Threads 1,000 hazitoshi ku-prove ubaya wa Magufuli bali fact moja tu

saivi ubungo kuna foleni sana jamani magufuli akufanya chochote kabisa
 
Machinga kidogo wafaidi nn?, unajua kwann wanaongezeka Kila siku. Vp kuhusu kampuni yake ya ujenzi aliyokuwa anaipa tenda za ujenzi, haikufata taratibu za rank za board ya maenguneer, napo alikuwa anabana mafisadi
Ww angalia barabara alizo zisimamia yule mzee ni balaaaa hata kama na mapungufu yake ila mzee alikua yuko poa sana
 
Upo sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…