, 😂Asee ndivo unajidanganya kwamba wanakitega uchumi kimoja sio 🤔Hz mambo kila mara nakutana nazo humu jf,ila naamin nimekaribia kwenda kwa shetani nione inakuwaje,maana unashangaa unapambana sana afu hakuna jipya afu kuna wajinga wana kitega uchumi kimoja na hakiingizi zaidi ya elfu 20 kwa siku lakin wanaweza mpaka kujenga