This is too much now, hivi ni mapepo au ni hali ya kawaida kwenye utafutaji?

, 😂Asee ndivo unajidanganya kwamba wanakitega uchumi kimoja sio 🤔
 
Watu wana kitega uchumi zaidi kimoja unakuta muhinda ana mgahawa tu anauza chapati, kachori kumbe side hussle ana Godwon Za mafuta ya Kula na hasemi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…