This time Hezbollah na Iran tumeshindwa. Hili halina tena kificho. Tujipange upya next time

This time Hezbollah na Iran tumeshindwa. Hili halina tena kificho. Tujipange upya next time

Usiniharibie uhuru wangu wa kutoa maoni. kawaambie huko kwenu wakae kimya.
Hujaharibiwa uhuru wa maoni ila umepewa ushauri tu.
Maana uhuru unatakiwa uutumie Kwa misingi na mipaka.
 
Mkuu kama unachosema ni sahihi kwanini hawakufanya kwa Gaza??
Zilipelekwa resolutions nyingi sana za ceasefire mbaka na wafalme za falme za kiarabu na mataifa mengine ikiwemo Belgium na Norway wakisema ceasefire inahitajika Gaza,basi walau ruhusuni hata misaada ya kibinadamu kama chakula na dawa.
USA na wawakilishi wake UN walikaza shingo wakisema vita iendelee kwasababu Israel ina haki ya kujilinda.

Je Lebanon na Gaza wapi kuna hali ngumu!?
Naomba unijibu mkuu wisely and openly.
1. Kule Gaza Israeli alikuwa anafuatilia kuokoa au kuwakomboa mateka 250? ambao walitekwa 07Okt.2023 na alikuwa hajui wapo wapi kwani Mateka wanahamishwa-hamishwa kila wakati.
Resolutions za cease fire zilikumbana na sharti la Israeli la Mateka waachiwe kwanza Kitu ambacho HAMAS hakukubaliana nacho ila alitaka Israeli aondoke bila masharti Gaza. Kwa hali hiyo mapendekezo ya cease fire yote yalikwama.
2. Israeli aliruhusu misaada ya kibinadamu lakini HAMAS nao kama binadamu wengine, njaa ilimbana na singeweza kwenda kwenye mgao wa chakula kwani IDF atamuua. Kwa hali hiyo HAMAS walikuwa wanateka magari ya misaada na kujichukulia chakula na vifaa tiba.
Kwa hali hiyo ilibidi Israel aitake UN kazi hiyo aifanye IDF. IDF ilifanya kazi hiyo kwa kuweka uchochoro huru (Corridor) na ndipo chakula wala kiliweza kuwafikia Wapalestina.
3. Hali ngumu kwa maana ipi?
Kivita, Lebanon kuna hali ngumu ukizingatia kwamba Hezbollah hiyo vita ni amejitakia, halafu njia zote Hezbollah alizokuwa anatumia kuingiza kinyemela misaada ya hali na mali zimedhibitiwa, majirani zake Hezbollah (Syria na Iraq..) hali sio shwari ndani, Iran ambaye ndo mfadhili mkubwa naye anaelekea kulemewa na mzigo wa ufadhili kwa wanaouhitaji ufadhili wameongezeka. Ndo mana cease fire deal Israel/Lebanon (Hezbollah) ulikubalika mapema ila inaonekana Hezbollah hakuelewa kilichomo ndani ya huo mkataba kwani mara kwa mara anakiuka na IDF anatoa kipigo na anapolalamikiwa/ulizwa anaonyesha kifungu cha kwenye cease fire Deal kilichomruhusu.
Kivita Gaza imepata hasara kubwa mno kwani miundombinu iliyoharibiwa na inayoendelea kuharibiwa ni mali ya Gaza kama nchi ya Wapalestina na sio mali ya kikundi cha HAMAS kilicho ndani ya nchi ya Wapalestina yaani Gaza.
 
