dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Ni aibu kwamba tumewahi kupitia nyakati za giza kama zile!Kuishi wakati wa Magafuli kwangu mimi ni heshima kubwa kabisa kuwahi kuwa nayo.
I'm very proud of this honor.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni aibu kwamba tumewahi kupitia nyakati za giza kama zile!Kuishi wakati wa Magafuli kwangu mimi ni heshima kubwa kabisa kuwahi kuwa nayo.
I'm very proud of this honor.
Mshamba kuwafaa washamba si ajabu.Ni kweli alikuwa mshamba..
Lakini alikuwa anatufaa kwa wakati huu.
Hiyo ni nadharia yako tu.Mshamba kuwafaa washamba si ajabu.
Kwa hivyo unataka kusema mshamba kuwafaa washamba ni ajabu?Hiyo ni nadharia yako tu.
Sio ajabu kama ilivo kwa wajuaji kuwafaa wajuaji.Kwa hivyo unataka kusema mshamba kuwafaa washamba ni ajabu?
Na huko mahakamani utampeleka kwa sheria ipi?Kuhukumu mtu kabla hajahukumiwa na mahakama nadhani hiyo ndio dhambi.
Kwa sheria iliyotungwa na bunge.Na huko mahakamani utampeleka kwa sheria ipi?
Huna hoja..Kwa sheria iliyotungwa na bunge.
Hoja yako ni ipi?Huna hoja..
Ww angalia barabara alizo zisimamia yule mzee ni balaaaa hata kama na mapungufu yake ila mzee alikua yuko poa sanaMachinga kidogo wafaidi nn?, unajua kwann wanaongezeka Kila siku. Vp kuhusu kampuni yake ya ujenzi aliyokuwa anaipa tenda za ujenzi, haikufata taratibu za rank za board ya maenguneer, napo alikuwa anabana mafisadi
kitendo cha kuanzisha uzi huu tu kimeshakudefine ww ni mtu wa aina gani amna ht haja ya kubishana naweyou can stay silent if you have nothing to prove,
Than proving your stupidity.
Una fahamu kwamba rais ana kinga ya kutoshitakiwa kwa aliyoyafanya/anayoyafanya akiwa madarakani?Hoja yako ni ipi?
Au ndio hiyo
NafahamuUna fahamu kwamba rais ana kinga ya kutoshitakiwa kwa aliyoyafanya/anayoyafanya akiwa madarakani?
Kwenye arena ipi hiyo?kitendo cha kuanzisha uzi huu tu kimeshakudefine ww ni mtu wa aina gani amna ht haja ya kubishana nawe
Hujajibu uliloulizwa na ulilojibu hujaulizwa.Sio ajabu kama ilivo kwa wajuaji kuwafaa wajuaji.
Wewe ndio hujaelewaHujajibu uliloulizwa na ulilojibu hujaulizwa.
Upo sahihiEinstein kwenye kitabu chake akiwajibu hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.
Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.
Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.
Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plain to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.
Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.
Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.
NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.