Threads 1,000 hazitoshi ku-prove ubaya wa Magufuli bali fact moja tu

Threads 1,000 hazitoshi ku-prove ubaya wa Magufuli bali fact moja tu

Bila Magufuli, nambari wani eee, ingefia mikononi mwa, ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi. Wamshukuru sana, waliomkaanga, shujaa wetu wa taifa, JPM, kwa hapo walipo sasa. Yote kwa yote, mwaka 2025 siyo mbali, watavuna pankwisha, wasemao ina wenyewe, hakuna kuchukua na kuweka tena!
Msoga gang walishaisha,kwamba alikuwa dhaifu Sana mpaka akina Nape wakaimba mbele yake tunaimani na Lowassa.
Sasa jamaa anajiona superstar.
 
Maovu yapi ya lowasa fisadi hadi 2015 july kuwa malaika tena na mgombea wao.
Tutashitakiwa miga.

View attachment 2028321
Mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa. Vyama vya Bongo vya sasa karibia vyote ni magumashi tu. Na sijaitaja CHADEMA kwenye comment yangu. Ipo siku kitatokea chama chenye nguvu, hizo kejeli zenu zitakwisha.
 
Kuna watu wakishiba tu wanakuja kuanzisha thread za kumtukana Magufuli, Huwa nawashangaa sana
Einstein kwenye kitabu chake cha one hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.

Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.

Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.

Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plane to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.

Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.

Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.

NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
 
Einstein kwenye kitabu chake cha one hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.

Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.

Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.

Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plane to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.

Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.

Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.

NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Maovu ya Magufuli yamethibitishwa na kifo chake. Angekuwa mtenda mema asingekufa kizembe vile.

Haiwezekani uishi kwenye ulinzi wa kiwango kile cha juu, uzungukwe na madaktari bingwa wote, na kufanya ibada makisani halafu unakufa kizembe.

Sala za watu aliowadhulumu ndiyo ziliamua hatma ya maisha yake.

Mbona hakuna nyuzi hata 100 zinazowaponda Nyerere na Mkapa waliokufa?
 
Maovu ya Magufuli yamethibitishwa na kifo chake. Angekuwa mtenda mema asingekufa kizembe vile.

Haiwezekani uishi kwenye ulinzi wa kiwango kile cha juu, uzungukwe na madaktari bingwa wote, na kufanya ibada makisani halafu unakufa kizembe.

Sala za watu aliowadhulumu ndiyo ziliamua hatma ya maisha yake.

Mbona hakuna nyuzi hata 100 zinazowaponda Nyerere na Mkapa waliokufa?
Kwa sababu hamna cha kuprove.
Magufuli mmeshindwa kumprove wrong ndio maana mna teseka kuprove.
 
Vitu vilivyoutesa moyo wangu mno kipindi cha miaka ya 2015-2021
1. Tumbuatumbua
2. vyeti fake,
3. noo nyongeza ya mishahara kwa watumishi 5 yrs,
4. noooo increment kwa watumishi miaka 5
5. Kubinya siasa za vyama vingi
6. kupanga, kutenda na kutojulikana hadi Leo waliompiga risasi Tundu Lissu
7. Ununuzi wa wanasiasa wa upinzani- dhambi kubwa sana hiii
8. Nchi kuwa na watu waliokosa ubinadaamu kama mtoa mada wa kusifia kila kitu. Nimeumizwa na watu kusifia hata lissu alipopigwa risasi na kusistikika why hakufa
9. Wasomi wetu kubadilika ghafla kuwa watu wa kusifia. Kila kitu amefanya Rais kama vile wengine hawajafanya chochote.
10. Kutoajiri watumishi wapya. Hadi sasa vijana wamejaa mtaani
11. Kuharibu utaratibu wa teuzi ili kulinda maslahi ya wakubwa.
12. Kuharibu uchaguzi wa serikali za mitaa 2019
13. Kuhafibu uchaguzi Mkuu 2020
14. Kuitishana na kutiana hofu kuu.
15. Kukubali kutendewa haya yote na kutochukua hatua yoyote
16. Walioguswa kusononeka.
Kwa uchache ni haya tu ambayo haikuwa sahihi kutendeka.
 
Mkuu hueleweki..., kwahio hizo thread 1000 zikitoka zinakuwa hazina moja, yaani ingekuwepo moja ni sawa ila kuanzia mbili mpaka 1000 zinapunguza makali ya hio moja ? Unaongelea facts kwani hizo zote hazina facts...

Ngoja nikupe facts

Makufuli alikuwa Mtendaji mzuri sana tena sana ila hakuwa kiongozi mzuri..., kazi yake nzuri aliifanya akiwa Waziri, au angepaswa kuwa Waziri Mkuu, Kiongozi anahitaji kusikiliza, anahitaji diplomasia na akubali kukosolewa bila hivyo watu wataogopa kumshauri (The Emperor has no cloths)

Pili Makufuli mara nyingi hakufuata sheria na taratibu mihimili yote mitatu ni kama aliivunja na kuwa yeye Jeshi la mtu mmoja...

