Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi aliitwa mfalme sio mwizihakuna kitu kama hicho huwezi kukaa sehemu tena uko na watu eti ukaitiwa mwizi huo ni uongo mtakatifu
Inamaana Majangili yamemuuwa Tembo?Mashali alikuwa underground boss, if you know what I mean.
Alikuwa na vikundi vya wezi/vibaka waliokuwa wakiiba wanampelekea, na pia alikuwa anacontrol makusanyo yasiyo rasmi kwenye vituo vya daladala (hawa wanajiita Tembo).
Hawa Matembo wanagawana maeneo, na ili umiliki eneo lazima uwe mbabe na uthibitishe kwamba wewe ni mkali.
Kuna dalili za uhalifu kwenye hiki kipigo.Kuna kitu sijakielewa hapa. Yaani wamekaa Bar, akiwa na rafiki zake wakinywa, anatokea mtu wanapishana maneno, kawaida katika kupishana maneno hapo kumbuka lazima watakua wali buy attention za watu. Halafu huyo wanayepishana naye maneno anaamua kpiga kelele za mwizi, ghafla wanatokea watu wakiwa na mapanga na marungu na kuingia sehemu hiyo ya biashara na kuanza kumshambulia mteja, hapo bar hakuna wahudumu? hakuna ulinzi? wale rafiki zake walikwenda wapi?
Mwandishi makini hawezi ku report vitu vya aina hii, kama angejiuliza haya maswali niliyojiuliza mimi basi angeendelea kuutafuta ukweli au ange report kifo badala ya kutoa details zilizopoteza radha kwa wingi wa ukakasi.
Nguvu ya uma ni zaidi ya bomu la nyukilia, usiombe ikakukuta hata siku moja, hautosalimika vile raia huwa hawa angaliiKuna kitu sijakielewa hapa. Yaani wamekaa Bar, akiwa na rafiki zake wakinywa, anatokea mtu wanapishana maneno, kawaida katika kupishana maneno hapo kumbuka lazima watakua wali buy attention za watu. Halafu huyo wanayepishana naye maneno anaamua kpiga kelele za mwizi, ghafla wanatokea watu wakiwa na mapanga na marungu na kuingia sehemu hiyo ya biashara na kuanza kumshambulia mteja, hapo bar hakuna wahudumu? hakuna ulinzi? wale rafiki zake walikwenda wapi?
Mwandishi makini hawezi ku report vitu vya aina hii, kama angejiuliza haya maswali niliyojiuliza mimi basi angeendelea kuutafuta ukweli au ange report kifo badala ya kutoa details zilizopoteza radha kwa wingi wa ukakasi.