Thomas Tuchel hana uwezo wa kuing'arisha Chelsea, tafuteni kocha mwenye uwezo

Thomas Tuchel hana uwezo wa kuing'arisha Chelsea, tafuteni kocha mwenye uwezo

Pamoja na ukweli kwamba Frank Lampard ameshindwa kutimiza malengo ya timu na hatimaye ametimuliwa, lakini huyo Thomas Tuchel hafai kubeba jukumu hilo, ni kocha mwepesi sana ambaye mafanikio yake mara zote yanachagizwa na ubora wa kikosi anachofundisha, si Tactician na wala hana uwezo wa kubadili mchezo ndani ya dimba.

Nimemfuatilia tangu Borussia Dortmund hadi PSG, nguzo yake kuu ni aina fulani ya wachezaji, wachezaji ambao hawapo Chelsea.

Namtabiria kutimuliwa mapema kuliko hata Lampard.
Kumbe ndio maana simba sc walimkataa. Nasikia eti na yy alituma cv yake
 
Mkuu utabir wako kwenye mpira upo konki Sana accuracy ya tabiri zako huwa 90% , huwa unafeli kwenye siasa Tu 😃 wanaokupinga soon watadhalilika vibaya mno....Chelsea ni timu ngumu mno Kwa makocha wengi....hasa hao walaini laini ambao kila akitaka mchezaji Fulani analetewa
Hata kwenye siasa kinachonifelisha ni tume ya uchaguzi
 
Pamoja na ukweli kwamba Frank Lampard ameshindwa kutimiza malengo ya timu na hatimaye ametimuliwa, lakini huyo Thomas Tuchel hafai kubeba jukumu hilo, ni kocha mwepesi sana ambaye mafanikio yake mara zote yanachagizwa na ubora wa kikosi anachofundisha, si Tactician na wala hana uwezo wa kubadili mchezo ndani ya dimba.

Nimemfuatilia tangu Borussia Dortmund hadi PSG, nguzo yake kuu ni aina fulani ya wachezaji, wachezaji ambao hawapo Chelsea.

Namtabiria kutimuliwa mapema kuliko hata Lampard.
eti sio tactician 😂 aisee ....umetisha zaidi Kwa kusema kuwa atafukuzwa mapema zaidi ya muda aliokaa lampard huu utabiri wako uchwara Tu
 
tuchel toka akiwa dortmund na pia psg sikuelew walitumia kigez kip kumpa huy jamaa ajira
 
tuchel toka akiwa dortmund na pia psg sikuelew walitumia kigez kip kumpa huy jamaa ajira
Yeye ndo alikuwa available Kwa haraka Kwa muda huo mpk lamps anafukuzwa na isitoshe bado alikuwa ana umoto wa kufundisha....na kama umefuatilia vzuri toka alivyokuwepo psg na Dortmund jambo lililomfukuzisha ni kubust out na uongozi wa hizo timu ..lkn suala la performance Mbona kafanya vzuri Kwa kiasi chake toka alipokuwa Mainz( aliifanya timu kuwa regular Sana kwenye spots za Europa League n hata kocha aliyekuwepo kabla hapo Mainz KLOP hakuweza kufanya hvyo) , Dortmund alipambana Sana akachukua dfb pokal km unavyojua bundesliga kule Bayern katawala Sana....psg kachukua makombe ya kule pia ....na last tym aliifikisha final ya uefa ...pep hakuweza alivyokuwa na Bayern na pia bado anastruggle na hii city ya kina kdb na kina sterling kuingia hata final ya uefa ( last tym kuingia final uefa ndo Ile 2011)....give the man some respect au kisa kufungwa na ole na NYUMBU yake kama mara 2 kwenye uefa ndo mnaona Hana uwezo? The guy atatupeleka top 4.na pengine hata no.2 PERIOD
 
Unapomuita Tuchel sio tactician inaonekana kabisa hujui na wala huangalii mpira wa ulaya.


TT huwa anagombana na uongozi wa timu tuu mambo mengine ya tactics nendeni mkamsikilize mwalimu KLOPP atawapa majibu mazuri.

Kama hiyo ni kazi kangalie game za chelsea anvyobadilikabadilika katika mfumo wake kila game


PSG ni timu yenye masupastaa tangia 2011, ila imewahi kufika fainali ya uefa mara ngapi?
 
Pamoja na ukweli kwamba Frank Lampard ameshindwa kutimiza malengo ya timu na hatimaye ametimuliwa, lakini huyo Thomas Tuchel hafai kubeba jukumu hilo, ni kocha mwepesi sana ambaye mafanikio yake mara zote yanachagizwa na ubora wa kikosi anachofundisha, si Tactician na wala hana uwezo wa kubadili mchezo ndani ya dimba.

Nimemfuatilia tangu Borussia Dortmund hadi PSG, nguzo yake kuu ni aina fulani ya wachezaji, wachezaji ambao hawapo Chelsea.

Namtabiria kutimuliwa mapema kuliko hata Lampard.
Tumpe mda,ana kila dalili ya kuchukua kombe klabu bingwa Ulaya
 
ninamaanisha wachezaji wanaotumika ni walewale wa Lampard
wewe ulitaka atumie wachezaji gani, wa arteta?



asee sijawahi kuona mtu anaongea utumbo kama wewe kwenye hili jukwaa la michezo, yaani kocha kaikuta timu ipo out of big 4, amewafunga makocha wazoefu kama Diego simeone, Zizou, kamtoa Guardiola F. A useme anatembelea nyota!?
 
Pamoja na ukweli kwamba Frank Lampard ameshindwa kutimiza malengo ya timu na hatimaye ametimuliwa, lakini huyo Thomas Tuchel hafai kubeba jukumu hilo, ni kocha mwepesi sana ambaye mafanikio yake mara zote yanachagizwa na ubora wa kikosi anachofundisha, si Tactician na wala hana uwezo wa kubadili mchezo ndani ya dimba.

Nimemfuatilia tangu Borussia Dortmund hadi PSG, nguzo yake kuu ni aina fulani ya wachezaji, wachezaji ambao hawapo Chelsea.

Namtabiria kutimuliwa mapema kuliko hata Lampard.
😆😆😆😆😆
 
Mkuu utabir wako kwenye mpira upo konki Sana accuracy ya tabiri zako huwa 90% , huwa unafeli kwenye siasa Tu 😃 wanaokupinga soon watadhalilika vibaya mno....Chelsea ni timu ngumu mno Kwa makocha wengi....hasa hao walaini laini ambao kila akitaka mchezaji Fulani analetewa
😆😆😆😆😆
 
Bado namwangalia , huenda anatembelea nyota ya Lampard , ngoja kidogo
Umeanza kuhamisha magoli? Nyota ya Lampard ipi hiyo? Yakufungwa hovyo?

Unataka umfuatilie mpaka wapi wakati kisha ingia Final ya UCL?

Au unasubiri adrop kisha uje utetee hoja yako? Kudrop kwa makocha ni jambo la kawaida muangalie Klop na Jose Mourinho.
 
Umeanza kuhamisha magoli? Nyota ya Lampard ipi hiyo? Yakufungwa hovyo?

Unataka umfuatilie mpaka wapi wakati kisha ingia Final ya UCL?

Au unasubiri adrop kisha uje utetee hoja yako? Kudrop kwa makocha ni jambo la kawaida muangalie Klop na Jose Mourinho.
👍
 
Back
Top Bottom