The Ugly truth: Tunaishi kwenye dunia iliyojaa watu wenye ubinafsi wa kihisia

Ni rahisi kusema mimi niko hivi, ntakuwa vile, sipendi hiki ama hicho, lakini muda mwafaka wa hisia za ndani ukifika, usipokaa attention moyo unatekwa hata unaweza usijijue kama ndiye wewe yule. Power of will & self-control, hizi vitu 2 ni very pertinent!
 
Ni kweli kabisa...kwangu mimi huwa naona bora mtu usiwe na mahusiano kuliko huko kunakoitwa kuingia nusu-nusu. Hivi hata inawezekana vipi? Mtu unawezaje kucontrol suala la kupenda hata uwe na uwezo wa kuzigawanya hisia zako?
Sindio hapo bana yani mambo mengine yanashangaza sana.
 
True ..unachopaswa wewe kufanya nikuwa positive tu .ukiwa positive then ikatokea mtu akakusaliti mwenye tatizo anakuwa ni yeye nasio wewe .. Wewe unapaswa kujivunia ktk upande sahihi
Wazi kabisa.
 
Mapenzi ni kama ujasiriamali wa hisia tu. Usiogope kuwekeza hisia kwa mtu umpendae. Ni jambo zuri na very soothing.Endapo ataleta ngendembwe basi chukulia easy songa mbele. Mapenzi yananoga ukipenda fully bila limits.
Indeed but mmh maumivu yake nayo ni balaa
 
Mimi hupenda robo robo,naupenda moyo wangu na furaha yangu, na mapenzi kwangu sio kiupaumbele. Na nikiona nakolea upendo naachana
Mmmmmhhh hamna kitu kama hicho,hasa kwa nyinyi wanawake,tena nyinyi mkizama hamsikii wala hamshauriki mnakauli yenu moja ,utasikia ".....sasa sijui nifanyeje......".
 
Mmmmmhhh hamna kitu kama hicho,hasa kwa nyinyi wanawake,tena nyinyi mkizama hamsikii wala hamshauriki mnakauli yenu moja ,utasikia ".....sasa sijui nifanyeje......".
Mkuu kuwajua wanawake wawili watatu usihitimishe unawajua wanawake wa dunia nzima
 
Ni hatari kuwekeza hisia zako za mapenzi huku Africa maana watu wengi ni waongo Sana, ukicheza kidogo unaumizwa tu heri kuishi kimachale na kupeana space kabisa, na before commitments ni Bora kuambiana lengo lenu la mahusiano in case of anything mtu ha fall mazima na I don't allow mtu kuingia ndani sana
 
Ninao wajua wengi sana tena sana ninacho kiongea nina uhakika nacho nyie sometimes mnatufanya mpaka ndugu zenu wa kiume tuonekane mafala.
Lakini kumbuka pia kuwa to every general rule there are exceptions. Sijui kama nimeandika sawa ila inaeleweka. Binadamu sisi tumeumbwa tofauti sana ndio maana wakati wewe unainjoi kula papuchi kuna mwenzio mwenye dushe kama wewe anainjoi kula Tigo za wanaume wenzie
 
Si kweli twaweza kutoa Hadi machozi kumbe tuna pretend usituchukulie wanawake mafala
Nyie wanawake kupenda nusu hamuwezi najua mtabisha ,nyie mkizama mshazama sometimes mnawachukia mpaka ndugu zenu hasa sisi makaka,wajomba mnatuonaga mafala ninacho kiongea nina uhakika nacho.
 
Sijui lkn majority ya nyinyi wanawake mkishazama mmezama mazima,mpaka sometimes unajiuliza hivi dada yangu pale kapenda nini unakosa majibu na ukimwambia ukweli anakuona adui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…