Threads 1,000 hazitoshi ku-prove ubaya wa Magufuli bali fact moja tu

Threads 1,000 hazitoshi ku-prove ubaya wa Magufuli bali fact moja tu

Mnaanza kujitokeza, nendeni Mirembe msaidiwe
It is better to stay silent kama unaona unachoenda kuongea ni ujinga kuliko kukaa kimya itakusaidia.
It is not my fault it is your own fault chochote unacho-comment hakina uhusiano na mimi
bali kina uhusiano na wewe moja kwa moja kwani kina onyesha kichwani kwako kuna vitu gan vimejaa.
Kitabu ch four agreement kimeelezea vizuri sana kuhusu matatizo yako kapitie kitakusaidia.
NB:the standard measurement of human being starts in the head.
 
Samia alikuwa wapi kipindi hicho- huo ni unafiki.
Aliyechoma ni Magufuli? Watumishi ndani ya system samia amewafanya nini kama walikengeuka taratibu?

magufuli alikuwa rais bora kuliko marais waliotawala na watakao tawala..
Magufuli anakuwa mwanamapinduzi na raisi bora wa karne.
 
Einstein kwenye kitabu chake cha hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.

Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.

Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.

Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plain to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.

Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.

Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.

NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Kaka hujaelewa mfano wako. Kwanza kabisa "100 authors against Einstein" si kitabu chake Enstein!! Ulikuwa mkusanyiko wa maoni ya kumpinga. Hapo aljibu "si lazima kuleta majina 100, ingetosha kama mmoja anaweza kuonyesha nadharia yangi si sahihi".
Tena haifai kulinganisha nadharia ya kisayansi na kazi ya mwanasiasa. Kama nadharia si sahihi, unatafuta mfano wa kinyume, basi umepinga (priciple of falsification).
Huwezi kufanya vile kuhusu kazi ya mwanasiasa. Kila mtu ana mchanganyiko wa mazuri na mabaya, mafanikio na kinyume. Azimio ni juu yako. Hata mkorofi aliyeharibu taifa lake kama Idd Amin ametenda mema kadhaa maishani mwake. Hata mshujaa kama Nelson Mandela alifanya makosa. Mfano mmoja hautoshi kamwe.
 
Kaka hujaelewa mfano wako. Kwanza kabisa "100 authors against Einstein" si kitabu chake Enstein!! Ulikuwa mkusanyiko wa maoni ya kumpinga. Hapo aljibu "si lazima kuleta majina 100, ingetosha kama mmoja anaweza kuonyesha nadharia yangi si sahihi".
Tena haifai kulinganisha nadharia ya kisayansi na kazi ya mwanasiasa. Kama nadharia si sahihi, unatafuta mfano wa kinyume, basi umepinga (priciple of falsification).
Huwezi kufanya vile kuhusu kazi ya mwanasiasa. Kila mtu ana mchanganyiko wa mazuri na mabaya, mafanikio na kinyume. Azimio ni juu yako. Hata mkorofi aliyeharibu taifa lake kama Idd Amin ametenda mema kadhaa maishani mwake. Hata mshujaa kama Nelson Mandela alifanya makosa. Mfano mmoja hautoshi kamwe.
Uko sahihi...
Einstein amewajibu na majibu yake ukimsoma walter isaacson kwenye kitabu biography ya Einstein amejibu hilo
Naelewa ilikuwa ni sayansi about theory of relativity.
 
