Thread maalum ya wapenda Pikipiki kubwa

Thread maalum ya wapenda Pikipiki kubwa

Imefanya miujiza mingi katika uwanja wa Race.
20211031_213449.jpg
 
Hii ni pikipiki ghali zaidi duniani kwa mwaka 2019.
Screenshot_20211102-102857.jpg
 
Yaani bana kweli Duniani kuna mambo tembea uone ila hongereni zenu! mie pikipiki hata bure sithubutu halloo! tangia babangu alipo nunua zile zamani zliitwa Bomba mbili!! yaaani ni huku mbili na huku mbili bomba!

Mie kwakweli ni magari tuuu!! nilianza na Bongo friendee Mazda! opper na sasa kirkuu haka baba!! napata mpunga wa kusanya mwenyewe baada ya kazi! jamani pikipiki duuu mnisaide kwa kweli labda nitaipenda

Yaani eti jamani angalieni
Mvua yako
jua lako!
ajali zote zako! wewe ndo target!
Daladala lazima akuletee kwako ili wengi wapone!
Lory la mchanga kule chini hakuoni jamani!! utamlaumu?
kupelekewa ni wewe!
bodi wewe!
ikijikwaruza kidogo tu kunako sterling vidole huna mweee!! .for me?....I'am sorry!

kuna ka-jamaa flani ivi kafundi kako Tmk! kwa Masangati anacheza na pikipiki km paka na panya! ila sasa taya loote ni waya tupu! sababu alisha pata ajali zaidi ya mara kumi!! siku hizi simuoni, sijui kesha vuta?.... Mlioko Temeke jamani mtupe mrejesho.......

Kuna yuleee fundi Bubu wa pikipiki Mitaa ya kamunyonge ivi bado yupo kweli?! !kwa uendeshaji ule? yulee....
 
Yaani bana kweli Duniani kuna mambo tembea uone ila hongereni zenu! mie pikipiki hata bure sithubutu halloo! tangia babangu alipo nunua zile zamani zliitwa Bomba mbili!! yaaani ni huku mbili na huku mbili bomba!

Mie kwakweli ni magari tuuu!! nilianza na Bongo friendee Mazda! opper na sasa kirkuu haka baba!! napata mpunga wa kusanya mwenyewe baada ya kazi! jamani pikipiki duuu mnisaide kwa kweli labda nitaipenda

Yaani eti jamani angalieni
Mvua yako
jua lako!
ajali zote zako! wewe ndo target!
Daladala lazima akuletee kwako ili wengi wapone!
Lory la mchanga kule chini hakuoni jamani!! utamlaumu?
kupelekewa ni wewe!
bodi wewe!
ikijikwaruza kidogo tu kunako sterling vidole huna mweee!! .for me?....I'am sorry!

kuna ka-jamaa flani ivi kafundi kako Tmk! kwa Masangati anacheza na pikipiki km paka na panya! ila sasa taya loote ni waya tupu! sababu alisha pata ajali zaidi ya mara kumi!! siku hizi simuoni, sijui kesha vuta?.... Mlioko Temeke jamani mtupe mrejesho.......

Kuna yuleee fundi Bubu wa pikipiki Mitaa ya kamunyonge ivi bado yupo kweli?! !kwa uendeshaji ule? yulee....
Mkuu, magari hata sisi tunayo ila kuna mahali huwezi kufika kwa gari kutokana na njia, lakini pia kuna sehemu nyingine ni karibu haipendezi kwenda na gari na hapo ndio panahitajika pikipiki.
Kuna dharura za kuharibikiwa na gari (kwa wenye gari moja) lakini pia kuna wakati unahitaji upepo wa Mungu [emoji16][emoji16]
Vuta chuma moja weka home hata kama huitembelei ipo siku itakufaa.
Screenshot_20211103-134719.jpg
 
Mkuu, magari hata sisi tunayo ila kuna mahali huwezi kufika kwa gari kutokana na njia, lakini pia kuna sehemu nyingine ni karibu haipendezi kwenda na gari na hapo ndio panahitajika pikipiki.
Kuna dharura za kuharibikiwa na gari (kwa wenye gari moja) lakini pia kuna wakati unahitaji upepo wa Mungu [emoji16][emoji16]
Vuta chuma moja weka home hata kama huitembelei ipo siku itakufaa.
View attachment 1996970
muhimu sana
 
Afande alipokamata pikipiki kubwa ya mashindano na kutaka kuondoka nayo, alionywa sana kwamba hiyo siyo Fekon [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom