TANZIA Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana

TANZIA Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana

Nimesikiliza vizuri radio wametangaza hivi

Alikua kwenye bar moja kimara anakula masanga[emoji481][emoji481] na washikaji zake sasa pale kwenye meza akawa amepishana maneno na jamaa mmoja, ndio huyo aliyekua akijibizana nae akaita mwizi.... Na hapo ndio watu waliokua eneo hilo wakamvaa na kuanza kumpiga na mapanga, malungu mpaka bondia huyu nguli kupoteza uhai.

Ikumbukwe alitoka morogoro juzi na jana mchana alikua kwenye kongamano la mabondia na jioni alipoenda kupooza koo[emoji481] ndio mauti yakamkuta.. Pia mashali alikua anatakiwa ajiandae na pambano lake siku za karibuni.

Bwana ametoa na bwana ametwa jina lake lihimidiwe[emoji24][emoji24]
Inamaana wananchi hawamjui Mashali mpaka wamgombanie mpaka kifo!!au kitu nje ya box
 
Nawasikiliza Clouds FM sasa wanatoa taarifa kuwa huyo bondia is no longer alive kutokana na kupigwa baada ya kuitiwa kelele za mwizi alipokuwa amepishana na wenzie baa! any more detailed updates
 
Clauds wametangaza aliitiwa mwizi baada ya kutokea ugomvi Baa Na rafiki yake.

Hivyo wananchi wenye hasira wakamshambulia Na mapanga baadae watu wa bodaboda wanaomfahamu wakamkimbiza Mhimbili ambako mauti yalimkuta.

R.I.P.
 
Alitoka kwa udongo amerudi kwa udongo.
 
Nimesikiliza vizuri radio wametangaza hivi

Alikua kwenye bar moja kimara anakula masanga[emoji481][emoji481] na washikaji zake sasa pale kwenye meza akawa amepishana maneno na jamaa mmoja, ndio huyo aliyekua akijibizana nae akaita mwizi.... Na hapo ndio watu waliokua eneo hilo wakamvaa na kuanza kumpiga na mapanga, malungu mpaka bondia huyu nguli kupoteza uhai.

[emoji24][emoji24]

Kuna kitu sijakielewa hapa. Yaani wamekaa Bar, akiwa na rafiki zake wakinywa, anatokea mtu wanapishana maneno, kawaida katika kupishana maneno hapo kumbuka lazima watakua wali buy attention za watu. Halafu huyo wanayepishana naye maneno anaamua kpiga kelele za mwizi, ghafla wanatokea watu wakiwa na mapanga na marungu na kuingia sehemu hiyo ya biashara na kuanza kumshambulia mteja, hapo bar hakuna wahudumu? hakuna ulinzi? wale rafiki zake walikwenda wapi?
Mwandishi makini hawezi ku report vitu vya aina hii, kama angejiuliza haya maswali niliyojiuliza mimi basi angeendelea kuutafuta ukweli au ange report kifo badala ya kutoa details zilizopoteza radha kwa wingi wa ukakasi.
 
Nimesikiliza vizuri radio wametangaza hivi

Alikua kwenye bar moja kimara anakula masanga[emoji481][emoji481] na washikaji zake sasa pale kwenye meza akawa amepishana maneno na jamaa mmoja, ndio huyo aliyekua akijibizana nae akaita mwizi.... Na hapo ndio watu waliokua eneo hilo wakamvaa na kuanza kumpiga na mapanga, malungu mpaka bondia huyu nguli kupoteza uhai.

Ikumbukwe alitoka morogoro juzi na jana mchana alikua kwenye kongamano la mabondia na jioni alipoenda kupooza koo[emoji481] ndio mauti yakamkuta.. Pia mashali alikua anatakiwa ajiandae na pambano lake siku za karibuni.

Bwana ametoa na bwana ametwa jina lake lihimidiwe[emoji24][emoji24]
hakuna kitu kama hicho huwezi kukaa sehemu tena uko na watu eti ukaitiwa mwizi huo ni uongo mtakatifu
 
Inamaana wananchi hawamjui Mashali mpaka wamgombanie mpaka kifo!!au kitu nje ya box

Mashali alikuwa underground boss, if you know what I mean.

Alikuwa na vikundi vya wezi/vibaka waliokuwa wakiiba wanampelekea, na pia alikuwa anacontrol makusanyo yasiyo rasmi kwenye vituo vya daladala (hawa wanajiita Tembo).

Hawa Matembo wanagawana maeneo, na ili umiliki eneo lazima uwe mbabe na uthibitishe kwamba wewe ni mkali.
 
Clauds wametangaza aliitiwa mwizi baada ya kutokea ugomvi Baa Na rafiki yake.

Hivyo wananchi wenye hasira wakamshambulia Na mapanga baadae watu wa bodaboda wanaomfahamu wakamkimbiza Mhimbili ambako mauti yalimkuta.

R.I.P.
hawa "wananchi wenye hasira kali" huwa nawatafuta sana ila sijui pa kuwapata! nilitaka wanisaidie kutatua matatizo fulani hivi kwenye hii serikali yetu tukufu na tulivu isiyojaribiwa.
daah R.I.P Tom,pumzika kwa amani mwanangu.nitaku miss sana man man
 
image.jpeg
image.jpeg

Thomas Mashali,bondia mashahuri wa Tanzania amefariki usiku wa leo baada ya kupigwa mapanga maeneo ya Kimara.Inasemwa kuwa Mashali alikuwa kambini akijiandaa na pambano,lkn alitoka kambini na jamaa zake na kwenda kunywa moja moto na moja baridi.

Baada ya kupata kilaji,Mashali alihama Bar moja na kwenda nyingine,ambapo wanasema akilewa huwa anakuwa na fujo.Sasa aliingia Bar nyingine akaanza kuleta ubabe wa kupiga watu.Raia wakamuitia mwizi,watu wakaja na mapanga na marungu wakampiga mpaka kufa.Walipokuja kugundua ni Mashali,ilikuwa ameshauwawa na kupoteza damu nyingi.

Madereva wa bodaboda wakamchukua na kumpeleka Muhimbili.Mpaka sasa mabondia wanakusanyika Muhimbili kwa ajili ya utaratibu wa mazishi.

Kwa Heri Bondia Thomas Mashali.
 
Back
Top Bottom