This time Hezbollah na Iran tumeshindwa. Hili halina tena kificho. Tujipange upya next time

This time Hezbollah na Iran tumeshindwa. Hili halina tena kificho. Tujipange upya next time

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Hawa waasi wa Syria wamepata nguvu kutokana na mambo makuu mawili
1. Kushindwa kwa Hezbollah huko Palestina. Hezbollah ndo walikuwa kikwazo kikubwa kwao

2. Hali mbaya ya Iran pamoja na Syria
3. Vita vya Urusi na Ukraine. Sababu hawa ndo marafiki wakubwa wa Assad jemedari wetu. Kwa sasa Russia nayo haijakaa sawa sana. Irani wamenyong'onyea kwa kipigo toka Israel. Syria amebaki dhaifu.

Hapa naandika lakini ni mambo ambayo sikupenda yatokee kwa kuwa hawa jamaa wanafadhiliwa na Marekani na Israel halafu ni watu wa Imani moja. Ndo nawaza inakuaje hii?

Tukubali tusikubali Israel safari hii waliamua hasa kufanya unyama. Gaza na Palestina zina hali mbaya. Hezbollah kwa sasa wanachechemea sana. Hawapati tena misaada ya silaha njia zimefungwa. Na walijisahau vipi sijui mpaka Israel imepiga kiasi hicho.

Masheikh wenzangu mtakuja hapa angalau tuangalie what is next. Tusikate tamaa

Ritz Malaria 2 Adiosamigo Kosugi

Wabillah tawfiq. Tusikate tamaa sisi waja. Bado tujipange tu.
 
Hawa waasi wa Syria wamepata nguvu kutokana na mambo makuu mawili
1. Kushindwa kwa Hezbollah huko Palestina. Hezbollah ndo walikuwa kikwazo kikubwa kwao

2. Hali mbaya ya Iran pamoja na Syria
3. Vita vya Urusi na Ukraine. Sababu hawa ndo marafiki wakubwa wa Assad jemedari wetu. Kwa sasa Russia nayo haijakaa sawa sana. Irani wamenyong'onyea kwa kipigo toka Israel. Syria amebaki dhaifu.

Hapa naandika lakini ni mambo ambayo sikupenda yatokee kwa kuwa hawa jamaa wanafadhiliwa na Marekani na Israel halafu ni watu wa Imani moja. Ndo nawaza inakuaje hii?

Tukubali tusikubali Israel safari hii waliamua hasa kufanya unyama. Gaza na Palestina zina hali mbaya. Hezbollah kwa sasa wanachechemea sana. Hawapati tena misaada ya silaha njia zimefungwa. Na walijisahau vipi sijui mpaka Israel imepiga kiasi hicho.

Masheikh wenzangu mtakuja hapa angalau tuangalie what is next. Tusikate tamaa

Ritz Malaria 2 Adiosamigo Kosugi

Wabillah tawfiq. Tusikate tamaa sisi waja. Bado tujipange tu.
Hisbullah wangalishindwa marekani asiehangaika kutaka Suluhu. Ukimuona marekani anatafuta Suluhu ujue Isreal yupo hali mbaya sana.
 
Hisbullah wangalishindwa marekani asiehangaika kutaka Suluhu. Ukimuona marekani anatafuta Suluhu ujue Isreal yupo hali mbaya sana.
Sheikh wangu.hili tusibishane tu kwa sababu ya ubishi. Hawa waasi wa Aleppo unadhani wangeenda anzisha vita Syria? Unajua Assad ni kama kakimbia nchi? Hisbullah wameshindwa. Mayahudi wanaendelea kupiga huku Marekani ikitaka wasimame. Kaangalie Al Jazeera.
 
Sheikh wangu.hili tusibishane tu kwa sababu ya ubishi. Hawa waasi wa Aleppo unadhani wangeenda anzisha vita Syria? Unajua Assad ni kama kakimbia nchi? Hisbullah wameshindwa. Mayahudi wanaendelea kupiga huku Marekani ikitaka wasimame. Kaangalie Al Jazeera.
Afadhali wewe unaangalia kwa macho ya uhalisia si kama jamaa yako Ritz.
 
Hisbullah wangalishindwa marekani asiehangaika kutaka Suluhu. Ukimuona marekani anatafuta Suluhu ujue Isreal yupo hali mbaya sana.
kobaz hawawezi kushindwa kwa sababu ili uwashinde unatakiwa kuua woote, ndivyo wanavyoamini, wao kifo sio shida, ndio maana hata raia wao wote wakifa wanaona poa tu. uongozi wote wa hezbollah umefutwa ila wanaona poa tu. kama sio umbumbumbu ni nini hapo? majengo yote yamefutwa, wataanza kuomba msaada wajengewe upya. shida ni kwamba, silaha yao kubwa ni kulialia, wamejua kuwa dunia haipendi mauaji hivyo wanakuchokoza ili uwauwe ili dunia ikuchukie, ila vita vya uso kwa uso hawana uwezo. this time hezbollah amepigwa kuliko miaka yote na cease fire kwao ndio ushindi, cease fire ambayo Marekani wamelazimisha na Israel anatafuta namna yeyote ili mapigano yaendelee na wanamsubiri Trump aingie ili wakinukishe upya.
 
