Thread maalum kwa ajili ya kutakiana heri ya mwaka mpya na sikukuu ya X-mass, pia kuorodhesha matukio yote yatakayotokea kwenye X-Mass na mwaka mpya

Thread maalum kwa ajili ya kutakiana heri ya mwaka mpya na sikukuu ya X-mass, pia kuorodhesha matukio yote yatakayotokea kwenye X-Mass na mwaka mpya

Mimi nawatakkia member wote kheri ya mwaka mpya kiukweli huu mwaka umekuwa wa tofauti hapa jf mmetufunza mmetuelimisha nawapenda nduguzangu
Na sisi tunakupenda pia mwanaJF mwenzetu. Mwaka unaokuja uwe wenye heri, baraka na mafanikio makubwa kwako.
 
20231219_123414.jpg

Hapa ni wapi
Nina elekea wapi
Sikukuu njema jamani 🍾🍻🔥
 
Mpaka sasa bado sijapokea mualiko wowote wa Christmas. Jamani tualikane wengine mambo yametuendekea kombo Leo.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Leo nimeona bora nije na thread ya pamoja kwa ajili ya kutakiana heri ya mwaka mpya na sikukuu ya X-mass.

Lakini pia kila mtu atakuwa huru ku share picha za jinsi watu walivyo celebrity, na kusherehekea mkesha wa mwaka mpya huko atapokuwa, au kuandika matukio yote yatakayotokea katika siku hizo mbili.

Binafsi napenda kutumia nafasi hii kuwatakia heri ya mwaka mpya na sikukuu ya X-mass wanaJF wote waliopo humu, haswa wale ambao wapo tayari kwa ajili ya kusherehekea sikuu hizo.

Najua kwa baadhi ya nchi (ikiwemo hii niliyopo mimi), hiki ni kipindi kigumu kwetu kuumaliza mwaka salama, lkn kwa uwezo wa Mungu wetu alie mwema, mwenye upendo na huruma ya kweli kwetu, basi tutaumaliza salama salmin.. Ameen.

Update 👇

Wakuu kama thread ilivyojieleza hapo juu, kwamba mbali na kutakiana heri ya mwaka mpya na sikuu ya Christmas, lkn pia tutakuwa tukileta picha, video au masimulizi mbali mbali yanayohusiana na sikuu hizi, pamoja na matukio mbali mbali ya mwisho wa mwaka yanayotokea katika nchi, au maeneo mbali mbali hapa duniani.

Mchana huu nilipokuwa nikipita maeneo ya kitongoji cha Bertram jijini Johannesburg, nilikumbana na mkasa fulan wa kutisha na kushtua, ambao umefanyika saa chache tu kabla ya mimi kupita eneo husika.

Inasemekana wazee wa "tupe chetu ubaki na roho yako" walivamia katika ofisi ya betting na kuchukua kila kitu, kisha kutokomea kusikujulikana. Ila kabla ya kufanya operation walimuomba meneja wa ofisi hiyo (muethiopia) awape chao mapema wasepe, yeye akajifanya kuleta ngonjera, ndo wazee wa "tupe chetu ubaki na roho yako" wakampa njugu kadhaa mwilini mwake (sina uhakika kama alikufa au hakufa) kisha wakachukua kwa nguvu kilichowaleta na kupotea.

Kwa mbali, ni picha ikionesha askari kadhaa na gari yao wakiwa katika eneo la tukio. Hakuna gari iliyokuwa inaruhusiwa kusogelea au kupita eneo la tukio (ukizoom utauona utepe wa askari) hivyo nlichukua hiyo 4to kwa mbali na kuendelea na mishe zangu zilizonifanya nipite eneo hilo.

Pliz msikose kuwa mnatupia picha na matukio yote yanayotokea na kufanyika sehem mbali mbali za dunia.

Asanteni
X-mass ni sikukuu gani?

Difference between the words “CHRISTMAS” and “X-MASS”

BY GOOGLE TRANSLATOR;

Je, wajua kuna tofauti kubwa kati ya neno “KRISMASI” na neno “X-MASS”? Ikiwa haukujua tofauti, soma yafuatayo:

KRISMASI ni mchanganyiko wa maneno 2: "Kristo" na "Misa"

Miaka mingi iliyopita, kabla Kristo hajazaliwa, tarehe 25 Desemba ilikuwa siku ya wapagani kwa ajili ya Sadaka.

Baadaye, katika mwaka wa 533 BK Constantine mkuu wa Kanisa la Roma la wakati huo, ambalo leo ni Kanisa Katoliki la Roma, alibadilisha siku kutoka siku ya wapagani ya kutoa dhabihu hadi ukumbusho wa kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Aliita siku hiyo “MISA KWA AJILI YA KRISTO” yaani “KRISMASI”

1. KRISTO kwa Kiebrania maana yake ni “Mpakwa mafuta” au “Mteule”

2. MAS kwa Kigiriki maana yake ni “Mkusanyiko Mkubwa wa Watu”. Hivyo KRISMASI maana yake ni “Kusanyiko la Kristo”

Kisha neno "X-MASS", lilitoka wapi?

