Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

Wazee wa show off! Juzi meneja wao babtale kafiwa na mke, yani nyumbani kwa wazazi panatia uhuruma nyumba imeezekwa tu utafikiri kwa mganga.

Harmonize alipotoka huko hata milion 500 alikosa za kulipa, ila alipokuwa huko mlikuwa mnasema eti show anapiga kwa milion 100 hahaha

Acheni show off misiba itazidi kuwaumbua kwa uongo wenu.
Wewe mbona ujamjengea mama yako?
 
Wazee wa show off! Juzi meneja wao babtale kafiwa na mke, yani nyumbani kwa wazazi panatia uhuruma nyumba imeezekwa tu utafikiri kwa mganga.

Harmonize alipotoka huko hata milion 500 alikosa za kulipa, ila alipokuwa huko mlikuwa mnasema eti show anapiga kwa milion 100 hahaha

Acheni show off misiba itazidi kuwaumbua kwa uongo wenu.
Sawa KibaKuli.
 
Kwa hesabu ya haraka haraka kama kiingilio cha wastani kilikua mil.1 basi haina shaka show ya Zuchu imeingiza kiasi cha Tsh Bil.2
Mechi ya Simba na Yanga mapato yao makubwa kuwahi kutokea nazani si zaidi ya mil.600. Sijui watu wa Football tunafeli wapi?
Mmmmmmhhhhhhh............
 
Haifiki hyo hela , tiket nying ni za 50k na 100k , za 1mil chache Sana , na za 5mil ni meza nazo chache tuu, ni kweli wamescore lakn sio kwa kiwango hcho ...
Nakumbuka hata hesabu ya Whitepart ya Zari ilichezea kwenye Bil. 2 kasolo kulingana na maelezo yake mwenyewe labda km alidanganya
 
Kwa hesabu aliyotoa Diamond waliingia watu 2000 ukizidisha kwa 1,000,000 hesabu inasoma bilion 2.
Hesabu zako umepiga vibaya..

Btw....Unaweza kukuta nusu ya waliohudhuria wamealikwa..
 
Wazee wa show off! Juzi meneja wao babtale kafiwa na mke, yani nyumbani kwa wazazi panatia uhuruma nyumba imeezekwa tu utafikiri kwa mganga.

Harmonize alipotoka huko hata milion 500 alikosa za kulipa, ila alipokuwa huko mlikuwa mnasema eti show anapiga kwa milion 100 hahaha

Acheni show off misiba itazidi kuwaumbua kwa uongo wenu.
Sasa mbona huwa wanajionesha kua wana hela?
 
Usilolijua nyamaza. Kwa mtazamo wako unadhani hao wakina wema na kina millen wamelipa hiyo m5 kama kiingilio. Show kama hizo zinawadhamini na wasanii wengi wanapewa mialiko. Mafara wachache wasiojulikana ndio wanapigwa kindezi.

Nusu ya ukumbi wameingia. Bure[emoji23][emoji23] hapo sehemu walipokaa hao wa milioni tano sijui wote ni watu wa kualikwa kiuhalisia hawajalipa kitu
 
Kama ni kweli, maana yake serikali inatakiwa kupata kodi ya almost 20% ya hiyo pesa (sawa na shilingi milioni 400) kama VAT, hivyo tusubiri kusikia waziri au TRA akitoa hizo takwimu. Tofauti na hapo hizo ni fix au ujanja ujanja wa kutakatisha pesa.
 
Aisee, mbona huku kitaa maisha magumu sana?
 
Back
Top Bottom