This is too much now, hivi ni mapepo au ni hali ya kawaida kwenye utafutaji?

Nadhani kuna uzoefu chanya ulipata hapa kwenye kilimo cha mpunga ambao unaweza kufanyia kazi kwa shamba lako dogo.

Nyingine ya kujaribu ni hiyo uliyokaribishwa hapo juu na ndege JOHN kwenye kilimo cha ufuta Lindi
Ndio mkuu na uzoefu kiasi but Now nipo vibaya
 
Amen sister,be blessed
 
Issue bdo ujajua destiny ya maisha yako tuliza akili mjomba unashka iki mara ukimbilie ilki fanya kitu kwa bdii ambayo ww unaipenda syo uwambiwe kilmo inalipa unakmbza miguu yote fanya research yako ujue changamoto soko alaf usumbue ubongo je kituu nimara ya kwanza kulima demand yake ipoje fkria kwanza mkuu no kuruka kuruka kwny maisha ila kaza kwa kujikubal
 
Asante mkuu,this time inabidi nianze from zero
 
Naona umeandika vitu vya kawaida sana kwenye utafutaji,,,,na wadau wanakupa moyo sana,…. Hebu weka muendelezo kwanza ndio tukuambie na badooo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Mimi nilianza na stationary nikapoteza nikaenda kwenye kufungua studio mtaji nikapewa nyumbani bado nikafeli uzuri nilikuwa na assert nikauza vitu vyo studio nikaanza umachinga mbezi mwisho sijui nini kilitokea nikajikuta pesa yote inaishia kula na kulipa kodi ya chumba nikamaliza mtaji mzima ikabidi nirudi nyumban kwanza nitulize akili kwanza,
 
Naona umeandika vitu vya kawaida sana kwenye utafutaji,,,,na wadau wanakupa moyo sana,…. Hebu weka muendelezo kwanza ndio tukuambie na badooo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Sawa mkuu ngoja nimalizie huenda na Wewe ukanipa pole,sijui kwanini Watu wananioneaga huruma sana
 
Pole mkuu,hapo utakuta watu wanaanza kusema una honga,unabeti na unalewa Sana
 
Mkuu huyo jamaa bifu lilianzia wapi kwan mnajuana nje ya jukwaani
 
Oyaa bwana mdogo nyau de adriz sawa unabahati umefaulu huo mtihani na kilimo. Sasa nakuhakikishia kamwe hutaoa binti wa kiarabu. Amini nakuambia nyau wewee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…