Inaaminika kwamba baada ya “Siku ya Kusanyiko la Kristo” (KRISMASI) kuwa maarufu na kuheshimiwa ulimwenguni pote, wasioamini Mungu na wapinga Kristo walifanya uamuzi wa kuibadilisha, kwa kuweka “X” badala ya jina la Kristo, kumaanisha kwamba hakuna Kristo.

Ilibadilisha maana kwa kuifanya "X-MASS" yaani kumaanisha "hakuna Mkusanyiko wa Kristo".

Heri ya CHRIST-MAS sio X-MAS.

X mara nyingi hutumiwa kutaja mtu, kitu, kipengele, ambaye jina lake halisi halijulikani au limezuiwa. Inatumika kuondoa, kughairi na kufuta maneno. "X" haina uhusiano wowote na "Kristo" "Mpakwa Mafuta". Tafadhali usibadilishe Kristo na "X".

Kama Mkristo usitumie X-MAS au Likizo Njema ambayo inatafuta kufanya vivyo hivyo. Tumia "KRISMASI" kila wakati.

Huenda ulifanya kosa hilo mwaka jana kwa kuwatakia watu "X-Mass" au "Likizo" badala ya "KRISMASI". Baba yetu wa mbinguni ni Baba mwenye upendo na mwenye rehema. Tafadhali wajulishe wengine.

Mungu akubariki unaposaidia kurekebisha kosa hili. Likizo Njema

Bwana akubariki.

Kuwa na "Krismasi Njema" sio "X-MASS".
 
X-mass ni sikukuu gani?

Difference between the words “CHRISTMAS” and “X-MASS”

BY GOOGLE TRANSLATOR;

Je, wajua kuna tofauti kubwa kati ya neno “KRISMASI” na neno “X-MASS”? Ikiwa haukujua tofauti, soma yafuatayo:

KRISMASI ni mchanganyiko wa maneno 2: "Kristo" na "Misa"

Miaka mingi iliyopita, kabla Kristo hajazaliwa, tarehe 25 Desemba ilikuwa siku ya wapagani kwa ajili ya Sadaka.

Baadaye, katika mwaka wa 533 BK Constantine mkuu wa Kanisa la Roma la wakati huo, ambalo leo ni Kanisa Katoliki la Roma, alibadilisha siku kutoka siku ya wapagani ya kutoa dhabihu hadi ukumbusho wa kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Aliita siku hiyo “MISA KWA AJILI YA KRISTO” yaani “KRISMASI”

1. KRISTO kwa Kiebrania maana yake ni “Mpakwa mafuta” au “Mteule”

2. MAS kwa Kigiriki maana yake ni “Mkusanyiko Mkubwa wa Watu”. Hivyo KRISMASI maana yake ni “Kusanyiko la Kristo”

Kisha neno "X-MASS", lilitoka wapi?

Inaaminika kwamba baada ya “Siku ya Kusanyiko la Kristo” (KRISMASI) kuwa maarufu na kuheshimiwa ulimwenguni pote, wasioamini Mungu na wapinga Kristo walifanya uamuzi wa kuibadilisha, kwa kuweka “X” badala ya jina la Kristo, kumaanisha kwamba hakuna Kristo.

Ilibadilisha maana kwa kuifanya "X-MASS" yaani kumaanisha "hakuna Mkusanyiko wa Kristo".

Heri ya CHRIST-MAS sio X-MAS.

X mara nyingi hutumiwa kutaja mtu, kitu, kipengele, ambaye jina lake halisi halijulikani au limezuiwa. Inatumika kuondoa, kughairi na kufuta maneno. "X" haina uhusiano wowote na "Kristo" "Mpakwa Mafuta". Tafadhali usibadilishe Kristo na "X".

Kama Mkristo usitumie X-MAS au Likizo Njema ambayo inatafuta kufanya vivyo hivyo. Tumia "KRISMASI" kila wakati.

Huenda ulifanya kosa hilo mwaka jana kwa kuwatakia watu "X-Mass" au "Likizo" badala ya "KRISMASI". Baba yetu wa mbinguni ni Baba mwenye upendo na mwenye rehema. Tafadhali wajulishe wengine.

Mungu akubariki unaposaidia kurekebisha kosa hili. Likizo Njema

Bwana akubariki.

Kuwa na "Krismasi Njema" sio "X-MASS".
Shukran mkuu, ubarikiwe sana kwa elimu yako nzuri iliyojaa mafunzo 🙏
 
Back
Top Bottom