The Top 10 Most Intelligent People in the World

The Top 10 Most Intelligent People in the World

KWANI IQ NDIO NINI?....MBONA SIONI KITU CHA AJABU HAPO?...HATA KWETU KUNA WATOTO WANAZALIWA WANAONGEA SEUSE HAO MIEZI 6 TUU...NINI KIJERUMANI KICHINA SIE WATOTO WETU WANANENA HADI KWA LUGHA ZA MALAIKA....

YALEYALEEEE...KUNYA ANYE KUKU MZUNGU TUKINYA SIE BATA WAAFRIKA TUNAAMBIWA TUME-HARAAAAAAA.....IQ NI UJINGA MTUPU..MTU ANAKUWA NA IQ KWA KUTOFUNGWA CHESS?...MBONA SIE PALE KWA MJEE JAMBA MAENEO YA MCHAMBA WIMA KIJIWE CHA BAO MZEE SAIDI BWABWAJA HUU MWAKA WA 40 HAJAWAHI KUFUNGWA BAO NA MTU YEYOTE....AU KWA VILE SIE HATUPIGI MAYOWE INAMAANA HATUUMII KISA WAO WANALIA KWA SAUTI NDIO WANAUMIA ZAIDI.

UKOLONI MWENGINE IN MAKINGI....YALE YALEEE YA MZUNGU KUGUNDUA ZIWA VICTORIA NA MLIMA KILIMANJARO UTADHANI ALITOKA NAVYO ULAYA AKAVILETA KWA WACHAGA NA WASUKUMA KISHA AKAGUNDUA YEYE.

DONT BELIEVE EVERYTHING YOU READ IS REAL...by 2pac.

kumbuka pia not everything you read is NOT real... na kwa clues ndogondogo kama kuongea mapema doesnt matter. clue ni uwezo wa kuelewa, kukumbuka complex phenomena. mfano albert einstein, father of relativity(in physics) hakuwahi sana kuongea.
 
leo nimepata kitu hapa. Sio kule kwenye jukwaa la mipasho na ishu za kungonoka zenye kujaza mpaka page500.
 
Geezzle,

Mbona una hasira sana baba? Vipaji vipo havijapewa nafasi. Issue za kuagiza nyembe na toothpick uarabuni sio sababu ya kukosa watu wenye akili. Ni kwa sababu ya uongozi mbovu usioshaurika.

Iq hizi zipo simiyu huko, nani ataziona na kuzipima? Hao wamepata promo ya technolojia tu. Kama kitoto kinajua hesabu kuliko mwalimu huko tandahimba unadhani kitaexcel wapi? Kwao hamna hata computer ya kuchungulia!

Afrucan hamna kitu, zaid ya 50 mills african wamesambaa duniani hsa kwenye maeneo yenye exposer but hakuna ata mmoja kachomoza kizazi cha lahana.
 
Last edited by a moderator:
We msomali wa al-shabab kaa kimya tangu umejua kiswahili ishakuwa tabu. Unatamani watanzania watwangane kama kwenu! hahah utasubiri sana.

kijiwe chake huyo somali kiko pale al- uruba hotel,mtaa wa mkunguni-kkoo,utamkuta yeye na jamaa zake wana chew mirungi 24/7 kama mnyama mbuzi vile.lol
 
Hata cc afrka tuna vpji vngi hadi huwa tunane kwa lugha mbona hawaja tuandika kwanye mitandao au ndio ubaguz wa rangi????
 
Tena sio kukariri hesabu,wanakariri maswali ya hesabu yatakayotoka necta wapige a waachane nayo..wenzetu 3 yrs old anapiga ma differential equations,complex no, sijui na makitu gani. Hatari sana.

mkuu hahahah mimi advanced level mathematics nilkuwa nalala na kuamka na mathematics review ya necta teh teh ila du kibongo ndio hivyo tena man!!!!!"
 
We msomali wa al-shabab kaa kimya tangu umejua kiswahili ishakuwa tabu. Unatamani watanzania watwangane kama kwenu! hahah utasubiri sana.

haha hahah

hongera kwa kusitiri kichwa umependeza
vipi na kuosha kulee chini yule dada wa kiisiamu anaekufundisha umeaanza kufanyia kazi maana hujafundishwa kutoa huo uchafuu

alshababb na vita vimeingiage hapa
 
hahah kunauwezekano naliishi mikaa hiyo na hiko kipimo cha IQ kilichotumika hapo hakikuwepo.



Duh!
nadhani kuna kitu unashindwa kutofautisha, embu soma tena mada kuanzia mwanzo, utagundua hii topic imekava wanasayansi tu na wataalamu. na sio freedom fughters na wanasiasa na wanaharakati.

Hahaha! Nimecheka kweli, nadhani amekuelewa!
 
haha hahah

hongera kwa kusitiri kichwa umependeza
vipi na kuosha kulee chini yule dada wa kiisiamu anaekufundisha umeaanza kufanyia kazi maana hujafundishwa kutoa huo uchafuu

alshababb na vita vimeingiage hapa

Una matatizo makubwa sana! Huwezi kujibishana na mwanamke bila kutumiaaa lugha za ajabu? Hukuzaliwa? Aliekuzaa sio mwanamke? Hakufundishwa misingi ya kuujali mwili pia?
Siku hizi mpaka wazungu wanajua kuhusiana na hayo unayoyaona ya msingi, acha lugha zinazomdhalilisha mwanamke.
 
Thread nzuri sana hii.Kati ya hao wote nlikuwa namfahama Terrence Tao tu,nashkuru kwa kuniongezea na hao wengine
 
Back
Top Bottom