INJECTION TECHNICIAN
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 356
- 794
Wewe ni bikira?Kama uzi unavyosema, kwa wale wanaume masingle na maanisha hana mke na yupo katika kutafuta ubavu wake wa kushoto Na wale wanaume...
Kwanini mkuu hiyo pia ina raha yake unakula tunda ukiwa ndani ya ndoaBikira ya kiume haina heshima yoyote…. niulize mimi.
Kwa hiyo mna umoja wenu??🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama uzi unavyosema, kwa wale wanaume masingle na maanisha hana mke na yupo katika kutafuta ubavu wake wa kushoto Na wale wanaume walotunza heshima kwa ajili ya mke mtarajiwa(bikra wa kiume)TENGEPENDA MTUGEE MREJESHO WA YALE MNAYOPITIA NAMAANISHA RAHA ZA KUWA KATIKA MAHUSIANO NA CHANGAMOTO ZAKE MANA NYIE MMETUTANGULIA ILI NA SISI TUKIPATA UBAVU WETU WA KUSHOTO TUENDELEZE PALE MLIPOISHIA WAKUU karibuni mtugee changamoto zinazotokea ukiwa katika mahusiano Narudia tena HII THREAD NI KWA AJILI YA WANUME sio wavulana wanao laghai mabinti wa watu akila papuchi ana sepa.Natanguliza shukrani wakuu
Labda February watakuwa serious na shule.Tulikubaliana shule zikifungua tutapumua, ona sasa.!!
Kiukweli sijawahi chungulia binti yeyote wala kuonesha sehemu zangu za siri kwa mwanamke yeyote inawezekana nikatunukiwa jina la bikraWewe ni bikira?
Kiukweli nimekaa nimewaza usiku wa kwanza wa ndoa itakuwa vpUmewaza nini mdau?
Kiukweli sijawahi chungulia binti yeyote wala kuonesha sehemu zangu za siri kwa mwanamke yeyote inawezekana nikatunukiwa jina la bikra
Kiukweli sijawahi chungulia binti yeyote wala kuonesha sehemu zangu za siri kwa mwanamke yeyote inawezekana nikatunukiwa jina la bikra
Kupiga punyeto sikumbuki kufanya hiko kitu
We dogo hamna bikra wa kiume, bikra ni ke tuuu.Kiukweli sijawahi chungulia binti yeyote wala kuonesha sehemu zangu za siri kwa mwanamke yeyote inawezekana nikatunukiwa jina la bikra
Tafuta tu pesa basi mengine yaacheKama uzi unavyosema, kwa wale wanaume masingle namaanisha hana mke na yupo katika kutafuta ubavu wake wa kushoto na wale wanaume waliotunza heshima kwa ajili ya mke mtarajiwa (bikra wa kiume)
Tungependa mtugee mrejesho wa yale mnayopitia; namaanisha raha za kuwa katika mahusiano na changamoto zake, maana nyie mmetutangulia ili na sisi tukipata ubavu wetu wa kushoto tuendeleze pale mlipoishia.
Wakuu, karibuni mtugee changamoto zinazotokea ukiwa katika mahusiano narudia tena hii thread ni kwa ajili ya wanume sio wavulana wanao laghai mabinti wa watu akila papuchi anasepa.
Natanguliza shukrani wakuu.