DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Ha ha ha...Huyu anafaa tumnyungulilo..[emoji23]
Ndo kufanyaje hivo?[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha...Huyu anafaa tumnyungulilo..[emoji23]
hivi tusipo cheat mtapata shida shida sn, vijana wengi hata hela ya kula shida hivyo wenye vijicent inabidi wawashughulikieNa wanawake walio single
Kama ni me tutambadilisha jinsia awe ke, tupeleke posa kwa wazazi wake, asituletee ujingaKabisa,
Akishindwa apigwe faini.
Hii Ni kutuchafua na kutufedhehesha Sana[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwanza ulichelewa wapi wee mwanamke[emoji4], una akili mingi Sana ujue[emoji4]Halafu mwanaume akicheat anaweza kabisa kubalance ule upendo ila mwanamke akicheat weeehhh lazima upande mmoja uelemewe!
ahahahhaa kuliko ya jeshi la polisi na mauaji maabusuHii ni tuhuma nzito, jumuiya ya wanaume tutakaa kukujadili
Dah! Mpunguzie adhabu mkuu[emoji18]Kama ni me tutambadilisha jinsia awe ke, tupeleke posa kwa wazazi wake, asituletee ujinga
Kaandika kwa jazba Sana mtoa mada[emoji4]Mkuu unahasira sana japo umetoa asilimia 99% kwa wanawake kutokusaliti ila umejiuliza hii 99% ya wanaume wanapiga wapi kama sii kwa hawo watakatifu wako ambao umedai sii wasaliti, punguza asira maana wewe umezaliwa pekeako na ujue mwili wako utaitumiaje....vingine mwaachie mwenza wako ajue mwenyewe
Bado mwanaume ndio malaya. Wewe hauoni?
Huyu anafaa tumnyungulilo..😂
Ulishawahi kupiga nyungu..? Sasa kumnyungulilo ni kumfanya yeye kuwa dawa Sasa..😂
Kenge sanaa huyuu
Ha ha ha...Huyu anafaa tumnyungulilo..[emoji23]
Ulishawahi kupiga nyungu..? Sasa kumnyungulilo ni kumfanya yeye kuwa dawa Sasa..[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Eti mtegoUtukome mtoa mada mimi mbona sichiti niko na mwanamke mmoja wa kufa na kuzikana
(Kwa sauti ndogo ya chinichini) wadau tusikubali hapa huu ni mtego
Nahisi amekulenga wewe hahaaaaaa
Ilikiwa ni time with tamu..😂Ha ha ha...
Umenikumbusha mbali Sana mkuu[emoji4]View attachment 2107562View attachment 2107564
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakua ananionea kwakweli[emoji18]Nahisi amekulenga wewe hahaaaaaa
Unafaa sanaHalafu mwanaume akicheat anaweza kabisa kubalance ule upendo ila mwanamke akicheat weeehhh lazima upande mmoja uelemewe!