The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Angeleta wachezaji wengine pia ungesema,ninamaanisha wachezaji wanaotumika ni walewale wa Lampard
Kweli bongo nyoso ww kachambue siasa achana na mpira hujui yan Tanzania Kila mtu mchambuzi ndo maana hatuendelei .Bado namwangalia , huenda anatembelea nyota ya Lampard , ngoja kidogo
Sawa mkuu , kocha wa Chelsea atapigwa fainali zote mbili , alaf disaster itaanza msimu ujao na kabla ya mwez wa 12 atakuwa ametimuliwa kazi .....!!!😆😆😆😆😆
Kachambue mchele tu achana na Mpira[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pamoja na ukweli kwamba Frank Lampard ameshindwa kutimiza malengo ya timu na hatimaye ametimuliwa, lakini huyo Thomas Tuchel hafai kubeba jukumu hilo, ni kocha mwepesi sana ambaye mafanikio yake mara zote yanachagizwa na ubora wa kikosi anachofundisha, si Tactician na wala hana uwezo wa kubadili mchezo ndani ya dimba.
Nimemfuatilia tangu Borussia Dortmund hadi PSG, nguzo yake kuu ni aina fulani ya wachezaji, wachezaji ambao hawapo Chelsea.
Namtabiria kutimuliwa mapema kuliko hata Lampard.
We mzee nawee umejaa makamasii matupuu "bekham" kapigwa saa ngapi?huu uzi umejaa majungu Sana ya watu wasiojua mpira yaani bichwa limejaa makamasi tupu
Mpaka sasa Tuchel amenipigia wafuatao
•Diego simeone
• morinho
• Klop
•Guardiola
• Benitez
• Bekham
hahahahahahahahahaWe mzee nawee umejaa makamasii matupuu "bekham" kapigwa saa ngapi?
Hao ndo wale wasioweka akiba ya maneno.Huyu jamaa anateseka akiwa wapi maono yake anaona kama ni kweli kumbe falaa tuu . Mbona mashabiki wa man u huwa mna wivu sana.
Mmeona tabu kumpa city ushindi mmeanza kuleta uchawi humu mnataka kila kitu muwe nyie tuuu.
Wewe ndo umedhalilishwa na muda Sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]muda utakudhalilisha
Kubali tuu kua wewe ni utopolo wa uchambuzi mkuu mbona easy tuuBado namwangalia , huenda anatembelea nyota ya Lampard , ngoja kidogo
😂😂😂😂Pamoja na ukweli kwamba Frank Lampard ameshindwa kutimiza malengo ya timu na hatimaye ametimuliwa, lakini huyo Thomas Tuchel hafai kubeba jukumu hilo, ni kocha mwepesi sana ambaye mafanikio yake mara zote yanachagizwa na ubora wa kikosi anachofundisha, si Tactician na wala hana uwezo wa kubadili mchezo ndani ya dimba.
Nimemfuatilia tangu Borussia Dortmund hadi PSG, nguzo yake kuu ni aina fulani ya wachezaji, wachezaji ambao hawapo Chelsea.
Namtabiria kutimuliwa mapema kuliko hata Lampard.
😁😁😁Apa nakubaliana na wewe tuchel ni kocha wa kawaid Sion kama ni mtu sahihi
Una la kusema sasa?Pamoja na ukweli kwamba Frank Lampard ameshindwa kutimiza malengo ya timu na hatimaye ametimuliwa, lakini huyo Thomas Tuchel hafai kubeba jukumu hilo, ni kocha mwepesi sana ambaye mafanikio yake mara zote yanachagizwa na ubora wa kikosi anachofundisha, si Tactician na wala hana uwezo wa kubadili mchezo ndani ya dimba.
Nimemfuatilia tangu Borussia Dortmund hadi PSG, nguzo yake kuu ni aina fulani ya wachezaji, wachezaji ambao hawapo Chelsea.
Namtabiria kutimuliwa mapema kuliko hata Lampard.
Nakuunga mkonoNi kocha bora kuliko wakina lampard waliokuwa wanabebwa na mafanikio wakati wanacheza
Makamanda wengine banaPamoja na ukweli kwamba Frank Lampard ameshindwa kutimiza malengo ya timu na hatimaye ametimuliwa, lakini huyo Thomas Tuchel hafai kubeba jukumu hilo, ni kocha mwepesi sana ambaye mafanikio yake mara zote yanachagizwa na ubora wa kikosi anachofundisha, si Tactician na wala hana uwezo wa kubadili mchezo ndani ya dimba.
Nimemfuatilia tangu Borussia Dortmund hadi PSG, nguzo yake kuu ni aina fulani ya wachezaji, wachezaji ambao hawapo Chelsea.
Namtabiria kutimuliwa mapema kuliko hata Lampard.
Itabidi wako umedunda tuchel kachukua UEFA[emoji1]Sawa mkuu , kocha wa Chelsea atapigwa fainali zote mbili , alaf disaster itaanza msimu ujao na kabla ya mwez wa 12 atakuwa ametimuliwa kazi .....!!!
SawaHahahahahah tuchel kachukua UEFA sasa
Kampiga pep Mara tatu Sasa[emoji1787]huu uzi umejaa majungu Sana ya watu wasiojua mpira yaani bichwa limejaa makamasi tupu
Mpaka sasa Tuchel amenipigia wafuatao
•Diego simeone
• morinho
• Klop
•Guardiola
• Benitez
• Bekham