TANZIA Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana

TANZIA Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana

akijaribu kuiba!!!!???😀😀😀😀😀 kiruuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Aliyekuwa bondia maarufu Thomas Mashali amefariki dunia usiku wa kuamkia leo maeneo ya kimara. Chanzo bado hakijafahamika. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Amina
Source: Radio Free Africa

Nakumbuka kuna ' interview ' moja Hayati Bob Marley aliulizwa swali kuwa kwanini yeye anavuta sana ' bangi ' lakini afya yake ipo tu vizuri na yeye akajibu kuwa sheria andamizi ya uvutaji bangi wa aina yoyote ile sharti ni kwamba uhakikishe uwe unakula sana na chakula bora na kamwe usichanganye hicho 'kilevi ' na aina yoyote ile ya ' pombe ' kali kwani utajihatarishia maisha yako na hatimaye ' kufa '. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Duuh hiv kumbe ngumi hazilipi maana kifo kilichompata kinasikitisha sanasana kwa jaribio la wiz limekatili uhai wake hee inasikitisha sana r.i.p mashali
 
Kinachotushangaza ni aina ya kifo kilichomkuta kapigwa kwa kosa lipi hasa ngoja tuendelee kusikiliza redio zetu tutapata majibu ya maswali yetu,sijui kawakosea nini wananchi wenye hasira kali

Jamaa alikuwa Tembo.

Na eneo lake kuu ilikuwa ni Manzese, ukiwa Tembo maana yake wewe ni underground boss wa vituo vya daladala, kuna watu wanakuwa wanakusanya hela kutoka kwenye daladala zinazosimama kwenye vituo husika na kumpelekea bosi mgao wake.
 
Bondia Maarufu nchini Thomas Mashali Amefariki Usiku wa Kuamkia Leo. Taarifa za Awali zinasema Amepigwa kwa tuhuma za wizi Ama kuwa na ugomvi na watu
wasiojulikana Maeneo ya Kimara Jijini Dar es Salaam.


Chanzo: Radio Free Africa

R.I.P Thomas Mashali!!
 
Kinachotushangaza ni aina ya kifo kilichomkuta kapigwa kwa kosa lipi hasa ngoja tuendelee kusikiliza redio zetu tutapata majibu ya maswali yetu,sijui kawakosea nini wananchi wenye hasira kali
Watu waliwaponda sana watu wa dar sasa ndo matokeo yake hayo......kuna mambo si ya kuropoka tu kabla ya kufikiria...ila nasikia jamaa alikuwa anapenda ubabe.....km wananchi wamefanya mauaji hayo kweli wachukuliwe hatua.
 
Watu waliwaponda sana watu wa dar sasa ndo matokeo yake hayo......kuna mambo si ya kuropoka tu kabla ya kufikiria...ila nasikia jamaa alikuwa anapenda ubabe.....km wananchi wamefanya mauaji hayo kweli wachukuliwe hatua.
Ila itakuwa kawakosea wananchi hawezi kupigwa bila sababu ngoja tusikilizie tutaelewa tuu chanzo cha kifo chake ni nin hasa
 
Back
Top Bottom