Yaani wanapenda kugegedwa hasa pale wakiona wale msimbazi🤣🤣🤣🤣🤣Kula Mbunye moja tu...Kah...
Mbona hiyo sasa ni adhabu.
Mwamba ukiwa na vijisent kidogo unatakiwa uwapande wanawake maana na wenyewe wanapenda kumbwato
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Taarifa ya wito itawafikia, tunataka athibitishe hizo tuhuma
Maana Ake hakuna mkamilifu[emoji848]MHUBIRI 7:
28Nilipania kugundua mambo hayo tena na tena, lakini sikufaulu. Kati ya wanaume elfu moja, nilifaulu kumwona mwanamume mmoja, anayestahili heshima, lakini kati ya wanawake wote kama hao sikumwona hata mmoja anayestahili heshima.
29Tazama, nimegundua jambo hili moja: Kwamba Mungu aliwaumba wanadamu wanyofu, lakini wao wenyewe wamejitafutia matatizo.
Mleta mada ametuhukumu vibaya wakati biblia inatutetea wanaume.
Kabisa,Taarifa ya wito itawafikia, tunataka athibitishe hizo tuhuma
Bado mwanaume ndio malaya. Wewe hauoni?Bahati mbaya hao walio single wanawakubar sana wanaume wenye mahusiano kuliko sisi tulio single. Na wanawake walioolewa ndio wepesi kutongozwa na kumkubari mwanaume ambae ajaoa kuliko walio single
Had hapo nan malaya?
Nmekuletea na kiti kabisa mahondaw [emoji4]Naweka kambi rasmi hapa [emoji144][emoji144][emoji144]
Mtoa mada huenda limeponyoka,Mleta mada ametuhukumu vibaya wakati biblia inatutetea wanaume.
Kabisa aseeh fanya kukiweka hapa nikae Ili nisome vizuriNmekuletea na kiti kabisa mahondaw [emoji4]View attachment 2107526
Sent using Jamii Forums mobile app
(Kwa sauti ndogo ya chinichini) wadau tusikubali hapa huu ni mtego
Huyu anafaa tumnyungulilo..😂
wakwako ndo yuko hivyo, hivi labda nikuulize unaposema wanaume wanacheat 99% na wanawake 1% hiyo asilimia 99 wanacheat na wanyama au na haohao wanawake unaowatetea tena wake za watu.Mwanamke anaweza kuishi katika ndoa au mahusiano bila kucheat kwa asilimia 99 na wanaume wanaweza kuishi bila kucheat kwa asilimia 1 kwa sababu ni nature ya mwanaume kuwa hivyo.Kwahiyo ukiona mumeo au mpenzi wako hujamkamata inabidi umuheshimu saaana kwasababu anafanya kwa umakini na usiri wa hali ya juu ili asiumize hisia zako.wanaume wasiochet ni wale wagonjwa na makasisi wacha Mungu tu. Wengine wooote tupa kule.
Huu ndio ukweli mchungu kuhusu wanaume, Na ukweli unabaki palepale kuwa asilimia 99 ya wanaume wanatoka nje ya ndoa au mahusiano yao tena bila kuwa sababu ya msingi they just do haimaanishi kwa kufanya hivyo hawawapendi wake zao bali ni maumbile yao ndio yanawatuma hivyo. Kwahiyo kama umeolewa au una mpenzi ukimakamata na mwanamke mwingine usimhukumu kwa KUCHEAT bali mhukumu kwa KUCHEAT KIPUMBAVU mpaka akakamatwa wakati wenzake wanacheat na hawakamtwi.
hiki hapa, Ngoja nikifute kabisa vumbi[emoji4]Kabisa aseeh fanya kukiweka hapa nikae Ili nisome vizuri