Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Mkuu leo utagalagala kwa furaha kuu 🤣Ukisema wewe huna hela Kuna wengine wenye hela ndio maisha yalivyo we angalia walivyopata lundo la watu wakinunua tickets pale sinza vunjabei Jana ndio ujue maisha hayapo fair
Hii dunia hakuna usawa kabisa yaani kwa kiingilio kile tiketi sold out, ngoja tuendelee kutafuta pesa.
Ndio maana ndugu yangu whyme anataka kutafuta mtalamu, nimemuelewa sasa.
VVIP milioni 5Kwani bei gani tiketi
Wewe tajiri umenunua ticket ya shilingi ngapi?Harafu niliona (bahiri) maskini mmoja akisema eti wataenda akina bhakresa na MO, tutafute pesa ukisema hamna pesa kwako mwenyewe
Bei ni kuanzia elfu 50 kwa viti vya kawaida laki 1 vip,vvip mil 3 na vvvip mil 5.Kwani bei gani tiketi
WCB wanajua kubrand wasanii wao baada ya hii show value ya zuchu itapanda Mara dufu.Huyu Zuchu naye kama utani amekuwa mkubwa ghafla.
🤣🤣🤣🤣🤣Wasafi hata wakim promote ebitoke atatusua tu.
Naona Kama roho imekuuma hivHuhuhuhuh km nawaona kina fulani wana gala gala kwa nderemo, kumbe fix tyuuuh, hebu tutoleeni kiki sie hapa msieeeeeew.
Naona hapo ulipo roho inakuuma ile mbayaMkuu leo utagalagala kwa furaha kuu 🤣
[emoji23][emoji23][emoji23]Inahitaji miujiza kwa mtuu mwenye uandishi wa namna hii kununua ticket ya 5Mil.
🤣unafikiri nina roho mbaya ya kishabiki mandazi kama wewe. Usiniamishie akili zako.Naona hapo ulipo roho inakuuma ile mbaya
Akaaaaah nipo kawaida sanaaaah, afu nasubiri povu jingi kutoka kwa ID yako nyingine, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona Kama roho imekuuma hiv