This is too much now, hivi ni mapepo au ni hali ya kawaida kwenye utafutaji?

This is too much now, hivi ni mapepo au ni hali ya kawaida kwenye utafutaji?

Hz mambo kila mara nakutana nazo humu jf,ila naamin nimekaribia kwenda kwa shetani nione inakuwaje,maana unashangaa unapambana sana afu hakuna jipya afu kuna wajinga wana kitega uchumi kimoja na hakiingizi zaidi ya elfu 20 kwa siku lakin wanaweza mpaka kujenga
, 😂Asee ndivo unajidanganya kwamba wanakitega uchumi kimoja sio 🤔
 
Hz mambo kila mara nakutana nazo humu jf,ila naamin nimekaribia kwenda kwa shetani nione inakuwaje,maana unashangaa unapambana sana afu hakuna jipya afu kuna wajinga wana kitega uchumi kimoja na hakiingizi zaidi ya elfu 20 kwa siku lakin wanaweza mpaka kujenga
Watu wana kitega uchumi zaidi kimoja unakuta muhinda ana mgahawa tu anauza chapati, kachori kumbe side hussle ana Godwon Za mafuta ya Kula na hasemi
 
Back
Top Bottom