This is too much now, hivi ni mapepo au ni hali ya kawaida kwenye utafutaji?

This is too much now, hivi ni mapepo au ni hali ya kawaida kwenye utafutaji?

akaniomba nikamsaidie kusimamia mashamba yake ya mpunga ila mwisho wa msimu angenilipa kutokana na mavuno tutayopata,kweli this time Mungu alijalia nikabahatisha 1m.
Nadhani kuna uzoefu chanya ulipata hapa kwenye kilimo cha mpunga ambao unaweza kufanyia kazi kwa shamba lako dogo.

Nyingine ya kujaribu ni hiyo uliyokaribishwa hapo juu na ndege JOHN kwenye kilimo cha ufuta Lindi
 
Kama uko serious mkuu karibu lindi na hio mashine tujaribu kukomaa na ufuta mashamba yapo na kakibanda cha kukaa
Pole kwa changamoto mkuu, mtazamo wangu jaribu kubadili namna unavyoyaona mambo. Kumbuka, hata mambo yawe south kiasi gani ila yapo yatayoenda tu basi jaribu ku hesabu yale yanayoenda na ufurahie hapo moja kwa moja utaanza kuvuta positive energy kisha utaumba mambo mazuri. Tambua kuwa huwa tunaumba ulimwengu wetu sisi wenyewe kulingana na fikra zetu.

Usidanganywe na muonekano wa nje wa mambo, kuna watu tunatembea na magumu sana na si kwamba yameisha hapana, sema ni neema tu tumepata kwa kujifunza kupitia kufeli sana, ukitaka uishi kwa mafanikio leo anza kuipa attention baraka zote ulizonazo na kamwe usiweke attention kwenye failure zako bali jifunze na usonge mbele.
 
Kila siku tunasema mafanikio huanzia ulimwengu wa kiroho baadae ndo ulimwengu wetu huu....... Usipoijua hii formula hutoboi

Ulimwengu wa kiroho umegawanyika sehemu mbili tu
A.Mungu
B.Shetani

Sasa ili ufanikiwe kirahisi lazima ujiweke kikamilifu upande wowote kati ya hizo side mbili, elewa neno kikamilifu 🤝

Ukitaka kubaki katikati lazima uwe msindikizaji.... Fanya maamuzi chagua upande mmoja hapo utaona effect yake


KUMB 8: 18

"Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo"


maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri


👉MUNGU hatoi utajiri anatoa Nguvu za kupata utajiri na upande wa pili kule wa giza nao hunatoa Nguvu za kupata utajiri (i.e ukienda kwa mganga hakupi utajiri atakupa Nguvu za kupata utajiri kwa masharti maalum)


👉bila nguvu za kupata utajiri Huwezi kutoboa kwenye hi dunia utakuwa wa kawaida sana na kuishia kupata Pesa za kula na kunywa tu usione mtu anamiliki alot of money lazima kuna nguvu nyuma ya huo utajiri either kutoka kwa MUNGU au kwa Ibilisi na ukitaka kujua Nguvu imetoka wapi check matumizi ya huo utajiri



note: utajiri ni kupata kipato Zaidi ya matumizi Yako
 
Wakuu kwema,naomba nishare mapito yangu ya utafutaji maisha toka 2019 hadi 2024.Maana nashindwa kuelewa kwanini kila kitu nachokifanya hakifanikiwi.
Naamini kupitia huu uzi nitapata abc za kufanikiwa next time.

Baada tu ya kumaliza chuo niliamua nijiajiri kwenye mifugo(ufugaji wa kuku),nikanunua mashine ya kutotolesha mayai(incubator) yenye uwezo wa kutoa vifaranga 120.

Picha linaanza ile tu naweka mayai kwenye mashine TANESCO nao wakatangaza mgao wa siku14,kichwa kikapata moto nikaanza kuhangaika kutafuta sola ili Isaidie mayai yasiharibike,changamoto ikawa hali ya hewa ya sehemu ninapoishi jua ilikuwa inawaka Mara chache Sana.

