Thomas Tuchel hana uwezo wa kuing'arisha Chelsea, tafuteni kocha mwenye uwezo

Thomas Tuchel hana uwezo wa kuing'arisha Chelsea, tafuteni kocha mwenye uwezo

Pamoja na ukweli kwamba Frank Lampard ameshindwa kutimiza malengo ya timu na hatimaye ametimuliwa, lakini huyo Thomas Tuchel hafai kubeba jukumu hilo, ni kocha mwepesi sana ambaye mafanikio yake mara zote yanachagizwa na ubora wa kikosi anachofundisha, si Tactician na wala hana uwezo wa kubadili mchezo ndani ya dimba.

Nimemfuatilia tangu Borussia Dortmund hadi PSG, nguzo yake kuu ni aina fulani ya wachezaji, wachezaji ambao hawapo Chelsea.

Namtabiria kutimuliwa mapema kuliko hata Lampard.
Kachambue mchele tu achana na Mpira[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu jamaa anateseka akiwa wapi maono yake anaona kama ni kweli kumbe falaa tuu . Mbona mashabiki wa man u huwa mna wivu sana.

Mmeona tabu kumpa city ushindi mmeanza kuleta uchawi humu mnataka kila kitu muwe nyie tuuu.
 
huu uzi umejaa majungu Sana ya watu wasiojua mpira yaani bichwa limejaa makamasi tupu
Mpaka sasa Tuchel amenipigia wafuatao

•Diego simeone

• morinho

• Klop

•Guardiola

• Benitez

• Bekham
 
Huyu jamaa anateseka akiwa wapi maono yake anaona kama ni kweli kumbe falaa tuu . Mbona mashabiki wa man u huwa mna wivu sana.

Mmeona tabu kumpa city ushindi mmeanza kuleta uchawi humu mnataka kila kitu muwe nyie tuuu.
Hao ndo wale wasioweka akiba ya maneno.

Mashabiki wa kukariri, bila kujua siku ya jana si ya leo.
 
Pamoja na ukweli kwamba Frank Lampard ameshindwa kutimiza malengo ya timu na hatimaye ametimuliwa, lakini huyo Thomas Tuchel hafai kubeba jukumu hilo, ni kocha mwepesi sana ambaye mafanikio yake mara zote yanachagizwa na ubora wa kikosi anachofundisha, si Tactician na wala hana uwezo wa kubadili mchezo ndani ya dimba.

Nimemfuatilia tangu Borussia Dortmund hadi PSG, nguzo yake kuu ni aina fulani ya wachezaji, wachezaji ambao hawapo Chelsea.

Namtabiria kutimuliwa mapema kuliko hata Lampard.
😂😂😂😂
 
Pamoja na ukweli kwamba Frank Lampard ameshindwa kutimiza malengo ya timu na hatimaye ametimuliwa, lakini huyo Thomas Tuchel hafai kubeba jukumu hilo, ni kocha mwepesi sana ambaye mafanikio yake mara zote yanachagizwa na ubora wa kikosi anachofundisha, si Tactician na wala hana uwezo wa kubadili mchezo ndani ya dimba.

Nimemfuatilia tangu Borussia Dortmund hadi PSG, nguzo yake kuu ni aina fulani ya wachezaji, wachezaji ambao hawapo Chelsea.

Namtabiria kutimuliwa mapema kuliko hata Lampard.
Una la kusema sasa?
 
Pamoja na ukweli kwamba Frank Lampard ameshindwa kutimiza malengo ya timu na hatimaye ametimuliwa, lakini huyo Thomas Tuchel hafai kubeba jukumu hilo, ni kocha mwepesi sana ambaye mafanikio yake mara zote yanachagizwa na ubora wa kikosi anachofundisha, si Tactician na wala hana uwezo wa kubadili mchezo ndani ya dimba.

Nimemfuatilia tangu Borussia Dortmund hadi PSG, nguzo yake kuu ni aina fulani ya wachezaji, wachezaji ambao hawapo Chelsea.

Namtabiria kutimuliwa mapema kuliko hata Lampard.
Makamanda wengine bana
 
Back
Top Bottom