hivi me naomba niondoke hapa nyumbani nakuachia kila kitu vitu vya ndani hadi gari naomba nikuachie kwasababu tulilinunuan sababu ya huyu mtoto me nitaenda kuanza upya basi nikaingia nikachukua vyeti vyangu,mashrt na trousers za kuvaa ofisini na viatu vyangu na slipers nikaweka kwenye bag dogo niakondoka

hakuamini akawa anaivuta huku analia me niakondoka zangu nikaenda kwenda kuanza upya kwenye kagheto changu.

Na huo ndio ukawa mwisho wa uhusiano wetu,alinitafuta sana badae akawa hadi anakuja kunisuburia ofisini akaja kuona nimeamua hivyo basi na yeye akaamua aanze maisha yake

Hatukuwasiliana kwa muda kidogo kuna muda hapo kati kati tuliwasiliana kidogo na yule mtoto anaendelea vzur sasa hv kakuwa mkubwa huwa namwona kweye status akimpost na kwa upande wangu nashkuru naendelea vizur



Ahsanteni



Mwisho.
Hayo uliyochukua ndiyo maamuzi ya kuume sasa. Siyo unageuzwa fala kwa kulea mtoto ambaye ni wa kusingiziwa huku ukionekana ni fala.
Pia siyo unajidhuru au unamdhuru mtu sababu ya ufwala wake. Piga chini kama ulivyofanya then maisha mengine yaendelee.

Huyo msichana ni mpumbavu na mwendawazimu, kwanini aendelee kukufuata hadi ofisini wakati ni mama watoto wa mtu. Asikuletee upuuzi ikibidi hakikisha unam report ili kuondokana na yanayoweza kutokea huko mbele ya safari
 
Doh, pole Sana ndugu yangu
Uongo uongo kwenye mahusiano sio mzuri naamini angekueleza mwanzo ungekubali Ila ndo hivyo life expirience

Asante kwa ku share
Tumejifunza
 
MWANZO WA MAISHA MENGINE





Baada ya kuja na dada yake pale kukawa na kikao mwenyewe akaniomba aniambie kila kitu,me nikamwambia aniambie tu ukweli

Akaniambia ni kweli alikuwa anadate na yule mzee na walianza nae kitambo alikuwa kama sugar dady wake na alikuwa anasafiri nae sana kwasbabu huyo mzee nature ya kazi yake ni kusafiri sana alikuwa anampa hela na nini vitu vingi hapo kati kati alikuwa anamsaidia sana.

Hapo tulikuwa wawili dada mtu alitupisha nikamuuliza swali nikamwambia niambie ukweli kuhusu mtoto na naomba usinidanganye ili nirudishe imani kwako na kwa ufupi tu nimeshachukua sample ya nywele nataka kupeleka kupima DNA(hii nilimdanganya),so naomba ukweli niupate kwako nisiende kuupata sehem nyingine

Nikaona mtu akapiga magoti huku analia akanii jina langu kiukweli huyu mtoto ni wa flani akamtaja yule mzee

Nikamuuliza what happened ilikuaje hadi ukapata mimba ya yule mzee

Akaniambia yule mzee ni mtu mwenye mke na watoto wakubwa tu na mimi niliona kwenye picha ya yule mkwe wa yule mzee facebook

Akasema baada ya kudate nae akiwa side chick akaja kukutana na mimi badae yule mzee aligundua kuwa anadate na mimi kwa sababu alikuwa ratiba zake zikawa hazieleweki kama zamani kumbe kipindi hicho yupo na mimi

Yule mzee anasema akamuuliza kuhusu kupata mtu mwingine akasema ndio anaye mtu mwingine akulizwa kama ananipenda akasema ni kweli ananipenda

Yule mzee akampa option kuwa kama akiniona nafaa basi aendelee na mimi,basi kumbe kipindi hicho huku mapenzi yamenoga kwangu story niyingi company nzur na akasema kwangu akaona kuna feature kule ye alikuwa kama side chick tu

so akamwambia mzee , mzee akawa mbishi kumwachia aende mara amtishie kuwa atanifata aniambie kuhusu uhusiano wao sasa sijui alikuwa anaona angeharibiwa kotekote sasa dada akawa anatumanage wote kwa pamoja.

Akaniambia kipindi flani nilisafiri kama miezi 2 hv hatukuonana nikiwa narud dar yeye anakuwa amesafiri kumbe dada alikuwa ameshakata shauri la kuachana na mzee ili aje kwangu kwa hiyo alikuwa kama amempa mzee mara ya mwisho kama ndio ya kuagana na mzee alikuwa hawez kuwithdraw since wako pamoja ndio mana kama unakumbuka kule mwanzon aliniuliza ninawezaje kumbe mzee ilikuwa hivyo na anhisi hicho kipindi ndio alipata ujauzito coz alichanganya siku zake na mzee kama alimfanyia kusudi kwasababu alivyomwambia mzee akamwambia atalea.

Me baada ya kurudi tulionana almost after miezi miwili kwa hiyo huyo mtoto sio wa kwangu ila naomba sana nimsamhehe yeye alishaachana nae.

Nikamuuliza mbona anakupigia kila siku kama umeachana nae?akasema anamsumbua kujuli hali mtoto

Nikamuuliza mbona kuna transactions anakutumia naona unazipokea akawa hana jibu ansisitiza nimsamehe.

tukarud nyumbani nikamwambia naomba nitafakari na naomba usije ukawapigia simu nyumbani kwetu kuwalilia kwa sasa kwani wamesikitishwa sana ka hili (nilimwambia hivyo ili asipige simu home kwani alikuwa amekubaliuka sana asilete complications zingine ila kiukweli hapo home sikusema chochote)

Basi nikaondoka nikaenda nikaenda kwa mshkaji wangu mmoja usiku ule nikamzuga gheto kuna wageni kesho nikaamkia job nikarud tena kwa mshakji,yeye alikuwa anapiga simu sipokei namtumia tu sms niko salama.