Hawa waasi wa Syria wamepata nguvu kutokana na mambo makuu mawili
1. Kushindwa kwa Hezbollah huko Palestina. Hezbollah ndo walikuwa kikwazo kikubwa kwao

2. Hali mbaya ya Iran pamoja na Syria
3. Vita vya Urusi na Ukraine. Sababu hawa ndo marafiki wakubwa wa Assad jemedari wetu. Kwa sasa Russia nayo haijakaa sawa sana. Irani wamenyong'onyea kwa kipigo toka Israel. Syria amebaki dhaifu.

Hapa naandika lakini ni mambo ambayo sikupenda yatokee kwa kuwa hawa jamaa wanafadhiliwa na Marekani na Israel halafu ni watu wa Imani moja. Ndo nawaza inakuaje hii?

Tukubali tusikubali Israel safari hii waliamua hasa kufanya unyama. Gaza na Palestina zina hali mbaya. Hezbollah kwa sasa wanachechemea sana. Hawapati tena misaada ya silaha njia zimefungwa. Na walijisahau vipi sijui mpaka Israel imepiga kiasi hicho.

Masheikh wenzangu mtakuja hapa angalau tuangalie what is next. Tusikate tamaa

Ritz Malaria 2 Adiosamigo Kosugi

Wabillah tawfiq. Tusikate tamaa sisi waja. Bado tujipange tu.
Mkuu mbona umeandika kana kwamba hujui nini kimetokea huko Israel.
Hizbollah ingekua imeshindwa France na USA wasingehangaika kutafuta suluhu.
Hadi kufikia wakati wa makubaliano ya usitishwaji vita Hizbollah ilikua imefanya operation ya makombora 450+ ndani ya mwezi september hadi November,na 90% ya hizo operations zilifaulu.
Miji ya kaskazini na Kanda ya kati ya Israel imepigwa na kulipuliwa kiasi raia kukimbia hiyo miji.
Askari zaidi ya 130+ ndani ya October hadi November wa IDF walifariki.
Sasa Hizbollah imeshindwa wapi!?
Pia usijidanganye kuwa Hizbollah haina silaha,bado ina shehena ya silaha.

*Kuhusu shambulio la Israel Kwa Iran hakuna haja ya kulizungumzia Kila mtu anajua kuwa ni TOTAL FAILURE.

*Hao waasi fursa waliyoitumia ni vita ya Ukraine vs Russia na mapigano ya Hizbollah na Israel.Hizbollah imetumia nguvu nyingi sana dhidi ya Israel na pia imepoteza askari wengi.

*Kitu cha mwisho,Iran imepeleka special force Syria,pia Russia ameshaanza mashambulizi ya anga Idlib na Hallep,inamaana kazi ya Iran itakua ni ground operation baada ya kuwadhoofisha waasi Kwa mashambulizi ya anga ya Urusi.
Jana na juzi tu waasi zaidi ya 300 waliuawa.
Kiufupi tuseme tena mbinu ya Israel na US imefeli.
 
kobaz hawawezi kushindwa kwa sababu ili uwashinde unatakiwa kuua woote, ndivyo wanavyoamini, wao kifo sio shida, ndio maana hata raia wao wote wakifa wanaona poa tu. uongozi wote wa hezbollah umefutwa ila wanaona poa tu. kama sio umbumbumbu ni nini hapo? majengo yote yamefutwa, wataanza kuomba msaada wajengewe upya. shida ni kwamba, silaha yao kubwa ni kulialia, wamejua kuwa dunia haipendi mauaji hivyo wanakuchokoza ili uwauwe ili dunia ikuchukie, ila vita vya uso kwa uso hawana uwezo. this time hezbollah amepigwa kuliko miaka yote na cease fire kwao ndio ushindi, cease fire ambayo Marekani wamelazimisha na Israel anatafuta namna yeyote ili mapigano yaendelee na wanamsubiri Trump aingie ili wakinukishe upya.
Yesu anakuja. Duuh ngoja tumsubiri Trump Sasa, wewe msubiri yesu
 
Sio tu Magaidi yakajipange upya, Israel nayo imetamka inaenda kuunda silaha bora zaidi na sophisticated zaidi. Wakijaribu tena hakuna hata Nzi atasalia.

After all focus ya Sasa ni Iran na Ayatollah
Vipi ile Operation Promise 3?

Tunaisubiria au ndio basi tena. Naomba uwaulize wahusika maAyatollah wa kwa Mtogole
 
Hisbullah wangalishindwa marekani asiehangaika kutaka Suluhu. Ukimuona marekani anatafuta Suluhu ujue Isreal yupo hali mbaya sana.
Huwajui wa amerka wewe! Mfano vita ya Gaza tangu November mwaka jana Marekani anajifanya anataka cease fire unazani ni kweli? Ile kusitisha mapigano Lebanon ni mkakati mkubwa mno na target sio Lebanon...usiwe unaamini unachoambiwa kuwa Netanyahu kashinikizwa na Biden wale wanatengeneza maudhui kwenye media watu wale nn( wasikie nn). TUACHE MAHABA HAYASAIDIII
 
Back
Top Bottom