Thread Ya Chai: Tupe Story Uliyowahi Kuisikia - hapa JF au pengne - ukajisemea Mmmh hii ni fix, ila iko kitaalam sana

Mwamba alikuwa na g*vi?
 
ya kwamba mamba akila nyama tamu ambayo hajawahi kula ktk maisha yake basi machozi humtoka!
 
Kuna moja aliwahi itoa Katibu mkuu mstaafu wa Chadema nilicheka sana.

Alisema.kuna bomba la gesi linapita chini ya bahari tokea mtwara.mpaka huko ulaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…