Baada ya kutafakari sana nikaona siwez kuishi kwenye uhusiano ni bora nikae pembeni basi siku ya tatu nikarudi nyumbani nikamsalimia nikambeba mtoto nikamwangia sana kwa huruma malaika yule hana hata hatia na alikuwa maeshanizoe kama baba yake coz kila jion nikirud lazima nicheze sana ndio alale, nikasema wacha niwapishe wawe na maisha yenye amani nikalala nyumbani,

Kipindi hicho pale tulipokuwa tunakaa ilikuwa kama miez miwili hv kodi kuisha kulivyokucha nikaenda bank tulikuwa na saving zetu kidogo nikampigia mwenye nyumba nikamwomba nimwekee kodi mana miez michache iajyo naweza nisiwe vzur alikubali nikmwekea kodi ya miezi 6 na kiasi kilichobaki kidogo nilichukua.

nilivyotoka bank nikarud mtaa flani nikamwomba dalali anitafutie chumba kimoja,kufika jion akawa amekipata nikaenda nikalipia mwenye nyumba akaniambia hata kesho niende kuhamia.

Nikatoka hapo jioni nikaarud nyumbani mud huo mi nalala sebuleni

Kesho yake nikaenda mwenge nikanunua godoro na ndoo moja na kopo la kujimwagilia,nikanunua na pasi ya philips nakumbuka,nikaenda kwenye chumba kipya nikanunua taa nikanunua na net na kamba nikfunga tok =a kwenye dari

Jioni nikarud home pale nikamwita nikamwambia mimi nimekusamehe ila siwezi kuendelea na wewe tena na pia hili pia sijawaambia watu maana ni aibu yetu sote naomba iwe hivi me naomba niondoke hapa nyumbani nakuachia kila kitu vitu vya ndani hadi gari naomba nikuachie kwasababu tulilinunuan sababu ya huyu mtoto me nitaenda kuanza upya basi nikaingia nikachukua vyeti vyangu,mashrt na trousers za kuvaa ofisini na viatu vyangu na slipers nikaweka kwenye bag dogo niakondoka

hakuamini akawa anaivuta huku analia me niakondoka zangu nikaenda kwenda kuanza upya kwenye kagheto changu.

Na huo ndio ukawa mwisho wa uhusiano wetu,alinitafuta sana badae akawa hadi anakuja kunisuburia ofisini akaja kuona nimeamua hivyo basi na yeye akaamua aanze maisha yake

Hatukuwasiliana kwa muda kidogo kuna muda hapo kati kati tuliwasiliana kidogo na yule mtoto anaendelea vzur sasa hv kakuwa mkubwa huwa namwona kweye status akimpost na kwa upande wangu nashkuru naendelea vizur



Ahsanteni



Mwisho.
una moyo hadi gari yani mimi ninge muachia vya kupikia na godoro tu.
 
Pole sana
Wengi wanasema vitu ungechukua lakini mimi nadhani umemwachia as uliamua kusamehe yote kwa moyo mmoja ili nafsi yako iwe huru na kwa kufanya hivyo majeraha yako yatapona haraka zaidi kuliko aliekutenda!
Revenge haisaidii kupona bali huongeza bitterness ndani ya moyo ambayo huwa ni sumu kali inayoua!
 
Write your reply...mpaka gari umemwachia asee hongera bhana kwa ujinga kilo70..hapo ungetakiwa usilipe hata kodi uache mzee wake ndo amlipie pia gar ungeuza ukanunue kiwanja uanze life lingine
 
Mtoa mada, Kuna watu hapa Duniani Kwa sababu ya Ubaya wao Huwa ama hawatakiwi uwape huruma au hawastahili kabisa kuishi... Hi ndio kanuni ya Asili ikiwa Unahitaji Furaha na Mafanikio.

Kwann nimesema haya.....


Kakusaliti, Kabeba mimba, mbaya zaidi kuendelea kudanganya mpaka hatua ya mwisho ya kuomba Msamaha.


Alafu Et bado, Ukamwachia Kila kitu, Ukamwachia na Gari 🤣🤣🤣.

Kwamba ndo Ugud Guy??? ... Wee ni mpuuzi tu.


Kwahiyo ukayaacha hayo yote ukaenda kulala chini ? ???. Wee ni mjinga.



What if , Taasisi uliyopo katika kupunguza wafanyakazi ,nawee ungepunguzwa?.

Hya Bidada , anaolewa na Mwanaume mwingine, au Huyo Mzeee alozaa naye , Gari linakua la Mzee 🤣🤣, Kitandan ulichoanzia Maisha , anatombewa hapohapo.



Vipi Mama yako ana gari?? Vipi thamn za kwenu za ndan Kwa Mama yako? Mama yako anakitanda kizuri??

Hayo maswali yatoshe kukupimisha kama wee ni mpuuzi au Lah !!.



Itoshe tu kusema haya, Inawezekana ni tukio la kweli ila umeongezea chumvi Kwa sehem baadhi au Stori kama zingine !!.



Kwa namna nilivyo mbinafsi , Mwanamke anifanyie ivooo🤣🤣🤣🤣 labda kama Mimi sio wa Kanda ya ziwa !!.
Mi nilivyo mchungu kweli angeondoka na begi tu, tena nguo zake nzuri nzuri angeacha niziuze
 
Back
Top Bottom