1. Kule Gaza Israeli alikuwa anafuatilia kuokoa au kuwakomboa mateka 250? ambao walitekwa 07Okt.2023 na alikuwa hajui wapo wapi kwani Mateka wanahamishwa-hamishwa kila wakati.
Resolutions za cease fire zilikumbana na sharti la Israeli la Mateka waachiwe kwanza Kitu ambacho HAMAS hakukubaliana nacho ila alitaka Israeli aondoke bila masharti Gaza. Kwa hali hiyo mapendekezo ya cease fire yote yalikwama.
Mkuu Hamas ilitoa masharti ya ceasefire kuwa Israel ijiondoe na iache kushambulia na wafanye prisonal swap,ila Israel ilikataa.
Israel ilitaka temporary ceasefire ilhali Hamas walitaka usitishwaji wa vita moja kwa moja.
Hapo utamlaumu vipi Hamas mkuu?
2. Israeli aliruhusu misaada ya kibinadamu lakini HAMAS nao kama binadamu wengine, njaa ilimbana na singeweza kwenda kwenye mgao wa chakula kwani IDF atamuua. Kwa hali hiyo HAMAS walikuwa wanateka magari ya misaada na kujichukulia chakula na vifaa tiba.
Kwa hali hiyo ilibidi Israel aitake UN kazi hiyo aifanye IDF. IDF ilifanya kazi hiyo kwa kuweka uchochoro huru (Corridor) na ndipo chakula wala kiliweza kuwafikia Wapalestina.
Hilo la Hamas kupora misaada sina uhakika nalo,ila tangu misaada ianze kuletwa Gaza kumekua na uvamizi wa Zionist settlers walivamia magari ya misaada na indiscriminate bombings kwenye magari ya msaada,hadi raia wa kimarekani walifia hapo wakipeleka misaada na gari lao.
3. Hali ngumu kwa maana ipi?
Kivita, Lebanon kuna hali ngumu ukizingatia kwamba Hezbollah hiyo vita ni amejitakia, halafu njia zote Hezbollah alizokuwa anatumia kuingiza kinyemela misaada ya hali na mali zimedhibitiwa, majirani zake Hezbollah (Syria na Iraq..) hali sio shwari ndani, Iran ambaye ndo mfadhili mkubwa naye anaelekea kulemewa na mzigo wa ufadhili kwa wanaouhitaji ufadhili wameongezeka. Ndo mana cease fire deal Israel/Lebanon (Hezbollah) ulikubalika mapema ila inaonekana Hezbollah hakuelewa kilichomo ndani ya huo mkataba kwani mara kwa mara anakiuka na IDF anatoa kipigo na anapolalamikiwa/ulizwa anaonyesha kifungu cha kwenye cease fire Deal kilichomruhusu.
Kivita Gaza imepata hasara kubwa mno kwani miundombinu iliyoharibiwa na inayoendelea kuharibiwa ni mali ya Gaza kama nchi ya Wapalestina na sio mali ya kikundi cha HAMAS kilicho ndani ya nchi ya Wapalestina yaani Gaza.
Nilikuuliza swali jepesi mkuu kati ya Gaza na Lebanon wapi kuna hali ngumu.
Jibu rahisi Gaza ndio Kuna hali ngumu sio Lebanon.
Lebanon ilikua ina maeneo kibao ambayo yako salama raia wanaweza kukimbilia na kuendesha maisha yao.
Hiyo misaada ya hali na mali ilizuiwa ya Hizbollah sio ya Lebanon nzima.
Pia usisahau mkuu kuwa kaskazini mwa Israel raia wamekimbia na Hizbollah walishaanza kulipua ndani ya Tel Aviv na madhara yalishaanza kuonekana Tel Aviv.

Swali fikirishi kwanini Israel akubali mpango wa ceasefire haraka kuliko Gaza!?
Au kwanini USA wakimbilie ku coordinate ceasefire Lebanon ilhali Gaza ambako kuna hali mbaya walikataa huku wakimpa Israel go ahead ya mashambulizi!??
 
Tumeshindwa vipi wakati vita haijaisha? Chuma kitaimba Tena TU usijali maana mazayuni yameshauchokozi hayaheshimu hio sizi faya ya mchongo. Hio ni night mare Kwa mazayuni hzb hawataisha kamwe haya mapumziko wamepewa raia angalau wapumue kidogo watiane mimba hii miezi miwili
 
