boroyangll
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 223
- 104
R.I.P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inamaana wananchi hawamjui Mashali mpaka wamgombanie mpaka kifo!!au kitu nje ya boxNimesikiliza vizuri radio wametangaza hivi
Alikua kwenye bar moja kimara anakula masanga[emoji481][emoji481] na washikaji zake sasa pale kwenye meza akawa amepishana maneno na jamaa mmoja, ndio huyo aliyekua akijibizana nae akaita mwizi.... Na hapo ndio watu waliokua eneo hilo wakamvaa na kuanza kumpiga na mapanga, malungu mpaka bondia huyu nguli kupoteza uhai.
Ikumbukwe alitoka morogoro juzi na jana mchana alikua kwenye kongamano la mabondia na jioni alipoenda kupooza koo[emoji481] ndio mauti yakamkuta.. Pia mashali alikua anatakiwa ajiandae na pambano lake siku za karibuni.
Bwana ametoa na bwana ametwa jina lake lihimidiwe[emoji24][emoji24]
Nimesikiliza vizuri radio wametangaza hivi
Alikua kwenye bar moja kimara anakula masanga[emoji481][emoji481] na washikaji zake sasa pale kwenye meza akawa amepishana maneno na jamaa mmoja, ndio huyo aliyekua akijibizana nae akaita mwizi.... Na hapo ndio watu waliokua eneo hilo wakamvaa na kuanza kumpiga na mapanga, malungu mpaka bondia huyu nguli kupoteza uhai.
[emoji24][emoji24]
hakuna kitu kama hicho huwezi kukaa sehemu tena uko na watu eti ukaitiwa mwizi huo ni uongo mtakatifuNimesikiliza vizuri radio wametangaza hivi
Alikua kwenye bar moja kimara anakula masanga[emoji481][emoji481] na washikaji zake sasa pale kwenye meza akawa amepishana maneno na jamaa mmoja, ndio huyo aliyekua akijibizana nae akaita mwizi.... Na hapo ndio watu waliokua eneo hilo wakamvaa na kuanza kumpiga na mapanga, malungu mpaka bondia huyu nguli kupoteza uhai.
Ikumbukwe alitoka morogoro juzi na jana mchana alikua kwenye kongamano la mabondia na jioni alipoenda kupooza koo[emoji481] ndio mauti yakamkuta.. Pia mashali alikua anatakiwa ajiandae na pambano lake siku za karibuni.
Bwana ametoa na bwana ametwa jina lake lihimidiwe[emoji24][emoji24]
Inamaana wananchi hawamjui Mashali mpaka wamgombanie mpaka kifo!!au kitu nje ya box
hawa "wananchi wenye hasira kali" huwa nawatafuta sana ila sijui pa kuwapata! nilitaka wanisaidie kutatua matatizo fulani hivi kwenye hii serikali yetu tukufu na tulivu isiyojaribiwa.Clauds wametangaza aliitiwa mwizi baada ya kutokea ugomvi Baa Na rafiki yake.
Hivyo wananchi wenye hasira wakamshambulia Na mapanga baadae watu wa bodaboda wanaomfahamu wakamkimbiza Mhimbili ambako mauti yalimkuta.
R.I.P.
wekeni picha na sissi wa ughaibuni tumwone