The Ugly Truth: Wanaume Wote ni Malaya na Wasaliti

The Ugly Truth: Wanaume Wote ni Malaya na Wasaliti

Hao wanaume wanao cheat wana cheat na mbuzi ama
Hizo % zigawe tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]! Nanyie mtufundishe hivo vionjo mnavyofuata huko nje sasa !
Nje tunafuata "kubadilisha mboga" kunakohalalishwa na mengineyo kama vile shape, rangi, texture, ukaribu mfano workmate, trakoo, harufu, sauti....
 
Mwanamke anaweza kuishi katika ndoa au mahusiano bila kucheat kwa asilimia 99 na wanaume wanaweza kuishi bila kucheat kwa asilimia 1 kwa sababu ni nature ya mwanaume kuwa hivyo.Kwahiyo ukiona mumeo au mpenzi wako hujamkamata inabidi umuheshimu saaana kwasababu anafanya kwa umakini na usiri wa hali ya juu ili asiumize hisia zako.wanaume wasiochet ni wale wagonjwa na makasisi wacha Mungu tu. Wengine wooote tupa kule.

Huu ndio ukweli mchungu kuhusu wanaume, Na ukweli unabaki palepale kuwa asilimia 99 ya wanaume wanatoka nje ya ndoa au mahusiano yao tena bila kuwa sababu ya msingi they just do haimaanishi kwa kufanya hivyo hawawapendi wake zao bali ni maumbile yao ndio yanawatuma hivyo. Kwahiyo kama umeolewa au una mpenzi ukimakamata na mwanamke mwingine usimhukumu kwa KUCHEAT bali mhukumu kwa KUCHEAT KIPUMBAVU mpaka akakamatwa wakati wenzake wanacheat na hawakamtwi.
Wewe ni Muongo kabisa.acha kudanganya,kama wewe upo hivyo usi generaloze
Mwanamke anaweza kuishi katika ndoa au mahusiano bila kucheat kwa asilimia 99 na wanaume wanaweza kuishi bila kucheat kwa asilimia 1 kwa sababu ni nature ya mwanaume kuwa hivyo.Kwahiyo ukiona mumeo au mpenzi wako hujamkamata inabidi umuheshimu saaana kwasababu anafanya kwa umakini na usiri wa hali ya juu ili asiumize hisia zako.wanaume wasiochet ni wale wagonjwa na makasisi wacha Mungu tu. Wengine wooote tupa kule.

Huu ndio ukweli mchungu kuhusu wanaume, Na ukweli unabaki palepale kuwa asilimia 99 ya wanaume wanatoka nje ya ndoa au mahusiano yao tena bila kuwa sababu ya msingi they just do haimaanishi kwa kufanya hivyo hawawapendi wake zao bali ni maumbile yao ndio yanawatuma hivyo. Kwahiyo kama umeolewa au una mpenzi ukimakamata na mwanamke mwingine usimhukumu kwa KUCHEAT bali mhukumu kwa KUCHEAT KIPUMBAVU mpaka akakamatwa wakati wenzake wanacheat na hawakamtwi.
Nadhani umeandika uongo mwingi zaidi.kwa mfano hizo data ulizotoa umezifanyia research wapi na lini? Acha kuwatia hofu wamama wa watuNyie ndiyo mnasababisha ndoa ziwe zinajaa hofu na taharuki sana.yaani kuchepuka hakuangalii kasisi wala mcha Mungu,tunasikia visa kibao kucheat hata kwa hao uliowataja

Ni hivi,kuchepuka ni tabia ya miongoni mwa wanaume na wanawake walioko kwenye ndoa rasmi na zisizo rasmi.Ila pia wanaume waaminifu wapo wengi sana tuu.wanaotunza na kuheshimu ndoa zao kwa dhati kabisa

Hichi ulichoandika hapa ni upuuzi mtupu wa kupuuzwa.
 
Mi nalo langu mojaa dah... Ataniua kwakunipa Mbususu maana dah.
Wee kama anakupa mbususu na aleti story za kwamba umgegede yeye peke huyo kuwa nae mzeya na muhudumie vizuri. Yaani mwanamke ambaye anakupa mbususu with no strings attached huyo ni kumtunza kama malkia
 
Nina Miaka 33 na bado ni bikra...
TUANZIA HAPO KWANZA.
🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️

#YNWA
 
Kwani hao wanaume wanapo cheat huwa Wana cheat na kina Nani !??

Mimi nadhani bandiko lako lilipaswa kusema kwamba hizi jinsia 2 zote hakuna jinsia yenye uaminifu , Ni nadra kumpata mpenzi muaminifu katika Karne hii kwa jinsia zote hizi 2 , katika mahusiano watu huwa Wana cheat kwa sababu nyingi sana ,
 
Kama na wewe Ni muaminifu Basi Bora tu mauti yanifike [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Acha fujo na ukae kwa kutulia pambana ma mauti yako huko..😂
 
Mwanaume kazi yake ni kuzalisha wanawake hii ya kujifanya unamgegeda mwanamke mmoja ni ujinga na ulimbukeni
 
Subiri kukuche, ndiyo uandike vizuri. Inawezekana ikawa ndoto.
 
Back
Top Bottom