Mkuu Hamas ilitoa masharti ya ceasefire kuwa Israel ijiondoe na iache kushambulia na wafanye prisonal swap,ila Israel ilikataa.
Ndio. Israeli ilikataa kwa sababu kujiondoa manake inaachia maeneo iliyokwisha safisha na indiretly HAMAS atakuwa amerudishiwa na ataingia kuyamiliki kama ilivyokuwa mwanzo kabla ya vita. (Hili litategemea yaliyomo kwnye Truce bill)
Kubadilishana mateka wa kivita (POW)sijui kama raia waliochukuliwa kama mateka nao huhusika. Ninachojua ni askari waliokamatwaau waliojisalimisha vitani.
Israel ilitaka temporary ceasefire ilhali Hamas walitaka usitishwaji wa vita moja kwa moja.
Hapo utamlaumu vipi Hamas mkuu?
Kama kimsingi wote Israel na HAMAS waliridhia usitishwaji wa vita ila ikaja kuwa wanatofautiana kwenye muda wa usitishwaji mapigano kulikuwa na nini?
Kwa kuzingatia kwamba Gaza au Gaza Strip ndo nchi Tambulika na hata mipaka yake ipo kisheria; HAMAS kama kikundi tu cha wanaharakati kisingeweza kuwa ndo msemaji wa nchi.
Halafu pia tukumbuke Israeli na Palestina (Mamalaka ya Wapalestina Palestinian National Authority ( PNA)) wana mahusiano fulani tokea zamani lakini kuhitilafiana kuliongezeka kuanzia 2006. HAMAS ilipozidisha harakati zake.
Kwa mantiki hiyo Israeli anayo mengi mazuri na mabaya anayoyafahamu dhidi ya HAMAS. Waswahili wanasema "Wametoka mbali"
 
Sheikh wangu.hili tusibishane tu kwa sababu ya ubishi. Hawa waasi wa Aleppo unadhani wangeenda anzisha vita Syria? Unajua Assad ni kama kakimbia nchi? Hisbullah wameshindwa. Mayahudi wanaendelea kupiga huku Marekani ikitaka wasimame. Kaangalie Al Jazeera.
Huyu jamaa ni mkufunzi wa Madrasa humwambii kitu
 
Ndio. Israeli ilikataa kwa sababu kujiondoa manake inaachia maeneo iliyokwisha safisha na indiretly HAMAS atakuwa amerudishiwa na ataingia kuyamiliki kama ilivyokuwa mwanzo kabla ya vita. (Hili litategemea yaliyomo kwnye Truce bill)
Kubadilishana mateka wa kivita (POW)sijui kama raia waliochukuliwa kama mateka nao huhusika. Ninachojua ni askari waliokamatwaau waliojisalimisha vitani.
Mkuu prisonal swap iliyokusudiwa hapa ni kama Ile iliyofanyika mwanzo ambapo mateka 100 waliachiwa na Hamas Kwa kuruhusu mamia ya raia wa Palestina waliofungwa Israel.
Na ndivyo ilivyokua,Hamas walikua wanataka raia walio gerezani mwa Israel waume Kwa wake waachiwe na wao wawaachie mateka.
Gaza inaongozwa na mamlaka ya Hamas.
Kama kimsingi wote Israel na HAMAS waliridhia usitishwaji wa vita ila ikaja kuwa wanatofautiana kwenye muda wa usitishwaji mapigano kulikuwa na nini?
Kwa kuzingatia kwamba Gaza au Gaza Strip ndo nchi Tambulika na hata mipaka yake ipo kisheria; HAMAS kama kikundi tu cha wanaharakati kisingeweza kuwa ndo msemaji wa nchi.
Halafu pia tukumbuke Israeli na Palestina (Mamalaka ya Wapalestina Palestinian National Authority ( PNA)) wana mahusiano fulani tokea zamani lakini kuhitilafiana kuliongezeka kuanzia 2006. HAMAS ilipozidisha harakati zake.
Kwa mantiki hiyo Israeli anayo mengi mazuri na mabaya anayoyafahamu dhidi ya HAMAS. Waswahili wanasema "Wametoka mbali"
Gaza inaongozwa na Hamas authority sio PNA.
PNA unayoidai hapa mamlaka yake yapo West bank sio Gaza.
Hamas ilisema vita iishe wanachotaka wao wapewe raia wao na wawaachie mateka,kwanini Israel ikatae?
 
