Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh! hapa unatafuta upepo wa Mungu Kweli au! una mjaribu Mungu wewe!! sasa panda hili hako hako kasafari kako kasiko pitika na gari ndo katakutuliza kiulainie usidhani kuwa ajali mbaya ni barabara kuu tu!! Nooo!
AAAAH! wee jamaa haka kna tabia moja ukikapeleka kasi! kana tabia ya kupinduka na kurudi ulipo toka! ndo tabia zahizi pikipiki
Napenda mashindano ya pikipiki hasa rough roadDuniani kila mtu na mapenzi yake, kuna watu hata wawe na gari ngapi lakini hawakosi pikipiki kubwa.
Kuna watu hata uwape pikipiki ndogo lakini hawatakaa nazo au watatumia kwa shida tu lakini mapenzi yao ni kwenye pikipiki kubwa.
Na pia kuna watu japokuwa hawajakuwa na uwezo wa kuzimiliki lakini wakijaaliwa kupiga pesa basi watavuta pikipiki kubwa.
Naam ukikaa uko juu, ni nzito barabarani haziyumbi kizembe....ujazo wa maana kwenye Cc na muonekano wa kibabe pamoja na mengineyo, twende kazi...
View attachment 1992900View attachment 1992901View attachment 1992902View attachment 1992903View attachment 1992904View attachment 1992905
natafuta kidude kama cha hapo nyumaMnyama huyu hapa BMW GS 1200View attachment 1993033
BMW amefanya makubwa sana katika huu uwanja.Ugonjwa wangu
1. BMW K1600GTL View attachment 2017847
2. BMW GS Adventure 1250
View attachment 2017848
Nawakubali sana aiseBMW amefanya makubwa sana katika huu uwanja.View attachment 2018010
Bima hizo nzurii. Hata barabarani watakuheshimu😂 hizi boxer zetu dereva wa daladala anakuchezea rough huyo na anajua kabisa body ni mwili wako. Ila kwa BMW haweziiUgonjwa wangu
1. BMW K1600GTL View attachment 2017847
2. BMW GS Adventure 1250
View attachment 2017848