Tatu Propaganda zilikuwa nyingi ni vigumu kujua wapi alikuwa anasema ukweli na wapi uongo (hio yote italetwa na transparency)

Nne Nepotism na kuonyesha sifa kwamba ninafanya kitu huku au kule sababu nitazikwa huko ni kuleta precedent mbaya sana ambayo itatucost hapo baadae (mfano anashauri watu wachagua viongozi wa kwao au ukichagua huyu au yule sileti maendeleo) alisahahu yeye ni Kiongozi wa Nchi na sio Chama wala Kabila


Mwisho Kabisa nchi hii haiitaji mtu Imara bali Taasisi Imara..., sababu hata akija malaika tutakuwa tunaongea hayahaya, inabidi tuongozwe na kanuni na sio matakwa au utashi wa mtu....
Theoretical thinking zinasumbua watu una semaje nchi haihitaji watu imara ila taasisi imara.
Hizo taasisi imara zinatengenezwa na watu imara Kenya hawajawa na taasisi imara kabla watu imara wa
kusimamia hizo taassisi imara mtaishia kusema taasisi zinanunuliwa kama mlivyodai upinzani wananunuliwa.
Ni lazima mjue kati ya taasisi imara na watu imara kipi kinatangulia.
 
Maovu ya Magufuli yamethibitishwa na kifo chake. Angekuwa mtenda mema asingekufa kizembe vile.

Haiwezekani uishi kwenye ulinzi wa kiwango kile cha juu, uzungukwe na madaktari bingwa wote, na kufanya ibada makisani halafu unakufa kizembe.

Sala za watu aliowadhulumu ndiyo ziliamua hatma ya maisha yake.

Mbona hakuna nyuzi hata 100 zinazowaponda Nyerere na Mkapa waliokufa?
Tunaongelea fact sio hearsay watu wanakufa wamelala.
Kila mtu atakufa wala sio tatzo.
 
Einstein kwenye kitabu chake cha one hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.

Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.

Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.

Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plane to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.

Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.

Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.

NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.

Wewe kweli KANJUNU yaani mambo kibao yamewekwa humu hauoni ubaya wake?

"Kuna mtu furani Tulikuwa tunatrapu simu zake na meseji mara amwambie mwanyika leta documents hii mara leta documents hii that's the goverment ,hauwezi kuwa msaliti ukaendelea kusurvive ,ukiwa msaliti jeshini wanajua wanafanya nini"- JPM 2017

Baada ya masaa mawili TAL alimiminiwa risasi 38.
 
Mkuu hueleweki..., kwahio hizo thread 1000 zikitoka zinakuwa hazina moja, yaani ingekuwepo moja ni sawa ila kuanzia mbili mpaka 1000 zinapunguza makali ya hio moja ? Unaongelea facts kwani hizo zote hazina facts...

Ngoja nikupe facts

Makufuli alikuwa Mtendaji mzuri sana tena sana ila hakuwa kiongozi mzuri..., kazi yake nzuri aliifanya akiwa Waziri, au angepaswa kuwa Waziri Mkuu, Kiongozi anahitaji kusikiliza, anahitaji diplomasia na akubali kukosolewa bila hivyo watu wataogopa kumshauri (The Emperor has no cloths)

Pili Makufuli mara nyingi hakufuata sheria na taratibu mihimili yote mitatu ni kama aliivunja na kuwa yeye Jeshi la mtu mmoja...

Tatu Propaganda zilikuwa nyingi ni vigumu kujua wapi alikuwa anasema ukweli na wapi uongo (hio yote italetwa na transparency)

Nne Nepotism na kuonyesha sifa kwamba ninafanya kitu huku au kule sababu nitazikwa huko ni kuleta precedent mbaya sana ambayo itatucost hapo baadae (mfano anashauri watu wachagua viongozi wa kwao au ukichagua huyu au yule sileti maendeleo) alisahahu yeye ni Kiongozi wa Nchi na sio Chama wala Kabila


Mwisho Kabisa nchi hii haiitaji mtu Imara bali Taasisi Imara..., sababu hata akija malaika tutakuwa tunaongea hayahaya, inabidi tuongozwe na kanuni na sio matakwa au utashi wa mtu....
Zote ni facts
 
Ccm ni taasisi imara, hata asimame nani atashinda tu kudhani mutaitoa ccm 2025 ni ndoto za alinacha,
Ya kwenu yaliisha
 
Maovu ya Magufuli yamethibitishwa na kifo chake. Angekuwa mtenda mema asingekufa kizembe vile.

Haiwezekani uishi kwenye ulinzi wa kiwango kile cha juu, uzungukwe na madaktari bingwa wote, na kufanya ibada makisani halafu unakufa kizembe.

Sala za watu aliowadhulumu ndiyo ziliamua hatma ya maisha yake.

Mbona hakuna nyuzi hata 100 zinazowaponda Nyerere na Mkapa waliokufa?

Kabisa mambo mengi ya ukatili na ufashisti aliyafanya ,mambo mengi kipindi chake ya wasiojulikana yaliongezeka,watoto pendwa sabaya na bashite walikuwa wanaongoza magenge ya wahuni/watekaji/majambazi na walikingiwa kifua na JIWE.

@ LLLL Kuanzisha mada ya kumtetea JIWE unaamsha hasira za watu ziliolala ,kama mnataka asizungumziwe acheni kupamba vitu ambavyo hastahili.
 
Maovu ya Magufuli yamethibitishwa na kifo chake. Angekuwa mtenda mema asingekufa kizembe vile.

Haiwezekani uishi kwenye ulinzi wa kiwango kile cha juu, uzungukwe na madaktari bingwa wote, na kufanya ibada makisani halafu unakufa kizembe.

Sala za watu aliowadhulumu ndiyo ziliamua hatma ya maisha yake.

Mbona hakuna nyuzi hata 100 zinazowaponda Nyerere na Mkapa waliokufa?
Wewe ni mse**nge wiki ijayo unajua utakuwa wapi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Einstein kwenye kitabu chake cha one hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.

Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.

Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.

Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plane to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.

Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.

Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.

NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Ben Saanane.
Fact, upende usipende.
 
Back
Top Bottom