Mkuu prisonal swap iliyokusudiwa hapa ni kama Ile iliyofanyika mwanzo ambapo mateka 100 waliachiwa na Hamas Kwa kuruhusu mamia ya raia wa Palestina waliofungwa Israel.
Na ndivyo ilivyokua,Hamas walikua wanataka raia walio gerezani mwa Israel waume Kwa wake waachiwe na wao wawaachie mateka.
Gaza inaongozwa na mamlaka ya Hamas.

Gaza inaongozwa na Hamas authority sio PNA.
PNA unayoidai hapa mamlaka yake yapo West bank sio Gaza.
Hamas ilisema vita iishe wanachotaka wao wapewe raia wao na wawaachie mateka,kwanini Israel ikatae?
Kwa nini israel inakataa sheikh wangu? Maana nami hapo ndo napata mgagaiko wa moyo.
 
mimi hadi leo huwa siamini kama yule mwanadamu mwenye kiburi kuliko wanadamu wote, ndugu Hassan Nasraah, amekufa na ashaoza sasaivi. kiburi chote kile? wanadamu jueni kiburi sio maungwana. nilimwonea huruma sana Yahya Ninwar.
 
Hisbullah wangalishindwa marekani asiehangaika kutaka Suluhu. Ukimuona marekani anatafuta Suluhu ujue Isreal yupo hali mbaya sana.
Siyo kweli. Suluhu hii ina kishindo kikuu. Mark my words. Angalia wataleban walipoachwa huru ni nini kimetokea. Hizbolah kwishney. Target kubwa ss hivi ni Iran.
 
Kwa nini israel inakataa sheikh wangu? Maana nami hapo ndo napata mgagaiko wa moyo.
Israel inavyoonekana lengo lake ni kuifanyia annexation Gaza na kuvunja utawala wa Hamas.
Na ameshajiona amepiga hatua kwenye kufanikisha hilo tofauti na Lebanon.
 
Siyo kweli. Suluhu hii ina kishindo kikuu. Mark my words. Angalia wataleban walipoachwa huru ni nini kimetokea. Hizbolah kwishney. Target kubwa ss hivi ni Iran.
Hizbollah hawajaisha usijidanganye.
Inasemekana jana wamefanya shambulizi Israel.
Huwezi kuwamaliza Hizbollah kama unavyodhani.
Iran ndio nearly impossible kabisa maana ni potential ally wa Russia kwasasa.
 
mimi namwabudu Mungu, siabudu mungu wa kiarabu asiye na nguvu na anayehitaji wanadamu wampiganie.

Kwani mungu anakuwa na asili , hizo ni fikra za Paulo na kanisa lako la kuabudu mtoto wa Mariamu aliyecheza mdako na watoto wenzake kuwa ni mungu
 
Hizbollah hawajaisha usijidanganye.
Inasemekana jana wamefanya shambulizi Israel.
Huwezi kuwamaliza Hizbollah kama unavyodhani.
Iran ndio nearly impossible kabisa maana ni potential ally wa Russia kwasasa.
Look my friend, hakuna kundi la kigaidi Duniani liliwahi kuwa Tishio kama Alqaeda ya Osama binLaden. Lili lilikuwa baya sana kwa kipindi kile na walikuwa hawana makazi maalum kama Hezebolah na Hamas. Umeshawaona tena? Hata kama waliswitch over kujiita Boko Haram, seleka, Alshabab etc lakini walishakatwa makali. Believe me, Hezebolah iko terminal stage ya kutoweka. Russia na Iran wanalijua hilo. Vikombora vinavyorushwa sasa ni non- tactical na misguided! The same kama ilivyokuwa kwa Hamas siku za mwisho.
Kumbuka kipigo cha Israel kwa Houth na Iran na Syria cha hivi karibuni kilikuwa mshindo mkubwa. Hivi kwa makeke yote yale ya Houths, umeshaona anarusha kombora lolote Israel siku za karibuni? Jiulize.
 
Back
Top Bottom