The Tourist: Let's go to Bahamas, a way forwad to USA

Ahsante mkuu! Nipo Miami Florida mwaka wa tano huu namshukuru Mungu mambo yanaenda vizuri japo kuna watu walinikatisha tamaa kipindi hiko nafikiria kutoka kwenda kutafuta maisha nje ya Tz
I know it wasn't that easy, ingekuwa vizuri ungeshare hata kwa uchache how the struggle was., umeniimpress mkuu.
 
Hakuna fursa Tanzania.

Utabaki masikini milele.

Jina litabadilika na kuwa less poor than others.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…