Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Ubaya tu wa JPM ni kupambana na wapenda "madili" , hakika alifanya kazi kubwa, pumzika kwa amani baba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maiti zinazidiana kunukaKuna nchi yenye taasisi imara duniani? Unaweza itaja? Maana hata wanaojitapa kule America,tuliona maamuzi aliyofanya Trump,huyu naye kaja kubadilisha tena.
Msoga gang walishaisha,kwamba alikuwa dhaifu Sana mpaka akina Nape wakaimba mbele yake tunaimani na Lowassa.Bila Magufuli, nambari wani eee, ingefia mikononi mwa, ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi. Wamshukuru sana, waliomkaanga, shujaa wetu wa taifa, JPM, kwa hapo walipo sasa. Yote kwa yote, mwaka 2025 siyo mbali, watavuna pankwisha, wasemao ina wenyewe, hakuna kuchukua na kuweka tena!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😄Maiti zinazidiana kunuka
Fact
Mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa. Vyama vya Bongo vya sasa karibia vyote ni magumashi tu. Na sijaitaja CHADEMA kwenye comment yangu. Ipo siku kitatokea chama chenye nguvu, hizo kejeli zenu zitakwisha.Maovu yapi ya lowasa fisadi hadi 2015 july kuwa malaika tena na mgombea wao.
Tutashitakiwa miga.
View attachment 2028321
Einstein kwenye kitabu chake cha one hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.
Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.
Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.
Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plane to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.
Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.
Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.
NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Maovu ya Magufuli yamethibitishwa na kifo chake. Angekuwa mtenda mema asingekufa kizembe vile.Einstein kwenye kitabu chake cha one hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.
Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.
Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.
Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plane to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.
Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.
Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.
NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Kwa sababu hamna cha kuprove.Maovu ya Magufuli yamethibitishwa na kifo chake. Angekuwa mtenda mema asingekufa kizembe vile.
Haiwezekani uishi kwenye ulinzi wa kiwango kile cha juu, uzungukwe na madaktari bingwa wote, na kufanya ibada makisani halafu unakufa kizembe.
Sala za watu aliowadhulumu ndiyo ziliamua hatma ya maisha yake.
Mbona hakuna nyuzi hata 100 zinazowaponda Nyerere na Mkapa waliokufa?
Theoretical thinking zinasumbua watu una semaje nchi haihitaji watu imara ila taasisi imara.Mkuu hueleweki..., kwahio hizo thread 1000 zikitoka zinakuwa hazina moja, yaani ingekuwepo moja ni sawa ila kuanzia mbili mpaka 1000 zinapunguza makali ya hio moja ? Unaongelea facts kwani hizo zote hazina facts...
Ngoja nikupe facts
Makufuli alikuwa Mtendaji mzuri sana tena sana ila hakuwa kiongozi mzuri..., kazi yake nzuri aliifanya akiwa Waziri, au angepaswa kuwa Waziri Mkuu, Kiongozi anahitaji kusikiliza, anahitaji diplomasia na akubali kukosolewa bila hivyo watu wataogopa kumshauri (The Emperor has no cloths)
Pili Makufuli mara nyingi hakufuata sheria na taratibu mihimili yote mitatu ni kama aliivunja na kuwa yeye Jeshi la mtu mmoja...
Tatu Propaganda zilikuwa nyingi ni vigumu kujua wapi alikuwa anasema ukweli na wapi uongo (hio yote italetwa na transparency)
Nne Nepotism na kuonyesha sifa kwamba ninafanya kitu huku au kule sababu nitazikwa huko ni kuleta precedent mbaya sana ambayo itatucost hapo baadae (mfano anashauri watu wachagua viongozi wa kwao au ukichagua huyu au yule sileti maendeleo) alisahahu yeye ni Kiongozi wa Nchi na sio Chama wala Kabila
Mwisho Kabisa nchi hii haiitaji mtu Imara bali Taasisi Imara..., sababu hata akija malaika tutakuwa tunaongea hayahaya, inabidi tuongozwe na kanuni na sio matakwa au utashi wa mtu....
Tunaongelea fact sio hearsay watu wanakufa wamelala.Maovu ya Magufuli yamethibitishwa na kifo chake. Angekuwa mtenda mema asingekufa kizembe vile.
Haiwezekani uishi kwenye ulinzi wa kiwango kile cha juu, uzungukwe na madaktari bingwa wote, na kufanya ibada makisani halafu unakufa kizembe.
Sala za watu aliowadhulumu ndiyo ziliamua hatma ya maisha yake.
Mbona hakuna nyuzi hata 100 zinazowaponda Nyerere na Mkapa waliokufa?
Einstein kwenye kitabu chake cha one hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.
Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.
Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.
Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plane to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.
Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.
Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.
NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Zote ni factsMkuu hueleweki..., kwahio hizo thread 1000 zikitoka zinakuwa hazina moja, yaani ingekuwepo moja ni sawa ila kuanzia mbili mpaka 1000 zinapunguza makali ya hio moja ? Unaongelea facts kwani hizo zote hazina facts...
Ngoja nikupe facts
Makufuli alikuwa Mtendaji mzuri sana tena sana ila hakuwa kiongozi mzuri..., kazi yake nzuri aliifanya akiwa Waziri, au angepaswa kuwa Waziri Mkuu, Kiongozi anahitaji kusikiliza, anahitaji diplomasia na akubali kukosolewa bila hivyo watu wataogopa kumshauri (The Emperor has no cloths)
Pili Makufuli mara nyingi hakufuata sheria na taratibu mihimili yote mitatu ni kama aliivunja na kuwa yeye Jeshi la mtu mmoja...
Tatu Propaganda zilikuwa nyingi ni vigumu kujua wapi alikuwa anasema ukweli na wapi uongo (hio yote italetwa na transparency)
Nne Nepotism na kuonyesha sifa kwamba ninafanya kitu huku au kule sababu nitazikwa huko ni kuleta precedent mbaya sana ambayo itatucost hapo baadae (mfano anashauri watu wachagua viongozi wa kwao au ukichagua huyu au yule sileti maendeleo) alisahahu yeye ni Kiongozi wa Nchi na sio Chama wala Kabila
Mwisho Kabisa nchi hii haiitaji mtu Imara bali Taasisi Imara..., sababu hata akija malaika tutakuwa tunaongea hayahaya, inabidi tuongozwe na kanuni na sio matakwa au utashi wa mtu....
Maovu ya Magufuli yamethibitishwa na kifo chake. Angekuwa mtenda mema asingekufa kizembe vile.
Haiwezekani uishi kwenye ulinzi wa kiwango kile cha juu, uzungukwe na madaktari bingwa wote, na kufanya ibada makisani halafu unakufa kizembe.
Sala za watu aliowadhulumu ndiyo ziliamua hatma ya maisha yake.
Mbona hakuna nyuzi hata 100 zinazowaponda Nyerere na Mkapa waliokufa?
Wewe ni mse**nge wiki ijayo unajua utakuwa wapiMaovu ya Magufuli yamethibitishwa na kifo chake. Angekuwa mtenda mema asingekufa kizembe vile.
Haiwezekani uishi kwenye ulinzi wa kiwango kile cha juu, uzungukwe na madaktari bingwa wote, na kufanya ibada makisani halafu unakufa kizembe.
Sala za watu aliowadhulumu ndiyo ziliamua hatma ya maisha yake.
Mbona hakuna nyuzi hata 100 zinazowaponda Nyerere na Mkapa waliokufa?
Ben Saanane.Einstein kwenye kitabu chake cha one hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.
Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.
Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.
Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plane to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.
Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.
Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.
NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.