Thread maalum ya wapenda Pikipiki kubwa

Thread maalum ya wapenda Pikipiki kubwa

Vyuma vya safari ndefu.
20211104_155319.jpg
20211104_155307.jpg
20211104_155253.jpg
 
Oooh! hapa unatafuta upepo wa Mungu Kweli au! una mjaribu Mungu wewe!! sasa panda hili hako hako kasafari kako kasiko pitika na gari ndo katakutuliza kiulainie usidhani kuwa ajali mbaya ni barabara kuu tu!! Nooo!

Angalia sasa mji mashine km huukabisaa? ukikubananisha sehemu ambayo hakuna wapita njia, km palee salasala juu!! hata ukulalie tu mguu mmoja kuanzia kiunoni kuja down ward dakika kumi tu! halafu injini ya moto! baba utaigawa bure nakwambia!

hata mke atakukimbia hata awe na moyo kiasi gani!! hata hili kwa muonekano limesha ua watu bwena bwena! ila halisemi na mara nyingi yanakuwaga mapyaaa! kmzote lkn kuumbe limesha ua sana!! endelea but one day....mkumbuke neno ''tata nyarusare!''
 
Kuna huyu mwamba yupo znz ana pikipiki kali kinoma ila ananitisha sana na bei zake zipo chini, inawezekana ikawa tapeli au anauza mizigo ya wizi.
Screenshot_20211110_124545.jpg
 
Duniani kila mtu na mapenzi yake, kuna watu hata wawe na gari ngapi lakini hawakosi pikipiki kubwa.

Kuna watu hata uwape pikipiki ndogo lakini hawatakaa nazo au watatumia kwa shida tu lakini mapenzi yao ni kwenye pikipiki kubwa.

Na pia kuna watu japokuwa hawajakuwa na uwezo wa kuzimiliki lakini wakijaaliwa kupiga pesa basi watavuta pikipiki kubwa.

Naam ukikaa uko juu, ni nzito barabarani haziyumbi kizembe....ujazo wa maana kwenye Cc na muonekano wa kibabe pamoja na mengineyo, twende kazi...

View attachment 1992900View attachment 1992901View attachment 1992902View attachment 1992903View attachment 1992904View attachment 1992905
Napenda mashindano ya pikipiki hasa rough road
 
Back
Top Bottom