This is for you Ticha Jael...

This is for you Ticha Jael...

Kwa mfano mwanaume anapika mkewe anafanya nini? Anaangalia tamthilia? Bachelors kama sisi ndio ukija siku ya kwanza, narudia siku ya kwanza nitapika msosi wangu wewe utakaribishwa kula(sikupikii) ukija mara ya pili utapika tu.


Jamani double R mbona unakuwa hivyooo..... Kwanza utambue hutopika kila siku, pili siku utayopika ni wewe unakuwa umeamua kumbebisha bebi wako na saa ingine inakuwa ni njia ya kuomba mechi yenye manjonjo (maana siku huwa hazifanani, kuna siku mechi inakuwa vionjo kibao na kuna siku mechi inakuwa from one goal keeper to the other, hapa katikati doorooo).

Sasa ukija na vionjo vya kupika it's more of a psychological twist to a women, and only if you have that that kind of a women. Maana mwananke mwingine ataishia kukuudhi tuu na utaunguza kila kitu jikoni na chakula hakitalika na masimango juu aahahahahhaaa, yaani atakukatisha tamaa hutotamani kuingia tena jikoni. Ila ukiwa na mwanamke artist, hutochoka kufanya nae kolabo ya mapishi jikoni, kufua, kupanga nguo kabatini, kufanya usafi wa nyumba au gereji, kutengeneza bustani ya maua au mboga mboga and the like.
black-couple-cooking-healthy-food-260nw-1029691219.jpg

Inakuwa hivi double R, ukiwa Unapika babe anakuwa pembeni yako na mnakuwa mnaongea sweet nothing words...

retired-black-couple-cooking-kitchen-260nw-1195914370.jpg


See Kasinde and Dadii preparing veggie salad for dinner.

Inabidi nije nikufunde ili siku ukioa, wifi yangu asipate tabu looh, unaniangusha wee midlif krisis aahahahahhaaaa.

Kasinde Platinum Matata.
 
Heeey Darmiii mambooz

Jamaniii,mwenzio nnavyojitahidi kuwa mpole kumbe bado naonekana mtundu looh aahahahhahaaaaa.

Natabasamu tuu hapaa...
Utundu in a good way

Upishi,Mahaba n.k..
 
Wataja unguza nyumba za watu nyie kuweni na huruma oooh

Aahahahahaaaaa hatuwaachi pekeyao jikoni, tunakuwa wote began kwa bega na tunaonja pamoja....

loving-black-wife-husband-preparing-600w-1120239539.jpg

Namna hii jiko litaunguaje... hehehehheeee
 
Jamani double R mbona unakuwa hivyooo..... Kwanza utambue hutopika kila siku, pili siku utayopika ni wewe unakuwa umeamua kumbebisha bebi wako na saa ingine inakuwa ni njia ya kuomba mechi yenye manjonjo (maana siku huwa hazifanani, kuna siku mechi inakuwa vionjo kibao na kuna siku mechi inakuwa from one goal keeper to the other, hapa katikati doorooo).

Sasa ukija na vionjo vya kupika it's more of a psychological twist to a women, and only if you have that that kind of a women. Maana mwananke mwingine ataishia kukuudhi tuu na utaunguza kila kitu jikoni na chakula hakitalika na masimango juu aahahahahhaaa, yaani atakukatisha tamaa hutotamani kuingia tena jikoni. Ila ukiwa na mwanamke artist, hutochoka kufanya nae kolabo ya mapishi jikoni, kufua, kupanga nguo kabatini, kufanya usafi wa nyumba au gereji, kutengeneza bustani ya maua au mboga mboga and the like.
View attachment 1201579
Inakuwa hivi double R, ukiwa Unapika babe anakuwa pembeni yako na mnakuwa mnaongea sweet nothing words...

View attachment 1201580

See Kasinde and Dadii preparing veggie salad for dinner.

Inabidi nije nikufunde ili siku ukioa, wifi yangu asipate tabu looh, unaniangusha wee midlif krisis aahahahahhaaaa.

Kasinde Platinum Matata.
Maisha ya tv hayo mnayaweza nyie.
 
Acha ukorofi banaa, sio kila siku wala kila mara, can be once in two years...

Midlif krisis weeh eehehehehheee.
Mi nitakuwa nakuja kukushika tako wakati unapika
 
Sio unapata muda wa simu na TV kweli

Hapana, si umeona hapo, support inakuwepo asilimia 100%.

