This is for you Ticha Jael...

Ugoro tena!! Bwia mwenyewe mi bado kijana barobaro handsome.. bado naangaika na Hawa vimwali wa sasa Si unajua vijana tuna mengi..
Hilo likijeba utakuwa umelisahau na limeacha kukusumbua Bibi yangu..


Eehehehehee ndo unikumbishe sasa hilo likijeba ni lipi??
 
Eehehehehee ndo unikumbishe sasa hilo likijeba ni lipi??
Bibi achana nalo tu ushalisahau.. lkn Leo nami nataka Kula pishi lako sijui utanipikia Nini wivu umenishika mi mjukuu wako wanakula jirani tu nami nataka..
 
Bibi achana nalo tu ushalisahau.. lkn Leo nami nataka Kula pishi lako sijui utanipikia Nini wivu umenishika mi mjukuu wako wanakula jirani tu nami nataka..


Pishi umepata,sema wataka kula nini, kwa sharti la kunikumbisha hilo jitu likijeba... ehehehe
 
Pishi umepata,sema wataka kula nini, kwa sharti la kunikumbisha hilo jitu likijeba... ehehehe
Ha ha! Bibie naona umedhamiria Kuna uzi wako fulani ulikuwa unalalama Kuna jitu linakusumbua ndo nikaamua kuliita kijeba mapengo has nothing to do with it.. Leta pishi
 
Ha ha! Bibie naona umedhamiria Kuna uzi wako fulani ulikuwa unalalama Kuna jitu linakusumbua ndo nikaamua kuliita kijeba mapengo has nothing to do with it.. Leta pishi


Mmhh sikubali, naenda soma nyuzi zangu zote hadi niupate huo wa jitu lililonisumbua...

Hujasema wataka kula nini....
 
Mmhh sikubali, naenda soma nyuzi zangu zote hadi niupate huo wa jitu lililonisumbua...

Hujasema wataka kula nini....
Utachopika ila kiwe amazing kuzidi Cha hao majirani just do it for kenzy sweet Bibi...
 
Utachopika ila kiwe amazing kuzidi Cha hao majirani just do it for kenzy sweet Bibi...

Aaahahahhaa shaka ondoa, ila inabidi iwe weekend maana weekday sipikagi sana.

Halahala tuu Dadii asikusikie eehehehehee.
 
Hata tukipika ugali na misumari?

Ebwana dagaa wa ziwa Victoria ila wawe wamevuliwa Bukoba, ni wale wale kama wa mwanza ila tofauti yake wanavyowaandaa....

Ukiwakarangiza na veggies (carrots, ho ho, biringanya, bamia, nyanya chungu) halafu na kaugali ka dona, yeeuwiii. Tumbo niachie nimbakishie manenge eehehehheee.

Na wewe unajua kupika?
 
You got sexy finger nails😍😍
 
Hahah sina uhakika kama najua...

Halafu next time usipike wali kwa rice cooker kama huo hapo juu...
 
Hahah sina uhakika kama najua...

Halafu next time usipike wali kwa rice cooker kama huo hapo juu...

Sio fresh kusema ukweli hadharani,siku nyingine sikukaribishi tena kuja kula kwangu eehehehhee.

Kweli bana wali napikaga kwenye rice cooker ndo maana nikasema wali wa kusteam. Una maji na chumvi tuu hauna mafuta.

Ila nikipika wali wa maua, yaani wenyewe carrots na njegere naukaanga kwenye sufuria na mwiko. Laah pilau pia nalikaranga pembeni na sufuria na mwiko mwanzo mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…