Sio Kweli kuwa matokeo hayo hayakuathiri uchumi wa Tanzania? Pamoja na matukio hayo viongozi wengi wa wakati huo hawakuwa pamoja na Nyerere kama waumini wa siasa ya ujamaa hivyo implementation yake ilikuwa half hearted ; kwa lugha ya leo Tungesema wengi wao walikuwa CHAWA. Wamekuja kujulikana unafiki wao baada ya Nyerere kustaafu.Huu sio ukweli, USSR, Cuba na China walihusika kusaidia katika vita vya ukombozi. Pia Angola imepigana vita vikubwa vya wenyewe kwa wenywe vya miaka 25 tangu 1975-2000 ila wana uchumi mkubw kutuzidi wakati hatutofautiani sana kwa ukubwa wa nchi, rasilimali na jiografia.
Hoja yako ina msingi mzuri: China si wakomunisti wa asili kama ilivyokuwa chini ya Mao, lakini pia si wabepari kamili kama nchi za Magharibi. Hata hivyo, kusema kwamba "sifa za ubepari zinawakataa kabisa" kunaweza kuwa tafsiri yenye utata, hasa tukizingatia jinsi uchumi wa China unavyofanya kazi leo.China sio wakomunisti pure na sio wabepari sifa za ubepari zinawakataa kabisa
Siku hizi mfumo wa China wameupa jina la Party-State Capitalism.Hoja yako ina msingi mzuri: China si wakomunisti wa asili kama ilivyokuwa chini ya Mao, lakini pia si wabepari kamili kama nchi za Magharibi. Hata hivyo, kusema kwamba "sifa za ubepari zinawakataa kabisa" kunaweza kuwa tafsiri yenye utata, hasa tukizingatia jinsi uchumi wa China unavyofanya kazi leo.
Je, China bado ni nchi ya kikomunisti?
Ndiyo, kwa maana ya kuwa Chama cha Kikomunisti bado kinashikilia mamlaka yote ya kisiasa, na mfumo wa siasa ni wa chama kimoja bila ushindani wa vyama vingi. Serikali inahakikisha kuwa sekta nyeti kama benki, nishati, na miundombinu zinabaki chini ya udhibiti wake. Kwa mtazamo huo, China bado inafuata misingi ya ujamaa wa kisiasa.
Lakini je, mfumo wa uchumi unafuata ukomunisti?
Hapana kabisa. Tangu mageuzi ya kiuchumi ya miaka ya 1980, China imefungua milango kwa soko huria, sekta binafsi, na uwekezaji wa nje. Makampuni makubwa ya Kichina kama Alibaba, Huawei, na Tencent yanaendeshwa kwa misingi ya kibiashara inayofanana na ile ya nchi za kibepari. Wafanyabiashara binafsi wanakuwa mabilionea, na ushindani wa soko upo kama ilivyo katika nchi za Magharibi.
Kwa hiyo, ni nini hasa?
China imetengeneza mfumo wa kipekee – sio ujamaa wa kimarxist safi, lakini pia si ubepari wa kawaida. Inaweza kuelezwa kama uchumi wa soko unaodhibitiwa na serikali ya kikomunisti. Mfumo huu umewapa nafasi ya kukuza uchumi kwa haraka huku wakidhibiti siasa kwa mkono wa chuma.
Kwa hivyo, kusema kwamba "sifa za ubepari zinawakataa kabisa" si sahihi. Badala yake, ni sahihi kusema kwamba China imechukua vipengele vya ubepari lakini kwa namna ambayo vinadhibitiwa na dola, badala ya soko kuwa huru kabisa kama ilivyo katika mataifa ya Magharibi. Swali kubwa ni je, mfumo huu utaendelea kudumu, au kuna mabadiliko makubwa yanayokuja siku za usoni?
Ase. Nimezidisha sifa zipi hizo tena? Ieleweke kuwa najitambua.wewe umezidisha sifa tena.
tunadhania ama tunajua?Sisi wengine tumekulia katika kipindi chake na kuyaona mengi sana ambayo nyinyi generations za sasa munadhania ni uongo.
UAFRIKA NI LAAANAAA!!!!
Profesa Babu alikuwa mjamaa haswa akiamini katika Ujamaa wa Kisayansi Mwanaharakati mahili wa Pan Africanism,
Alikuwa ni rafiki wa Mwenyekiti Mao alimtembelea 1959 huko China.
Mimi namkumbuka alipokuwa Waziri wa Uchumi na Mipango akitoka nyumbani kwake kwa mguu hadi ofisini kwake wakati mwingine anapekuwa hana viatu.
Na siku nyingine anakuja na baiskeli yake.
Babu
Malengo ilikuwa ni kuwafukarisha watu weusi ili wao watawale Kwa uhuruNia na malengo yalikuwa mazuri, matokeo yakawa kinyume na malengo...
Niliwahi kutazama makala moja ikielezea sababu zilizoifanya Tanganyika na sasa Tanzania kuporomoka kiuchumi na kuwa taifa hohehae, moja ya sababu zilizotajwa ni pamoja na siasa za kujitegemea na ujamaa
Nyerere dini ilimuingia iliyotengeneza hofu ndogo.
Huyu alivutiwa na ukomunisti wa huko Uchina alipoenda lakini kuiacha dini ilikuwa ngumu kwake alikuwa mkomunisti uchwara
Lakini Kenya Kuna masikini na mafukara wengi kuliko TanzaniaTanzania ni kubwa karibia mara mbili ya Kenya, ina rasilimali nyingi zaidi ya Kenya na ardhi kubwa ya kilimo kuliko Kenya.