Behind any successful man (in cooking, cleaning, singing, dancing etc) there's a woman.
Bega kwa bega.
 
Mi nitakuwa nakuja kukushika tako wakati unapika

Aahahahahhaaaa yaani weewee.....

Hakyanani nikikaa meza moja na wewe ntapasuka mbavu zangu.

Na unajua madhara ya hicho kifaa kikishikwa na jinsia tofauti..... Itabidi uyakabili madhara tuu eeheheheheee.
 
Nimeona njegere hapo zimenitoa ude...nda hatarii nikasema ngoja nimuagize wifi yako aziandae mapema tule na ubwabwa
 
Wakipika na vivest ama kifua wazi na shorts ndo wananoga.

Tena wawe na vibody vyao.

Sio wawe malnourished vimbavu nje afu wanajifanya kukarangiza


7B5A7095-F0CA-43CF-956A-C7402744E863.jpeg
CB8821F4-F4EB-4434-9508-B6D6EA2B1C8E.jpeg


Just like him....
 
Habari ya jumamosi wadau.

Niko bongo kwa kitambo tuu, leo mchana niliingia gereji kukagua toyo yangu iko poa kuingia kitaa? Sasa wakati nachokonoa mavitu kwenye boneti nikakwama mahali, nikahangaika weeh mwisho nikasema kwa nini nisimuulize Ticha wangu anikwamue huu umakenika?

Kweli nikamuendea hewani akanielekeza namna na mahali nigusanishe nyaya... Waaaraaa toyo ikawaka.

Nikafurahi nikampigia ticha kumshukuru, halafu nikaendeleza stori akaniambia Kasie unajua niko jikoni napika... Woow nikahamaki, ticha unapika nini? Akasema supageti za beef na veggies, Kasie baadae nna wageni napika akamalizia hivyo na kukata simu.

Daah akanipa wivu, nikaachana na mambo ya toyo nikaingia jikoni, kila kitu kitu kipo, nikatoka nje nikawaambia majirani wanne msipike leo naingia jikoni kwa ajili yenu. (Msiulize majirani wa kike au wa kiume).

Wapi nazi, wapi mazagazaga, wapi mchele... Taadaaa saa moja na nusu usiku msosi tayari. Nikapakua nikawaita jirani wale.... Wamefurahia mapishi ya chukuchuku...

Karibuni nanyi mle kwa macho.

View attachment 1201115
Wali wa kusteam.

View attachment 1201117
Njegere za nazi na mambogamboga (carrots, hoho, biringanya, nyanya chungu,viazi, bamia)

View attachment 1201118
Papai..

View attachment 1201120
Sahani yangu ina nyongeza ya magimbi na mihogo... Wali kidoogoo.

Namshukuru Maulana, majirani baada ya kushiba wakaosha vyombo sasa natupia vitu laini kulainisha koo...

View attachment 1201126

Ticha Jael, asante kwa kunipa hamasa. Am happy for my Saturday. Cheers!!

Kasinde Platinum Matata.

Kuliko nikae napika heri nicheck Netflix!

Kupika?

Holly shit!
 
Kuliko nikae napika heri nicheck Netflix!

Kupika?

Holly shit!

One need to be artisan for him to be named artist....

Mapenzi ni sanaa.... na hii haimaanishi watu wa Tanga wote ni wasanii....
 
Hapana, si umeona hapo, support inakuwepo asilimia 100%.
Behind any successful man (in cooking, cleaning, singing, dancing etc) there's a woman.
Bega kwa bega.
That is possible for the woman at least knows what's meaning of love those who living in buza, kwa mtogole ,mwananyamala and like it's illusion😂😂😂😂😂😂
 
Aaahahhahahahaaa looh
Asante doctor, imebidi nirudi kukiangalia hicho kipunje cha kidole nilichokiweka....
Nisikubishie sana maana ndicho ulichoona, isitoshe kunyonya ni kitu wanaume huwa hawaachi eehehehehheehheeee
Thank you Doctor.
Kunyonya muhimu sana, maana huongeza ukaribu baina ya wapendanao...

Halafu Kasie Platinum naomba urekebishe hapo am not a Doctor, bali muuza chips na vidali unakaribishwa sana wewe na dadiii mpate chips na kidali..

Msalimie dadiii 🙂
 
Back
Top Bottom