Kaka hujaelewa mfano wako. Kwanza kabisa "100 authors against Einstein" si kitabu chake Enstein!! Ulikuwa mkusanyiko wa maoni ya kumpinga. Hapo aljibu "si lazima kuleta majina 100, ingetosha kama mmoja anaweza kuonyesha nadharia yangi si sahihi".
Tena haifai kulinganisha nadharia ya kisayansi na kazi ya mwanasiasa. Kama nadharia si sahihi, unatafuta mfano wa kinyume, basi umepinga (priciple of falsification).
Huwezi kufanya vile kuhusu kazi ya mwanasiasa. Kila mtu ana mchanganyiko wa mazuri na mabaya, mafanikio na kinyume. Azimio ni juu yako. Hata mkorofi aliyeharibu taifa lake kama Idd Amin ametenda mema kadhaa maishani mwake. Hata mshujaa kama Nelson Mandela alifanya makosa. Mfano mmoja hautoshi kamwe.
Lakini pia hatu jadili kuhusu kufeli au kufaulu kwa falsafa za Magufuli.
Bali ubaya wa Magufuli je kweli alikuwa na ubaya huo au la?
Na hapo ndipo tunahitaji facts kuthibitisha hilo na sio siasa.
Kama watu wanasema Magufuli alikuwa chizi, alikuwa muovu tunahitaji uthibitisho
kuthibitisha hayo wanayosema.
 
Mjinga mama yako
Umejisika raha gani hapo?
Maanaake humjui mama angu na unaexpect nitaumia kwa kusema ivo(mind illusion).
Kama unamatusi mapya nayaomba ila sio haya nayoyasikia kila siku nimeyazoea.
i will be gratefull ukifanya ivo.
ukomo wako wa kufkiri umeishia hapo
 
Ugumu wa maisha ulipungua wakati wa JPM ? Muendelezo wa Ugumu wa maisha umekuwa ukiendelea kabla wakati na baada ya JPM na hio ni sababu ya so called wanyonge kutegemea mtu kutatua matatizo yao (ofcourse wachache kula keki peke ya taifa peke yao haisaidii) lakini hakuna binadamu mmoja anayeweza kuwavusha watu peke yake...

Kiongozi anachofanya ni kuunganisha nguvu kuhamashisha na kuleta umoja ili watu wasonge mbele (jambo ambalo pia sidhani kama JPM alifanya ) Kuunganisha watu..., ingawa ofcourse kuna mambo alifanya kama mtendaji (lakini kama nilivyosema hapo mwanzo mtendaji sio necessarily kiongozi) Kiongozi anaongeza kwa kuwapa watu nguvu watende...
Sijui unaposema hakuunganisha watu unamaanisha nini.
MAGUFULI ndio kiongozi aliyejitahidi kuungsnisha watu baada ya NYERERE.
Alipambana sana kupunguza gap kati ya walionancho na wasionacho.
Kibaya zaidi walionacho hawapati kwa njia halali isipokuwa kwa ubabe na kudhurumu wanyonge hili alipambana nalo haswaa.
Alijua ukweli kuwa masikini Nchi hii ambao ndio wengi wanaonewa sana na wanaporwa haki zao
Hii ndio kitu pekee inayoweza kuleta umoja au utengano wakitaifa.
 
Ukiacha Jaribio la Ki Shetani lililo fail la Kutaka Kumuua Lissu, Watu Kama Sabaya ni Reflection tosha ya Jinsi Mwendakuzimu alivyokuwa Katili, Laghai, Jambazi,Muongo, Muovu na Ibilisi.
Huyo Lissu ni nani ktk nchi hii?
Mtu aliyetuonesha usaliti wa wazi wazi kuanzia kwenye mchakato wa katiba mpya, hadi uchaguzi 2015. Pia kwenye sheria mpya yamadini leo tukio lake lakutengeneza ndio unamsingizia Magufuli?
To hell with Lissu!
 
It is better to stay silent kama unaona unachoenda kuongea ni ujinga kuliko kukaa kimya itakusaidia.
It is not my fault it is your own fault chochote unacho-comment hakina uhusiano na mimi
bali kina uhusiano na wewe moja kwa moja kwani kina onyesha kichwani kwako kuna vitu gan vimejaa.
Kitabu ch four agreement kimeelezea vizuri sana kuhusu matatizo yako kapitie kitakusaidia.
NB:the standard measurement of human being starts in the head.
Rubbish
 
Back
Top Bottom