balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Bibi kawawahisha sana wagalatia kwa mabikra 72Israel alitupa raha alivyokuwa analamba cream ya juu. Magaidi wakajipange upya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bibi kawawahisha sana wagalatia kwa mabikra 72Israel alitupa raha alivyokuwa analamba cream ya juu. Magaidi wakajipange upya.
Jishangae wewe unayefuatilia watu hao na wao wana maisha yao. Mi nadhani wenye akili na walio busy they just mind their own business. Wengine watakuambia wanashangaa kuona kuna watu wafuasi wa mtu ambaye ni mzinzi na mwasheratiWatu wa kushangaa ni wale wanaoona mtu kuabudu kiumbe mwenzake anayekunya kama yeye
Sawa mchambuzi wa masuala ya middle east kutoka Idlib Mbagala.*Kitu cha mwisho,Iran imepeleka special force Syria,pia Russia ameshaanza mashambulizi ya anga Idlib na Hallep,inamaana kazi ya Iran itakua ni ground operation baada ya kuwadhoofisha waasi Kwa mashambulizi ya anga ya Urusi.
Jana na juzi tu waasi zaidi ya 300 waliuawa.
Melezi nliyopata na Elimu vimenifundisha mambo mengi sana. Wazazi na Elimu/Exposure.Itakuwa na wewe ni mmoja wao kwani inaonyesha unakasilika sana kuambiwa unaabudu mtu anayekunya kama wewe
Mungu wa kiarabu ni mkaidi na msaliti vilevile, ona alivowaacha wafuasi wake kwenye gizamimi namwabudu Mungu, siabudu mungu wa kiarabu asiye na nguvu na anayehitaji wanadamu wampiganie.
Ushoga mbona hata kwa mujahideen wa mombasa na Zanzibar upo? au ushoga upi unazungumzia
Ushoga mbona hata kwa mujahideen wa mombasa na Zanzibar upo? au ushoga upi unazungumzia
Kifo sio shida huku kutwa wanajificha kwenye mahandaki?????kobaz hawawezi kushindwa kwa sababu ili uwashinde unatakiwa kuua woote, ndivyo wanavyoamini, wao kifo sio shida, ndio maana hata raia wao wote wakifa wanaona poa tu. uongozi wote wa hezbollah umefutwa ila wanaona poa tu. kama sio umbumbumbu ni nini hapo? majengo yote yamefutwa, wataanza kuomba msaada wajengewe upya. shida ni kwamba, silaha yao kubwa ni kulialia, wamejua kuwa dunia haipendi mauaji hivyo wanakuchokoza ili uwauwe ili dunia ikuchukie, ila vita vya uso kwa uso hawana uwezo. this time hezbollah amepigwa kuliko miaka yote na cease fire kwao ndio ushindi, cease fire ambayo Marekani wamelazimisha na Israel anatafuta namna yeyote ili mapigano yaendelee na wanamsubiri Trump aingie ili wakinukishe upya.
Shehe abubakar zuberi tokalini akawa nabii titoKumbe Nabii wa kanisa lako Nabii Tito ni Mzanzibari na ni mtu kutoka Mombasa?
Melezi nliyopata na Elimu vimenifundisha mambo mengi sana. Wazazi na Elimu/Exposure.Lakini haijakufundisha kuwacha kumwabudu mtu Kama wewe anayekula na kunya
kawaacha wamechapika na mzayuni balaa. nadhani mungu wao naye alikimbia.Mungu wa kiarabu ni mkaidi na msaliti vilevile, ona alivowaacha wafuasi wake kwenye giza
yes of course, kifo sio shida ila wakipigwa pakauma wanalia balaa na kuomba huruma.Kifo sio shida huku kutwa wanajificha kwenye mahandaki?????
Ujui kwamba Hezbollah anaendelea kupokea kipigo na hata makombora hawawezi kurusha tena inawexekana makombora yao yote yameangamizwaKama Hizbollah angeshindwa, Israel isingepita mlango wa nyuma kuiomba Marekani ifanye mchakato wa ceasefire!.
Kiufupi vita na Hizbollah vilikuwa vinaiweka Israel ktk wakati mgumu zaidi kwa sababu kuna wakazi zaidi ya 100000 huko northern Israel waliyahama makazi yao na wasingeweza kurudi.
Pia Hizbollah ilianza kuchapa hadi ndani ya Tel-Aviv
Makombora ya Iron dome ya kuzuia missiles za Hizbollah yalikuwa yanapukutika kwa kasi
Ujui kwamba Hezbollah anaendelea kupokea kipigo na hata makombora hawawezi kurusha tena inawexekana makombora yao yote yameangamizwaMkuu mbona umeandika kana kwamba hujui nini kimetokea huko Israel.
Hizbollah ingekua imeshindwa France na USA wasingehangaika kutafuta suluhu.
