Threads 1,000 hazitoshi ku-prove ubaya wa Magufuli bali fact moja tu

Threads 1,000 hazitoshi ku-prove ubaya wa Magufuli bali fact moja tu

hujui maana ya Umoja ? Umoja ni nguvu.., nchi inajengwa na wananchi kwa umoja wao kwa kufanya kazi, kuchangia kodi na kuhamasika huwezi kuwa na umoja kwa kutangaza wao na sisi..., huwezi kuwa na umoja kwa kuendesha nchi kama unaendesha chama au tabaka la watu..., kwa kufanya hivyo ni kutokupata nguvu ya baadhi ya watu unnessarily (unless kama unataka kutumia njia ya divide and rule ili kuchonganisha watu watafute mchawi baina yao)

Mtu pekee anayeweza kuongoza ni yule anayeunganisha wote kwa kuwahamisha na sio kuwaburuza (inagawa waburuzaji wanahitajika ila sio kwenye uskani bali kama wasaidizi) juu kabisa anahitajika mwanadiplomasia wa kuweza kuunganisha nguvu za wote to the maximum huwezi kujenga nyumba moja wakati watu wananyanganyana fito inabidi kuwaongoza wafanye kazi pamoja na sio kuwakebehi
Tatizo mnapenda kudeka km watoto wakambo.
 
Mkuu hueleweki..., kwahio hizo thread 1000 zikitoka zinakuwa hazina moja, yaani ingekuwepo moja ni sawa ila kuanzia mbili mpaka 1000 zinapunguza makali ya hio moja ? Unaongelea facts kwani hizo zote hazina facts...

Ngoja nikupe facts

Makufuli alikuwa Mtendaji mzuri sana tena sana ila hakuwa kiongozi mzuri..., kazi yake nzuri aliifanya akiwa Waziri, au angepaswa kuwa Waziri Mkuu, Kiongozi anahitaji kusikiliza, anahitaji diplomasia na akubali kukosolewa bila hivyo watu wataogopa kumshauri (The Emperor has no cloths)

Pili Makufuli mara nyingi hakufuata sheria na taratibu mihimili yote mitatu ni kama aliivunja na kuwa yeye Jeshi la mtu mmoja...

Tatu Propaganda zilikuwa nyingi ni vigumu kujua wapi alikuwa anasema ukweli na wapi uongo (hio yote italetwa na transparency)

Nne Nepotism na kuonyesha sifa kwamba ninafanya kitu huku au kule sababu nitazikwa huko ni kuleta precedent mbaya sana ambayo itatucost hapo baadae (mfano anashauri watu wachagua viongozi wa kwao au ukichagua huyu au yule sileti maendeleo) alisahahu yeye ni Kiongozi wa Nchi na sio Chama wala Kabila


Mwisho Kabisa nchi hii haiitaji mtu Imara bali Taasisi Imara..., sababu hata akija malaika tutakuwa tunaongea hayahaya, inabidi tuongozwe na kanuni na sio matakwa au utashi wa mtu....
Haya kaacha nchi, tuoneshe hiyo taasisi imara?
 
Kuwahamasishwa vipi wewe ungewahamsishaje kujenga huo umoja ?
Hawa mataahira ndio huwa wanasema tatizo letu ni mfumo.
Sasa sijui huo mfumo ndio dude gani? Huo mfumo hauna watu wanaouongoza? Yaani TRA ijiongeze bila kusimamiwa. Polisi pia hivohivo na taasisi zote zijiongoze bila kusimamiwa. Wanadai katiba mpya huku hii iliyopo haifwatwi. Na hata ukiwauliza mapungufu ya katiba hii watakutajia yale yakisiasa tu. Huu sijui ni utaahira gani?
 
Sijui unaposema hakuunganisha watu unamaanisha nini.
MAGUFULI ndio kiongozi aliyejitahidi kuungsnisha watu baada ya NYERERE.
Alipambana sana kupunguza gap kati ya walionancho na wasionacho.
Kibaya zaidi walionacho hawapati kwa njia halali isipokuwa kwa ubabe na kudhurumu wanyonge hili alipambana nalo haswaa.
Alijua ukweli kuwa masikini Nchi hii ambao ndio wengi wanaonewa sana na wanaporwa haki zao
Hii ndio kitu pekee inayoweza kuleta umoja au utengano wakitaifa.
unapunguzaje gap la walionacho na wasionacho kwa kuwanyanganya walionacho ? au unadhani kupunguza hilo gap ni kuwaambia wabangaize maisha mitaani na kuwa machinga.., au unaunganishwa kwa kuwaambia wasionacho kwamba hamna sababu ya walionacho ni wezi au hawalipi kodi ? huko ndio kuwaunganisha ?

