Ben Saanane.
Fact, upende usipende.
Hujawahi poteza ndugu zako wa karibu kwa kufariki au kupotea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ben Saanane.
Fact, upende usipende.
This arrogance came from people who abused their positions. I am 100% sure, JPM didnt send these guys to do that dirt work. Kuna watu, hasa wa kodi, waliona fahari kufilisi wafanyabiashara
Huu ujumbe unamhusu TindoEinstein kwenye kitabu chake cha one hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.
Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.
Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.
Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plane to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.
Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.
Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.
NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Mkuu nimesema mtu au watu.... ? Au kwako hakuna tofauti ya kati ya mtu na watu...., Nimesema nchi inahitaji taasisi imara na sio kutegemea mtu...., Ofcourse inategemea watu imara na taasisi zinaendeshwa na watu na sio mtu.... ndio maana kuna separation of power kuna representatives ambao wanakutana na watu na kufanyia kazi mawazo ya watu..., ndio maana kuna wadau wa kuweza kufanya due dilligence na sio mtu kuamka tu na kuamua nini kifanyike bila kuwashirikisha watu...Theoretical thinking zinasumbua watu una semaje nchi haihitaji watu imara ila taasisi imara.
Hizo taasisi imara zinatengenezwa na watu imara Kenya hawajawa na taasisi imara kabla watu imara wa
kusimamia hizo taassisi imara mtaishia kusema taasisi zinanunuliwa kama mlivyodai upinzani wananunuliwa.
Ni lazima mjue kati ya taasisi imara na watu imara kipi kinatangulia.
Ni kawaida ya mtu anapopenda chongo huona kengezaEinstein kwenye kitabu chake cha one hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.
Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.
Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.
Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plane to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.
Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.
Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.
NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Machinga kidogo wafaidi nn?, unajua kwann wanaongezeka Kila siku. Vp kuhusu kampuni yake ya ujenzi aliyokuwa anaipa tenda za ujenzi, haikufata taratibu za rank za board ya maenguneer, napo alikuwa anabana mafisadiMzee yule wacha apumzike kwa amani alihakiksha wale walio jilimbikizia mali kijanja janja wanakiona cha mtema kuni na kuacha wanyonge nao wapumue kidogo ndo maana machinga aliwatetea sana nao kidogo wafaidi ila sasa wale waliporudi wameanza na wanyonge zingua kila mahali ili waendeleee kujenga kijumba kwa bilioni tatu.
Msenge baba yako, shika adabu yako. Mimi hata nikifa kesho siyo deal. Sijaiba uchaguzi wa 2020, sijabomoa nyumba za kimara wala sijawaua akina Ben Saanane au kumshambulia Tundu Lissu akiwa bungeni.Wewe ni mse**nge wiki ijayo unajua utakuwa wapi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
So fact nini hapo?Wewe kweli KANJUNU yaani mambo kibao yamewekwa humu hauoni ubaya wake?
"Kuna mtu furani Tulikuwa tunatrapu simu zake na meseji mara amwambie mwanyika leta documents hii mara leta documents hii that's is the goverment ,hauwezi kuwa msaliti ukaendelea kusurvive ,ukiwa msaliti jeshini wanajua wanafanya nini"- JPM 2017
Baada ya masaa mawili TAL alimiminiwa risasi 38.
Upotevu wake na uhusika wa Magufuli una fact zipi za kuprove hilo.Ben Saanane.
Fact, upende usipende.
Watu imara na taasisi imara kipi kinaanza?Mkuu nimesema mtu au watu.... ? Au kwako hakuna tofauti ya kati ya mtu na watu...., Nimesema nchi inahitaji taasisi imara na sio kutegemea mtu...., Ofcourse inategemea watu imara na taasisi zinaendeshwa na watu na sio mtu.... ndio maana kuna separation of power kuna representatives ambao wanakutana na watu na kufanyia kazi mawazo ya watu..., ndio maana kuna wadau wa kuweza kufanya due dilligence na sio mtu kuamka tu na kuamua nini kifanyike bila kuwashirikisha watu...
Huyo Lowassa leo yupo kwenu ?Maovu yapi ya lowasa fisadi hadi 2015 july kuwa malaika tena na mgombea wao.