Tanzania ndio ina masikini wengi kuliko KenyaLakini Kenya Kuna masikini na mafukara wengi kuliko Tanzania
Sio kweli mkuu Kuna makala iyohusu poverty index tena ya world bank ilieleleza Hilo.Tanzania ndio ina masikini wengi kuliko Kenya
Kwanza sahihisha jina lake: Abdurrahman Babu, na sidhani kama alikuwa na influence kubwa kwa Nyerere kama ulivyoshadidia wewe. Zilikuwa ni fikra za Nyerere mwenyewe na ujamaa wake wa kiafrika.Mwl. Dr Julius Kambarage Nyerere aliyemuingiza chaka la Ujamaa ni Wazanzibari waliokuwa wamesomea uhanaharakati Cuba,East Germany, Soviet, Yugoslavia n.k
Mmoja wao ni Profesa Abdullah Babu waziri wa Uchumi na mipango.
Pili muungano na Zanzibar,wao walifungua ubalonzi wa Ujerumani Mashariki wakati Tanganyika tulikuwa na Ujerumani Magharibi.
Mara baada ya Tanganyika kupata uhuru the mighty West Germany ilikuja kwa nia mmoja kuijenga Tanganyika kiuchumi,viwanda,Elimu iwe mfano wa kuigwa duniani.Mjerumani alikuuja kwa mbwembwe tena akitaka kumuonyesha Mwingereza kuwa hawakufanya lolote kwa miaka 70.
Mara huko Zanzibar nayo ikafungua ubalozi na East Germany.mbaya wa West Germany.
Mbabe West Germany akamtaka Raisi Nyerere afunge ubalozi wa East Germany mara mmoja. Nyerere akawajibu wasimchagulie rafiki.
West Germany ikafuga ubalozi Dar ndio hivyo Mjerumani akatutosa mmoja kwa mmoja.
Karata ya pili Nyerere aliwakimbilia Israel wahimarishe vyama vya Ushirika,kilimo cha kisasa kwa peasants. Kuanzisha Jeshi la kujenga Taifa .
Cooperative Unions zikashahimili,Mashamba darasa ya kilimo yakafunguliwa,ukakamavu wa kujenga utaifa kwa wasomi kupitia JKT ukatamalaki.
Lakini 1967 six days war kati ya Israel na Nchi za Misri, Jordan na Syria,Tanzania ikavunja uhusiano na Israel.
Nyerere karata ya tatu akiambatana na Abdullah Babu kwenda China ya Mao kutafuta ufadhili wa kujenga reli ya Tazara na mengine yakafuata ndio ikazaliwa Azimio la Arusha ambalo ndio siasa ya ujamaa na kujitegemea.
Tanzania wote hawanaSio kweli mkuu Kuna makala iyohusu poverty index tena ya world bank ilieleleza Hilo.
Cha pili gap ya wenye nacho na wasionacho kenya ni kubwa sana tofauti na Tanzania
Mimi ninacho mkuuTanzania wote hawana
van Bismark ndiyo muanzilishi wa ujamaa? Halafu unabishia ati unajua, kha!Ieleweke.Kwa wale wasiojua, Muasisi wa Ujamaa alikuwa Otto Van Bismark wa Ujerumani. Na baadae kuigwa na Nchi zingine.
Born 1954,darasa la kwannza 1962,Kwanza sahihisha jina lake: Abdurrahman Babu, na sidhani kama alikuwa na influence kubwa kwa Nyerere kama ulivyoshadidia wewe. Zilikuwa ni fikra za Nyerere mwenyewe na ujamaa wake wa kiafrika.
Vyama vya ushirika vilivunjwa na Nyerere kwa kudhania kuwa vilikuwa vinaleta unyonyaji lakini baadae alikuja kujutia kosa la kuviua vyama vya ushirika.
Nadhani wewe umesikia stories tu kutoka kwa babu zako halafu ukaunga unga na kuja kuandika hapa kama facts - hilo shamba darasa lilitokea wapi kwenye miaka ya sitini wakati hizo fikra ni za kwenye miaka ya elfu mbili na kuendelea?
labda uliishi vijijini kwa kiwango kikubwa cha umri wakoBorn 1954,darasa la kwannza 1962,
Punguwani wewe...It was indeed the economic policy of socialism which killed Nyerere reputation to western, and they made him look bad and chosen Kenya, which infact adopted Capitalism from its inception.
Kosa la Nyerere nadhan ni kutumia resources za Tanzania kujaribu kutengeneza superiority ya Tanzania kwa nchi nyingi za SADC ambazo bado zilikuwa kwenye independence struggle...
He failed economically to the western view point, lakini alifanikiwa kutengeneza Reputation ya Tanzania na Watanzania kwa mataifa mengi Africa, offcourse with costs.
Tanzania trusted ally now wapo SADC wengi kuliko EAC.. because of him.
Nafikiri aliamini akiondoka Economics zinaweza tengenezwa na his Successors. and Mkapa Proved somehow , JPM too.
Issues za Kilimo na Railyway we are doing somewhat good compared to our counterparts... Now we are leading in Africa Maize Production... According to data.
Almost 30 p ya GDP ya TZ sasa ni kilimo, up from less than 20% back then...
Generally Nyerere wasn't that bad, but as personal weaknesses hakuwa anapenda wajuaji, kwakuwa alijua gharama ya kuzungukwa na wajuaji kama kina Kambona...😂
Thanks.