Hadi kufikia wakati wa makubaliano ya usitishwaji vita Hizbollah ilikua imefanya operation ya makombora 450+ ndani ya mwezi september hadi November,na 90% ya hizo operations zilifaulu.
Miji ya kaskazini na Kanda ya kati ya Israel imepigwa na kulipuliwa kiasi raia kukimbia hiyo miji.
Askari zaidi ya 130+ ndani ya October hadi November wa IDF walifariki.
Sasa Hizbollah imeshindwa wapi!?
Pia usijidanganye kuwa Hizbollah haina silaha,bado ina shehena ya silaha.
*Kuhusu shambulio la Israel Kwa Iran hakuna haja ya kulizungumzia Kila mtu anajua kuwa ni TOTAL FAILURE.
*Hao waasi fursa waliyoitumia ni vita ya Ukraine vs Russia na mapigano ya Hizbollah na Israel.Hizbollah imetumia nguvu nyingi sana dhidi ya Israel na pia imepoteza askari wengi.
*Kitu cha mwisho,Iran imepeleka special force Syria,pia Russia ameshaanza mashambulizi ya anga Idlib na Hallep,inamaana kazi ya Iran itakua ni ground operation baada ya kuwadhoofisha waasi Kwa mashambulizi ya anga ya Urusi.
Jana na juzi tu waasi zaidi ya 300 waliuawa.
Kiufupi tuseme tena mbinu ya Israel na US imefeli.
Ujui kwamba Hezbollah anaendelea kupokea kipigo na hata makombora hawawezi kurusha tena inawexekana makombora yao yote yameangamizwa
Kuna watu ni wabishi sana, wanashindwa kukubali kuwa, Hamas, Hizbullah wamechapika na kupotezwa vibaya, huku Iran akiwa hana tena msaada kwao na Syria ya Assad ikitafunwa kama keki.
Myahudi ni mtu mbaya sana.
Allah ni muongoMungu wa kiarabu ni mkaidi na msaliti vilevile, ona alivowaacha wafuasi wake kwenye giza
I think you guys mnaongea kitu kimoja but kwa lugha tofauti. Al Qaida na Hezbollah tofauti zao ni hizi, Al Qaida walikua na ugomvi na USA, popote yalipokua maslahi ya USA hapa duniani, Al Qaida walifanya mambo, mfano ni hapa kwetu na Kenya, Kampala waliwahiwa na ndio maana hawakufanikiwa, Al Qaida wamepiga pia Spain na France kama sikosea, Hezbollah wao wana ugomvi na Israel. Hawajasambaa zaidi ya mashariki ya kati, Al Qaida walikuwepo Somalia miaka ya 90 mwishoni kabla ya kuhamia Afganstan na Pakistan, Al Qaida ilikua na raia wa nchi tofauti tofauti duniani including yule Mpemba wetu, Hezbollah wao kimsingi ni Wapalestina waliohamia Lebanon miaka mingi iliopita. So vikundi hivi vilikua na mission tofauti, wengine wanaweza kuwaita Hezbollah kama kikundi cha wapigania uhuru wa Palestine kama ilivokua ANC, Frelimo, Swapo, Unita nk. Al Qaida kiliundwa rasmi na Osama kwa ajili ya kulipiza kisasi cha zuruma aliofanyiwa Osama na USA, ugomvi huo akaurasimisha kidini. Ndio maana baada ya Osama kuuawa is like Al Qaida ni kama imekufa, Hezbollah wanauawa viongozi wao, chenyewe bado kipo. Hi ndio tofauti yao.Aisee naweza nikasema uko misinformed.
Usifananishe Hizbollah na Alqaeda,kwanza hiyo Alqaeda iliundwa na hao mabwana wakubwa,hivyo ilikua ni sawa na kinyago ulichokichonga hakiwezi kukutisha.
Pia Hizbollah ni kundi la washika silaha lenye WAPIGANAJI wengi kuliko kundi lolote duniani.
Hizbollah wana wapiganaji zaidi ya laki moja na nusu.
Pia Hizbollah ni political organization ndani ya Lebanon.
Sio kundi la washika silaha tu.
Wewe una uhakika gani kama mashambulizi wanayofanya Hizbollah ni misguided hayana madhara?
Una habari kama raia wa kaskazini wamehama kukimbia mashambulizi ya Hizbollah!?
Hao Houthi unaowasemea lengo lao kuu ilikua kuzuia Red sea isipite meli kuelekea Israel,je Kuna meli yeyote inayopita kuelekea Israel kupitia red sea!?
Jibu ni HAPANA.
Usiyachukulie mambo kiwepesi mkuu.
Hizbollah sio mfupa rahisi kama unavyodhani,Alqaeda ni kundi dogo sana mbele ya Hizbollah.
Hizbollah ni jeshi la Iran la pili ndani ya Lebanon,pia Hizbollah ni sehemu ya serikali ya Lebanon,sio rahisi kujimaliza kama unavyodhani.