Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Haya Mambo ndo umfanya yule bwana awe na frustrations iweje abane na nyie hamsomeki nambaFrom Diamond Platnumz bingwa wa promotion.
"Mwanzoni tuliweka kwa watu 500 ticket zikaisha tukaongeza ukumbi hadi watu 1000 jana usiku zikaisha tena ikabidi tutanue ukumbi hadi watu 2000 na kuset upya stage usiku wa manane nazo zimeisha."
My take; chenye thamani usipokithamini, hakithaminiki.
View attachment 1510288