Unaunganisha watu kwa kuwakebehi walipa kodi wengine kwamba ninafanya au nitafanya na nyie ndio mnasababisha wengine wasipate maendeleo ? Kauli hujenga Kiongozi unaposide na tabaka moja wakati wewe ni kiongozi wa matabaka yote huko sio kuunganisha watu
 
Haya kaacha nchi, tuoneshe hiyo taasisi imara?
Aisee hapa naona nitajirudia rudia tu...., naomba kurudia tena..., nchi haiwezi kuendelea kwa kutegemea mtu.., nchi itaendelea tu kama kuna Taasisi imara kwahio hata sasa au kesho kama hatuna taasisi imara karne ijayo watakuwa wanaongelea haya haya
 
Einstein kwenye kitabu chake akiwajibu hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.

Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.

Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.

Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plain to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.

Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.

Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.

NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Kama thread za wanaomtetea zipo 1000 wacha thread zinazomkosoa ziwe 1000...afu mambo ya Einstein na politics wapi na wapi,JPM mwenyewe aliujaza ubaya utawala wa JK zaidi ya mara milioni
 
Einstein kwenye kitabu chake akiwajibu hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.

Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.

Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.

Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plain to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.

Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.

Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.

NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Ulivyommiminia TL mirisari kibao! Khaaa!
 
Einstein kwenye kitabu chake akiwajibu hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.

Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.

Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.

Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plain to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.

Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.

Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.

NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Thread ya nini? Facts zipo nyingi tu, je unajua kuwa alimpiga risasi yule kijana alichallenge phd yake??

Mengine hayasemwi yule Bwana alikuwa katili kupindukia
 
Mkuu hueleweki..., kwahio hizo thread 1000 zikitoka zinakuwa hazina moja, yaani ingekuwepo moja ni sawa ila kuanzia mbili mpaka 1000 zinapunguza makali ya hio moja ? Unaongelea facts kwani hizo zote hazina facts...

Ngoja nikupe facts

Makufuli alikuwa Mtendaji mzuri sana tena sana ila hakuwa kiongozi mzuri..., kazi yake nzuri aliifanya akiwa Waziri, au angepaswa kuwa Waziri Mkuu, Kiongozi anahitaji kusikiliza, anahitaji diplomasia na akubali kukosolewa bila hivyo watu wataogopa kumshauri (The Emperor has no cloths)

Pili Makufuli mara nyingi hakufuata sheria na taratibu mihimili yote mitatu ni kama aliivunja na kuwa yeye Jeshi la mtu mmoja...

Tatu Propaganda zilikuwa nyingi ni vigumu kujua wapi alikuwa anasema ukweli na wapi uongo (hio yote italetwa na transparency)

Nne Nepotism na kuonyesha sifa kwamba ninafanya kitu huku au kule sababu nitazikwa huko ni kuleta precedent mbaya sana ambayo itatucost hapo baadae (mfano anashauri watu wachagua viongozi wa kwao au ukichagua huyu au yule sileti maendeleo) alisahahu yeye ni Kiongozi wa Nchi na sio Chama wala Kabila


Mwisho Kabisa nchi hii haiitaji mtu Imara bali Taasisi Imara..., sababu hata akija malaika tutakuwa tunaongea hayahaya, inabidi tuongozwe na kanuni na sio matakwa au utashi wa mtu....
Hii Mitoto mjinga hii
huenda thread 1000, ni facts 1000
 
Einstein kwenye kitabu chake akiwajibu hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.

Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.

Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.

Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plain to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.

Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.

Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.

NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Mbona mnaweweseka? Sie wahanga wake tumeshamsahau. Ninyi mlokuwa mnamuabudu mnahangaika kujaribu kumuweka kwenye headlines. Ukweli pekee mnaopaswa kufahamu ni kwamba HE IS GONE FOREVER.
 
Thread ya nini? Facts zipo nyingi tu, je unajua kuwa alimpiga risasi yule kijana alichallenge phd yake??

Mengine hayasemwi yule Bwana alikuwa katili kupindukia
Hatuongelei kusema..
Tunahitaji uthibitisho wake,
kubenea alipanga njama kwa viongozi wake chamani na akaomba msamaha baada ya kugundulika,
Njama zile zingefanikiwa mngesema ni Magufuli.
Kusema hata kasuku anasema.
 
Maovu ya Magufuli yamethibitishwa na kifo chake. Angekuwa mtenda mema asingekufa kizembe vile.

Haiwezekani uishi kwenye ulinzi wa kiwango kile cha juu, uzungukwe na madaktari bingwa wote, na kufanya ibada makisani halafu unakufa kizembe.

Sala za watu aliowadhulumu ndiyo ziliamua hatma ya maisha yake.

Mbona hakuna nyuzi hata 100 zinazowaponda Nyerere na Mkapa waliokufa?
Kufa kila mtu anakufa hata wewe utakufa, it costs more kuwa against kundi la wanafiki dhidi ya kuuishi unafiki!

Angeamua kuungana na team ya wana Msoga na kuendelea kuwafanikishia michakato yao ya kuidokoa nchi pengine agalikuwapo mpaka sasa. It costs more to be a sheep in a gang of wolves!
 
Back
Top Bottom