Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

Akaaaaah nipo kawaida sanaaaah, afu nasubiri povu jingi kutoka kwa ID yako nyingine, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushauri:Wenye Mafanikio siku zote hawachukiwi na hata ukiwachukia unajipa kazi na unakondesha afya ya moyo wako
 
Sawaaaa zuchuu tumesikaa ...pia ongeza sauti huku backbencher wafupi hawasikiiii
 
Bora Hela yangu nikae kwa mangi nitumbue tu

Ova
 
Hii dunia hakuna usawa kabisa yaani kwa kiingilio kile tiketi sold out, ngoja tuendelee kutafuta pesa.

Ndio maana ndugu yangu whyme anataka kutafuta mtalamu, nimemuelewa sasa.
nashukuru mkuu kwa kunielewa.
 
Back
Top Bottom