Tutashitakiwa miga.
View attachment 2028321
Alipo rudi alirudi na ufisadi na sio umalaika mliompatia ufipa mpaka akapewa fomu?
hakika mkuu.Ni kawaida ya mtu anapopenda chongo huona kengeza
Tusiamishe magoli ukiwa na watu Imara lazima Taasisi zitakuwa imara hata bila taasisi kama una watu Imara kila kitu kitakwenda ndio maana nikakuuliza unajua tofauti ya watu na mtu ? Mimi nilizungumzia hatuwezi kumtegemea mtu wewe umeleta watu katika conversation..., kuna sehemu nimesema tusitegemee watu ?Watu imara na taasisi imara kipi kinaanza?
Hizo kanuni ndio zisubiri hadi wanyonge wafe wote kwa maumivu ya maisha magumu yasiyotabirika kesho yake?Mkuu hueleweki..., kwahio hizo thread 1000 zikitoka zinakuwa hazina moja, yaani ingekuwepo moja ni sawa ila kuanzia mbili mpaka 1000 zinapunguza makali ya hio moja ? Unaongelea facts kwani hizo zote hazina facts...
Ngoja nikupe facts
Makufuli alikuwa Mtendaji mzuri sana tena sana ila hakuwa kiongozi mzuri..., kazi yake nzuri aliifanya akiwa Waziri, au angepaswa kuwa Waziri Mkuu, Kiongozi anahitaji kusikiliza, anahitaji diplomasia na akubali kukosolewa bila hivyo watu wataogopa kumshauri (The Emperor has no cloths)
Pili Makufuli mara nyingi hakufuata sheria na taratibu mihimili yote mitatu ni kama aliivunja na kuwa yeye Jeshi la mtu mmoja...
Tatu Propaganda zilikuwa nyingi ni vigumu kujua wapi alikuwa anasema ukweli na wapi uongo (hio yote italetwa na transparency)
Nne Nepotism na kuonyesha sifa kwamba ninafanya kitu huku au kule sababu nitazikwa huko ni kuleta precedent mbaya sana ambayo itatucost hapo baadae (mfano anashauri watu wachagua viongozi wa kwao au ukichagua huyu au yule sileti maendeleo) alisahahu yeye ni Kiongozi wa Nchi na sio Chama wala Kabila
Mwisho Kabisa nchi hii haiitaji mtu Imara bali Taasisi Imara..., sababu hata akija malaika tutakuwa tunaongea hayahaya, inabidi tuongozwe na kanuni na sio matakwa au utashi wa mtu....
Ugumu wa maisha ulipungua wakati wa JPM ? Muendelezo wa Ugumu wa maisha umekuwa ukiendelea kabla wakati na baada ya JPM na hio ni sababu ya so called wanyonge kutegemea mtu kutatua matatizo yao (ofcourse wachache kula keki peke ya taifa peke yao haisaidii) lakini hakuna binadamu mmoja anayeweza kuwavusha watu peke yake...Hizo kanuni ndio zisubiri hadi wanyonge wafe wote kwa maumivu ya maisha magumu yasiyotabirika kesho yake?
Magufuli alikuwa kiongozi muhimu kwa wakati sahihi.
Shida mnakuwa general sana.Ugumu wa maisha ulipungua wakati wa JPM ? Muendelezo wa Ugumu wa maisha umekuwa ukiendelea kabla wakati na baada ya JPM na hio ni sababu ya so called wanyonge kutegemea mtu kutatua matatizo yao (ofcourse wachache kula keki peke ya taifa peke yao haisaidii) lakini hakuna binadamu mmoja anayeweza kuwavusha watu peke yake...
Kiongozi anachofanya ni kuunganisha nguvu kuhamashisha na kuleta umoja ili watu wasonge mbele (jambo ambalo pia sidhani kama JPM alifanya ) Kuunganisha watu..., ingawa ofcourse kuna mambo alifanya kama mtendaji (lakini kama nilivyosema hapo mwanzo mtendaji sio necessarily kiongozi) Kiongozi anaongeza kwa kuwapa watu nguvu watende...