Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kama Hizbollah angeshindwa, Israel isingepita mlango wa nyuma kuiomba Marekani ifanye mchakato wa ceasefire!.
Kiufupi vita na Hizbollah vilikuwa vinaiweka Israel ktk wakati mgumu zaidi kwa sababu kuna wakazi zaidi ya 100000 huko northern Israel waliyahama makazi yao na wasingeweza kurudi.
Pia Hizbollah ilianza kuchapa hadi ndani ya Tel-Aviv
Makombora ya Iron dome ya kuzuia missiles za Hizbollah yalikuwa yanapukutika kwa kasi
Kiufupi vita na Hizbollah vilikuwa vinaiweka Israel ktk wakati mgumu zaidi kwa sababu kuna wakazi zaidi ya 100000 huko northern Israel waliyahama makazi yao na wasingeweza kurudi.
Pia Hizbollah ilianza kuchapa hadi ndani ya Tel-Aviv
Makombora ya Iron dome ya kuzuia missiles za Hizbollah yalikuwa yanapukutika kwa kasi