Mwisho wa siku kwenye mayai 120 nikapata vifaranga kama25,nikasema so mbaya kwa vile umeme ulisumbua,nikaanza utaratibu wa kuwajengea banda hao vifaranga 25 waliopatikana lakini cha kushangaza siku ya tatu nakuta vifaranga vimeuliwa 20 vimebaki vitano na sikujua nini kiliua kati ya panya na nyoka maana nilivukta vimetobolewa kwenye tumbo.
Sikukata tamaa baada ya muda tena nikasema ngoja nirudie ila awamu hii niliweka mayai60 kama kawaida TANESCO wakatangaza tena mgao mwisho wa siku nikaishia kupata vifaranga15 navyo vikaja kuiliwa tena,hapo sasa wazo la kuondoka nyumbani likanijia nikiamini kwamba kufanikiwa sehemu ulipozaliwa ni ngumu.

Kuna ndugu yangu akaniambia tulime kitunguu maji huko sumbawanga kwamba mambo yakienda vizuri eka1 tunaeza pata hadi 4m,nikasema mambo si ndo haya sasa nikatafuta nauli nikaenda ila makubaliano yetu yalikuwa nitoe milioni moja halaf nisaidie kusimamia kwa vile yeye alikuwa mtumishi wa serikali na mwisho wa siku tungewagana ambacho tungejaliwa, tulilima eka4 tukatumia zaidi ya milioni 4 lakini mambo yalikuwa magumu wadudu walisumbua Sana mwisho hatukupata ata elfu40,nilihisi kuchanganyikiwa ila nilijikaza na kumwachia Mungu.Hii ilikuwa 2020 mwishoni nikarudi nyumbani kinyonge ila baada ya kutiwaa moyo sana nyumbani,2021 huyu ndugu yangu nilielima naye kitunguu tukafeli akaniomba nikamsaidie kusimamia mashamba yake ya mpunga ila mwisho wa msimu angenilipa kutokana na mavuno tutayopata,kweli this time Mungu alijalia nikabahatisha 1m.
Naomba niishie hapa naweka portion ya2 kwenye comments saivi ili nisiwachoshe sana
Usikate tamaa
1."angalia kwanza Mungu amekupa Baraka kiasi gani" hilo ni moja lakini Pia angalia nikwambie tu "maendeleo yoyote huwa wanayakuja na maumivu aidha wewe mwnyw utaumia na namna moja au au wanaokuzunguka"

2. Badilisha marafiki, hama mazingira unayo kaa ikiwezakana badili Ata unachofanya, fanya kitu kingine

Mimi nilikuwa nasoma PCB nikawa naona
kama napata sifuri Kila mtihani nikajikuta mitihani minne yote ya muhula Nina division zero nilipo ingia fomfive nikaamua
Kubadili combination nikiwa fomsix huwezi amini nilifanikiwa na Chuo nikaenda (Namimi nilikuwaga na imani hizo kuwa nimerogwa lahasha kumbe ni uwezo mdogo tu kwenye yale masomo) nashukuru Mungu hadi Leo Ile combination niliyobadili mpaka Leo imenifanya ni mtu bora. TAKE CARE Ndugu "Mungu pamoja nasi"
 
Huwezi kufanikiwa kama rohoni umegandamizwa na mauchawi na giza la mapepo.

Maisha huwa ni mepesi sana kama mwili wako na nafsi yako haijagandamizwa na matakataka "yasiyoonekana".

Ukishaanza kujazwa mauchafu utapata uzito wa ajabu, kila kitu kinakwama au kinaharibika. MASHETANI.

