Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

Parokiani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1316]
Yaani kila nikipata wasaa wa kuangalia ile show nazidi kupata kituko kipya,
Wanatakiwa wakadai milions zao sio kwa upuuzi ule walai,
Au babe unasemaje??? Lol
Khaaaaah nashangaaah hao waliotoa hizo pesaa zao kweny ule upupu wa jana, walllah wakadai pesa za chap kwa haraka. Aseeeeeh
 
Nilishawambia msipoteza muda kubishana na wagumba hao.

Hawana experience ya labor.

Ndo maana mtu anaweza akaja hapa akifikiri anaandika kumbe ana 'bleed'....

Hata hawajui Hadija alivyosuffer hadi mwanae kufika hapo.
Mkuu una maneno mazito sana
 
Aah kumbe umeneja wa wasanii unalipa?
Unalipa kwa kipi? Muulize talle alivyoumbuka kupitia msiba wa mkewe, [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] khaaaaaaaah
 
Sijajua JF umejiunga lini humu kulikuwa na kelele Harmonize kufanana na Diamond threads mia kidogo,kuna watu humu JF ambao hata leo wapo wanamponda Zuchu walisema Harmonize hatofika mbali,hata Diamond kipindi fulani akihojiwa alitaka kukata tamaa baada ya hizi kelele ya kwamba yy sauti yake inafanana na Harmonize na kuna watu wakathubutu kusema anapoteza hela yake,ila Babutale ndiye walikuwa wanamshauri amvumilie Harminize.Hizi kelele kumuhusu Harmonize humu zilidumu karibia miaka miwili humu JF.

Leo hii Harmonize yule pale,wale walio mponda leo wana mkubali na kumlalamikia Mondi alikuwa ana mnyonya,wamesahau nguvu ,hela na mda aliowekeza kwake.

So hata huyo Zuchu ana miezi minne kwenye game bado ana muda mwingi wa kujifunza,so experience inapatikana kwa kukosea,kugundua ulipo kosea ,kurekebisa kosa ili kesho husikosee tena.
 
Unalipa kwa kipi? Muulize talle alivyoumbuka kupitia msiba wa mkewe, [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] khaaaaaaaah
Labda hakuamua tu kujenga home?
 
Hajielewi huyu
Hebu angalia mawazo ya watu hapa wengi wanasemaje kuhusu perfomance ya zuchu,wewe umekuja kusifia na watu wanatoa maoni,sasa ulileta uzi wa nini kama kama kukosoa ni chuki
 
Hadija kusuffer hadi mwanaye kufika hapo ndio inamfanya yeye na show zake kuwa bora?
Nilishawambia msipoteza muda kubishana na wagumba hao.

Hawana experience ya labor.

Ndo maana mtu anaweza akaja hapa akifikiri anaandika kumbe ana 'bleed'....

Hata hawajui Hadija alivyosuffer hadi mwanae kufika hapo.
 
Hv watz mbona mnadanganywa mchana kweupe,hv unadhani pale wote wamenunua ticket?,wengne wagen waalikwa tena wameenda wao kama wao hawajatoa hata mia.mfano wema,na mastaa wengne wengne,haya achilia mbali team wcb cjui wakina moze iyobo,director kenny,kiufupi wcb wote...show ya zuchu ni kumbrand msanii ili aonekane wa gharama kubwa ili hata mapromoter watoe dau nono,na usikute hii show haijaingiza faida ila imerudisha pesa tu ya maandalizi,yaan wanatumia pesa ili wapate zaid hapo baadae
 
Uyo zuchu ndo nani naskiaga tu zuchu zuchu ni nani aiseeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…