The Ugly Truth: Wanaume Wote ni Malaya na Wasaliti

The Ugly Truth: Wanaume Wote ni Malaya na Wasaliti

Siku hizi hata wamama walioolewa wanacheat, na asilimia kubwa wanacheat na wanaume walio kwenye ndoa...

Lunch time huwa inatumika vizuri sana...
 
[emoji1][emoji1] tuna cheat na wanaume wenzetu sio?
 
Siku hizi hata wamama walioolewa wanacheat, na asilimia kubwa wanacheat na wanaume walio kwenye ndoa...

Lunch time huwa inatumika vizuri sana...
Majority Wanafanya hivo baada ya maji kuwafika shingoni...yani ameshakuvumilia weeeeeeeee sasa ile hali inamjengea usugu nae anakua konkodi walau wapate faraja huko ambako na mwenzie anavurugwa
 
Majority Wanafanya hivo baada ya maji kuwafika shingoni...yani ameshakuvumilia weeeeeeeee sasa ile hali inamjengea usugu nae anakua konkodi walau wapate faraja huko ambako na mwenzie anavurugwa

Naamini kila mtu anayecheat huwa na enough good reasons...
 
Ndipo mtuachie kazi yetu, nyie ridhikeni na mnachokipata ndani
😂😂😂😂😂😂! Nanyie mtufundishe hivo vionjo mnavyofuata huko nje sasa ! Ila kuna vijitabiatabia vinakeraga/ vinakoseshaga raha kabisa!
 
Back
Top Bottom