Asikwambie mtu, kufanikiwa ni rahisi sana wala huhitaji nguvu nyingi iwapo vipawa vyako havijaharibiwa. NI RAHISI MNO unateleza tu huhitaji hata digrii.
Uuuuuumbwaaa
 
KUMB 8: 18

"Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo"


maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri


👉MUNGU hatoi utajiri anatoa Nguvu za kupata utajiri na upande wa pili kule wa giza nao hunatoa Nguvu za kupata utajiri (i.e ukienda kwa mganga hakupi utajiri atakupa Nguvu za kupata utajiri kwa masharti maalum)


👉bila nguvu za kupata utajiri Huwezi kutoboa kwenye hi dunia utakuwa wa kawaida sana na kuishia kupata Pesa za kula na kunywa tu usione mtu anamiliki alot of money lazima kuna nguvu nyuma ya huo utajiri either kutoka kwa MUNGU au kwa Ibilisi na ukitaka kujua Nguvu imetoka wapi check matumizi ya huo utajiri



note: utajiri ni kupata kipato Zaidi ya matumizi Yako
Ndo utulie sasa.... Tunazungumzia mafanikio, unadhan utajiri pekeake ndo mafanikio???

Kuna taranta, umaarufu n.k (ambavyo hivi hugeuka ngazi ya kupata pesa
 
Sasa huko lindi si ndo atarogwa? Kama kuna dogo alifaulu la saba tu wakamroga?

Chezea kina Nyau de adriz wewe. Lipo huko lindi linalangua na kubangua korosho halafu chawii balaa.
Oya Mzee Barbarian nakuonya acha kunifuatilia Mzee , halafu Korosho zimekubali na bei serikali imepandisha mwaka huu Allaah kaleta neema watu wa kusini utajiri nje nje , nikurudi tayari nina Maokoto nafanya mchakato wa kwenda Mamtoni ila sio kuogesha vizee kama wewe Kenge Marass.

Dua zako mbaya zimefeli kufaulu mtihani nimefaulu na Kilimo kimekubali Kenge Marass we, usiwe uninatag kwenye upuuzi wako.
 
Kila siku tunasema mafanikio huanzia ulimwengu wa kiroho baadae ndo ulimwengu wetu huu....... Usipoijua hii formula hutoboi

Ulimwengu wa kiroho umegawanyika sehemu mbili tu
A.Mungu
B.Shetani

Sasa ili ufanikiwe kirahisi lazima ujiweke kikamilifu upande wowote kati ya hizo side mbili, elewa neno kikamilifu 🤝

Ukitaka kubaki katikati lazima uwe msindikizaji.... Fanya maamuzi chagua upande mmoja hapo utaona

Pole kwa changamoto mkuu, mtazamo wangu jaribu kubadili namna unavyoyaona mambo. Kumbuka, hata mambo yawe south kiasi gani ila yapo yatayoenda tu basi jaribu ku hesabu yale yThaanayoenda na ufurahie hapo moja kwa moja utaanza kuvuta positive energy kisha utaumba mambo mazuri. Tambua kuwa huwa tunaumba ulimwengu wetu sisi wenyewe kulingana na fikra zetu.

Usidanganywe na muonekano wa nje wa mambo, kuna watu tunatembea na magumu sana na si kwamba yameisha hapana, sema ni neema tu tumepata kwa kujifunza kupitia kufeli sana, ukitaka uishi kwa mafanikio leo anza kuipa attention baraka zote ulizonazo na kamwe usiweke attention kwenye failure zako bali jifunze na usonge mbele.
Thanks master,may God Open our ways
 
Huwezi kufanikiwa kama rohoni umegandamizwa na mauchawi na giza la mapepo.

Maisha huwa ni mepesi sana kama mwili wako na nafsi yako haijagandamizwa na matakataka "yasiyoonekana".

Ukishaanza kujazwa mauchafu utapata uzito wa ajabu, kila kitu kinakwama au kinaharibika. MASHETANI.

Asikwambie mtu, kufanikiwa ni rahisi sana wala huhitaji nguvu nyingi iwapo vipawa vyako havijaharibiwa. NI RAHISI MNO unateleza tu huhitaji hata digrii.
Nitajuaje kama vimeharibiwa mkuu
 
Back
Top Bottom