Threads 1,000 hazitoshi ku-prove ubaya wa Magufuli bali fact moja tu

Threads 1,000 hazitoshi ku-prove ubaya wa Magufuli bali fact moja tu

Einstein kwenye kitabu chake cha hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.

Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.

Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.

Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plain to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.

Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.

Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.

NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Ukiacha Jaribio la Ki Shetani lililo fail la Kutaka Kumuua Lissu, Watu Kama Sabaya ni Reflection tosha ya Jinsi Mwendakuzimu alivyokuwa Katili, Laghai, Jambazi,Muongo, Muovu na Ibilisi.
 
Ukiacha Jaribio la Ki Shetani lililo fail la Kutaka Kumuua Lissu, Wetu Kama Sabaya ni Reflection tosha ya Jinsi Mwendakuzimu alivyokuwa Katili, Laghai, Muongo, Muovu na Ibilisi.
Uhusiano wa hayo yote na Magufuli uwekwe wazi na isiwe habar za kusadikika tu.
Kubenea aliomba msamaha kwa kujaribu kumdhuru mwana-ufipa mwenzake.
 
Shida mnakuwa general sana.
Umoja kwa maana ipi?
Tupe mikakati yako ungekuwa raisi hiyo ambayo ingetuvusha inayoeleweka bila kutumia ujumla.
hujui maana ya Umoja ? Umoja ni nguvu.., nchi inajengwa na wananchi kwa umoja wao kwa kufanya kazi, kuchangia kodi na kuhamasika huwezi kuwa na umoja kwa kutangaza wao na sisi..., huwezi kuwa na umoja kwa kuendesha nchi kama unaendesha chama au tabaka la watu..., kwa kufanya hivyo ni kutokupata nguvu ya baadhi ya watu unnessarily (unless kama unataka kutumia njia ya divide and rule ili kuchonganisha watu watafute mchawi baina yao)

Mtu pekee anayeweza kuongoza ni yule anayeunganisha wote kwa kuwahamisha na sio kuwaburuza (inagawa waburuzaji wanahitajika ila sio kwenye uskani bali kama wasaidizi) juu kabisa anahitajika mwanadiplomasia wa kuweza kuunganisha nguvu za wote to the maximum huwezi kujenga nyumba moja wakati watu wananyanganyana fito inabidi kuwaongoza wafanye kazi pamoja na sio kuwakebehi
 
hujui maana ya Umoja ? Umoja ni nguvu.., nchi inajengwa na wananchi kwa umoja wao kwa kufanya kazi, kuchangia kodi na kuhamasika huwezi kuwa na umoja kwa kutangaza wao na sisi..., huwezi kuwa na umoja kwa kuendesha nchi kama unaendesha chama au tabaka la watu..., kwa kufanya hivyo ni kutokupata nguvu ya baadhi ya watu unnessarily (unless kama unataka kutumia njia ya divide and rule ili kuchonganisha watu watafute mchawi baina yao)

Mtu pekee anayeweza kuongoza ni yule anayeunganisha wote kwa kuwahamisha na sio kuwaburuza (inagawa waburuzaji wanahitajika ila sio kwenye uskani bali kama wasaidizi) juu kabisa anahitajika mwanadiplomasia wa kuweza kuunganisha nguvu za wote to the maximum huwezi kujenga nyumba moja wakati watu wananyanganyana fito inabidi kuwaongoza wafanye kazi pamoja na sio kuwakebehi
Kuwahamasishwa vipi wewe ungewahamsishaje kujenga huo umoja ?
 
Jamaa si amewaachia nchi yenu wazee, pambaneni tu na hali
Wameshindwa kupambana. Mgao wa umeme na maji ambao haujatokea miaka mitano iliyopita. Hatukuwa kusikia mgao wa maji kufika hadi Mbezi beach na Mikocheni. Hapo ujue hali ni tata. Kupanda kwa bei za mafuta ya kula, vifaa vya ujenzi, gesi na leo tumetangaziwa kwamba ukiwa na shs elfu 10 hutapata hata lita 4 za petrol.
alikuwa na weaknesses zake, ila tunamkumbuka kwa mazuri
 
Einstein kwenye kitabu chake cha hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.

Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.

Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.

Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plain to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.

Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.

Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.

NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Kama unapenda kweli magufuli mwache apumzike. Familia yake haipendi kabisa kwa Hayati kuongelewa mitandaoni.
 
JPM alikuwa ni moto wa Nyuklia. Watu wamejaribu kuokoteza ujinga mwingi ili kufuta Legacy ya JPM lakini wameambulia patupu.
Kwa kifupi ni kwamba, bila aibu watu wazima na akili zao wanashindana na mtu asiyeweza kujitetea lakini wameshindwa pakubwa. Aibu tupu.
 
Wameshindwa kupambana. Mgao wa umeme na maji ambao haujatokea miaka mitano iliyopita. Hatukuwa kusikia mgao wa maji kufika hadi Mbezi beach na Mikocheni. Hapo ujue hali ni tata. Kupanda kwa bei za mafuta ya kula, vifaa vya ujenzi, gesi na leo tumetangaziwa kwamba ukiwa na shs elfu 10 hutapata hata lita 4 za petrol.
alikuwa na weaknesses zake, ila tunamkumbuka kwa mazuri
Kabisa mkuu.
 
Einstein kwenye kitabu chake cha hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.

Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.

Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.

Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plain to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.

Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.

Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.

NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Ni mjinga kama wewe ndo hawezi kuona
 
Back
Top Bottom