The Truth Has Been Revealed (KQ wana ndege 3 tu)

The Truth Has Been Revealed (KQ wana ndege 3 tu)

Kama nikweli kQ walipata hasara hivo sasa nimeelewa biashara ya ndege haina faida uwanja wa Jomo kinyata uko bzy kwelili kila baada ya dakika 10 ndege kutua au kupaa, sidhhani kama ATCL itapata faida yoyote kwa uwanja wetu ambao umedolora kwa abiria wa nje na pia Tz tunakosa tabaka la kati 'serious middle class' linalo tumia usafiri waanga sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndege za kukodi awawezi kupata faida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna kitu kinaitwa off balance sheet. these assets can not appear on KQ balance sheet.
Boss the financials are available to the public .... do not embarrass yourself ... just download and read
 
Boss the financials are available to the public .... do not embarrass yourself ... just download and read

kama hujui financial statements and analysis bora ukae pembeni. leased assets can not be featured in the balance sheet. the assets are not belonging to KQ. they are not included in fixed assets, PPE.
 
Hivi unajidai kua mtaalam wa uchumi wakati hauelewi concept rahisi kama hio..... Hivi ukiambiwa utalii wa Tz unachangia $2B ka uchumi wa TZ hua unafikiria ni hoteli ndo zilitengeneza faida ya $2B 🙄🙄 ..... Hoteli ziko na wafanyikazi, wafnyikazi hulipwa mishahara, watalii hula chakula - wavuvi na wakulima huuzia mahoteli samaki na vyakula, gari za kwenda mbugani hutumia mafuta yanayouzwa na kampuni zengine, kuna kulipa kodi , hoteli na magari huhitaji kulipiwa insuarance... kuna wale wanaouza ushanga, kuna wanafanya biashara ya kukodisha maboti....... hao wote ukijumuisha ndo unapata hio $2B... Tena hapo hatujaongelea multiplier effect... Kwa mfano mtu anayechonga sanamu akiuzia watalii anapata hela ambayo anatumia kununua bidhaa ndani ya Tz na kufaidi kampuni zengine..

kwa mfano hii SGR yetu iliopata loss ya $100m mwaka jana, kwa uchumi wa kenya utakuta imechangia kama $400m kwa kurahisisha na kuboresha uchukuzi wa nchi ... mfano utakuta uchumi wa Mombasa umeongezeka kwasababu ya SGR...

Inasemekana traffic jam ndani ya Kenya inafanya uchumi wa nchi kupotea by $200Million kila mwaka, Nairobi pekee inapoteza $50,000 kila siku .... Hii inamaanisha Nairobi na Kenya nzima ikiwa na efficient transport system kama SGR na BRT, tayari uchumi una gain by $200m hata kama hizo kampuni zitakua zinapata loss!!!!

According to the government, the time wasted in traffic jams represents a cost of $578,000 (Sh58.4 million) a day in lost productivity. That’s more than $210 million (Sh2.1billion) a year. Which is the equivalent of an Anglo Leasing scandal every three years. https://www.nation.co.ke/oped/opini...40808-3183654-format-xhtml-6xsy0bz/index.html


Aviation industry Contributes $3.2Billion or 5% of Kenya's GDP, KQ controls like 70% of Kenyas aviation industry

The Kenyan aviation industry supports up to 620,000 direct and indirect jobs including employment in the tourism sector, a study by the International Air Transport Association (IATA) has concluded.
The aviation industry contributed nearly Sh330 billion ($3.2 billion) to Kenya’s economy, or 5.1 per cent of the country’s Gross Domestic Product (GDP), according to the IATA report.
IATA says Kenya’s aviation industry supports 620,000 jobs
Wacha ujinga the $2.5bln is the revenue going to GoT directly but the overall contribution to the economy is over $16 bln!
 
kama hujui financial statements and analysis bora ukae pembeni. leased assets can not be featured in the balance sheet. the assets are not belonging to KQ. they are not included in fixed assets, PPE.
Now I’m beginning to question your education system .... You clearly do not know what your talking about. Again download and read .... stop exposing yourself
 
Now I’m beginning to question your education system .... You clearly do not know what your talking about. Again download and read .... stop exposing yourself

Ahaaa haaa haaa
if you understand what's creative v/s aggressive accounting, you couldn't go on posing your baseless arguments. I can't take the window dressing financial statements, while I understand what's disclosure and departure as far as the IFRS is concerned.
 
Ahaaa haaa haaa
if you understand what's creative v/s aggressive accounting, you couldn't go on posing your baseless arguments. I can't take the window dressing financial statements, while I understand what's disclosure and departure as far as the IFRS is concerned.
I will leave you to your ignorance
 
Kipi muhimu na Bora,kununua Ndege Kwa cash then zijiendeshe Kwa hasara Kwa kutumia Kodi za Wananchi au kukodisha ndege na kuziendesha kibiashara kwa faida kubwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mara kibao hawa jirani zetu wa +254 wamekuwa wakitukejeli kuhusu ndege zetu zinazo nunuliwa.
Wamekuwa wakijinadi jinsi walivyo na ndge nying na za kisasa kumbe wana ndege 3 tu; zingine zote ni za kukodi.

Siri hii imefichuka baada ya wabunge wa kenya kuingilia kati sakata la KQ kutaka kuchukua uwanja wa JKIA .

Nandi Hills MP, Alfred Keter, a friend of the committee, sought clarification of the ownership of the 28 airliners operated by Kenya Airways.
Of these, only three are owned by Kenya Airways, raising questions about who owns the others, said to be leased from private entities.
The airline currently controls 34 per cent of air traffic, down from the 50 per cent it held in 2011, yet it has brought KLM on board as a shareholder controlling 23 per cent.

“KQ is a loss-making entity, hence, cannot be entrusted with the management of a profit-making airport,” PIC chairman Abdulswamad Nassir said.


habari kamili hapa

JKIA takeover: MPs link Kenyatta family

MK254 Njoo huku ukanushe
 
Back
Top Bottom